Kwani Magufuli aliwahi kusema wizi serikalini umeisha?Vita dhidi ya ufisadi ni endelevu. JPM alipambana kwa nafasi yake na alifanikiwa pakubwa. Sote tunakumbuka sakata la Flowmeter ya mafuta na yule mwarabu wa Kigamboni aliyekua katoboa Bomba la Mafuta na kuyachanel kwake. Ni mjinga tuu atakayemlaum Magu katika hili.
Naunga ✋ 100% huyu jamaa alikuwa jambazi aliyejificha nyuma ya kivuli cha kutetea wanyongeHujui chochote mradi wake huo through Kakoko...
Mwarabu gani...?
Hii imevumbuliwa ktk ufuatiliaji...wa Mama.
Unafikiri kwa nn bado Kakoko yupo ndani ?
Mama hafoki foki...
JPM angekuwa sio jambazi hao akina Sabaya wangefanya yote haya tunayasikia....leo
Mimi naona Hawa jamaa wanaonewa tu...sisi tunawahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko wanavyotuhitaji sisi...Hawa wamebambikiwa suala hili...watu tumefungua nchi halafu nyie mnaleta za kuleta....waachiwe haraka...tehtehtehMkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.
Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.
Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.
=========
Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana
Duh..Kosa lake ni kutuficha kila kitu. Ww ndani ya miaka mi5 uliwahi kusikia wizi? Unafikiri wiz haukuepo?
Hakuna hata mbunge mmoja aliyelizungumziaMbona hili jambo limechukuliwa powa sana na serikali? Au ndio chakula ya wakubwa?
Inaonekana kuna mtu mgao wa dili umekatishwa baada ya kuhama kaamua kuwachoma.Na wewe mbona aukuiga mkuu?
Wewe mbona hakuwaza kuwaleta hao consultants wa Kenya upige hizo hela.
Hii nchi bila watu kufanya uwizi hawawezi kuishiNashangaa hata waziri,dah!!
Kama hivi ndivyo na ndivyo inavyotakiwa kuwa ilikuwaje "mzee baba" akajivika vyeo vyote hata kutamani "i kudu bii aijipii!!"???Tunakosea sana kuwaza kwamba Raisi ajue mpaka yanayoendelea mtaani,wapo watendaji wa kata,wenyeviti wa mtaa,n.k,hawa kazi yao nn?...yaani tunawaza raisi awe anapita kila nyumba kukagua yanayofanyika humo??tutakua wajinga na wapumbavu siku zote kwa kuwaza hivyo
Ukiona hivyo kuna "jizi ngazi za juu... au lililotumiwa" Huyu DC katimiza wajibu wake ila nadhani saa hizi itakuwa anahojiwa!!!Sio kudakwa tu serikali haijatoa hata neno moja kwenye ujambazi huo
Hili tukio siyo la jana wala juziMimi naona Hawa jamaa wanaonewa tu...sisi tunawahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko wanavyotuhitaji sisi...Hawa wamebambikiwa suala hili...watu tumefungua nchi halafu nyie mnaleta za kuleta....waachiwe haraka...tehtehteh
Ok.....wawe wanaambiwa wameanza Jana au juzi au mwaka Jana au mwaka juzi au hata wakati was JK au Mkapa au Mwinyi au hata wakati was Nyerere nadhani Hawa jamaa wanabambikiwa tu...sisi tunawahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko wanavyotuhitaji sisi...waachiwe tu na wafanye biashara ya mafuta ...kukamatwa kwao kutaathiri biashara ya mafuta na hasa huko vijijini au mikoani...watu wanaweza kufunga vituo vya mafuta kwa kukosa mafuta .Hili tukio siyo la jana wala juzi
Inaonekana wamekuwa wakifanya muda
Sana
Ova
Wizi wa mafuta Kigamboni umeanza kitambo saaaana aisee, umewatajirisha wengi, wachache wapo jela, wengine mtaani wanalisongesha. Hapo waliokamatwa wataenda jela, jamaa watafungua sehemu nyingine tu.Duh... Nchi hii!!! Mafuta yana faida sana! Manake gharama iliyo tumika kukamilisha huo wizi sio ndogo! Wangeweza kupata kifaa chao chenye security footage, nadhani ingekuwa bora zaidi.
Pili, kama wametoboa baada ya flow meter, ina maana kuna wahusika wa ndani ya bandari. Kwahiyo nao wachunguzwe!
List ni ndefu!
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
LazimaWamedhulumiana wamechomana. Au labda walikataa kupeleka mgao kwa polisi.
chakula chake!!Kama hivi ndivyo na ndivyo inavyotakiwa kuwa ilikuwaje "mzee baba" akajivika vyeo vyote hata kutamani "i kudu bii aijipii!!"???