DOKEZO Kigamboni: Shule ya sekondari ya Paul Makonda yatumika kufanya ufuska

DOKEZO Kigamboni: Shule ya sekondari ya Paul Makonda yatumika kufanya ufuska

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Financial Hustler

New Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
2
Reaction score
5
Naam, habari zenu wanajukwaa.

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, ni hivi kumekuwa na biashara ya ukahaba ambayo imekuwa iliendelea katika viwanja vya shule ya sekondari ya PAUL MAKONDA iliyopo wilaya ya Kigamboni, kata ya Kigamboni mtaa wa Chagani kwa zaidi ya miaka mingi Sasa.

Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni kutokana na madada poa hawa(machangudoa) hawa kutumia majengo ya vyoo pamoja na majengo mengine ambayo ujenzi unaendelea (Mali za shule ya SEKONDARI PAUL MAKONDA) kufanya vitendo vya NGONO na wateja zao nyakati za usiku kuanzia Majira ya saa 1 mpaka saa 6-7 huko, huku wakila dili na mlinzi wa shule Kwa kumpa pesa Ili kuendeleza ufuska wao hapo.

Kwahiyo mamlaka zinazohisika (Jeshi la polisi na serikali ya mtaa ya kigamboni) naomba walifanyie kazi suala hili Kwa kuhakikisha wanakomesha tabia hii Ili kunusuru watoto wanaosoma hapo maana imekuwa kawaida kukuta mabaki ya zana zilizotumika hivyo inaweza kuwaharibu kisaikolojia na pia kuchangia tabia mbovu miongoni mwao.

Naomba kuwasilisha.
 
Naam, habari zenu wanajukwaa.

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, ni hivi kumekuwa na biashara ya ukahaba ambayo imekuwa iliendelea katika viwanja vya shule ya sekondari ya PAUL MAKONDA iliyopo wilaya ya Kigamboni, kata ya Kigamboni mtaa wa Chagani kwa zaidi ya miaka mingi Sasa.

Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni kutokana na madada poa hawa(machangudoa) hawa kutumia majengo ya vyoo pamoja na majengo mengine ambayo ujenzi unaendelea (Mali za shule ya SEKONDARI PAUL MAKONDA) kufanya vitendo vya NGONO na wateja zao nyakati za usiku kuanzia Majira ya saa 1 mpaka saa 6-7 huko, huku wakila dili na mlinzi wa shule Kwa kumpa pesa Ili kuendeleza ufuska wao hapo.

Kwahiyo mamlaka zinazohisika (Jeshi la polisi na serikali ya mtaa ya kigamboni) naomba walifanyie kazi suala hili Kwa kuhakikisha wanakomesha tabia hii Ili kunusuru watoto wanaosoma hapo maana imekuwa kawaida kukuta mabaki ya zana zilizotumika hivyo inaweza kuwaharibu kisaikolojia na pia kuchangia tabia mbovu miongoni mwao.

Naomba kuwasilisha.
Labda Makonda mwenye shule anafaidika na tozo ili amalizie ujenzi.
 
Makonda ana mikono michafu ina damu ....machozi ya aliowakatisha uhai itamlilia milele amina...karma is true
 
Naam, habari zenu wanajukwaa.

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, ni hivi kumekuwa na biashara ya ukahaba ambayo imekuwa iliendelea katika viwanja vya shule ya sekondari ya PAUL MAKONDA iliyopo wilaya ya Kigamboni, kata ya Kigamboni mtaa wa Chagani kwa zaidi ya miaka mingi Sasa.

Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni kutokana na madada poa hawa(machangudoa) hawa kutumia majengo ya vyoo pamoja na majengo mengine ambayo ujenzi unaendelea (Mali za shule ya SEKONDARI PAUL MAKONDA) kufanya vitendo vya NGONO na wateja zao nyakati za usiku kuanzia Majira ya saa 1 mpaka saa 6-7 huko, huku wakila dili na mlinzi wa shule Kwa kumpa pesa Ili kuendeleza ufuska wao hapo.

Kwahiyo mamlaka zinazohisika (Jeshi la polisi na serikali ya mtaa ya kigamboni) naomba walifanyie kazi suala hili Kwa kuhakikisha wanakomesha tabia hii Ili kunusuru watoto wanaosoma hapo maana imekuwa kawaida kukuta mabaki ya zana zilizotumika hivyo inaweza kuwaharibu kisaikolojia na pia kuchangia tabia mbovu miongoni mwao.

Naomba kuwasilisha.
Mlipokua mnazipatia shule majina ya kihuni mlikua mnatarajia nini?
 
Naam, habari zenu wanajukwaa.

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, ni hivi kumekuwa na biashara ya ukahaba ambayo imekuwa iliendelea katika viwanja vya shule ya sekondari ya PAUL MAKONDA iliyopo wilaya ya Kigamboni, kata ya Kigamboni mtaa wa Chagani kwa zaidi ya miaka mingi Sasa.

Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni kutokana na madada poa hawa(machangudoa) hawa kutumia majengo ya vyoo pamoja na majengo mengine ambayo ujenzi unaendelea (Mali za shule ya SEKONDARI PAUL MAKONDA) kufanya vitendo vya NGONO na wateja zao nyakati za usiku kuanzia Majira ya saa 1 mpaka saa 6-7 huko, huku wakila dili na mlinzi wa shule Kwa kumpa pesa Ili kuendeleza ufuska wao hapo.

Kwahiyo mamlaka zinazohisika (Jeshi la polisi na serikali ya mtaa ya kigamboni) naomba walifanyie kazi suala hili Kwa kuhakikisha wanakomesha tabia hii Ili kunusuru watoto wanaosoma hapo maana imekuwa kawaida kukuta mabaki ya zana zilizotumika hivyo inaweza kuwaharibu kisaikolojia na pia kuchangia tabia mbovu miongoni mwao.

Naomba kuwasilisha.
Naomba evidence chief
 
Back
Top Bottom