TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Kukamatwa swala moja,na kupelekwa gerezani ni swala lingine.Je mlishamkamata aliyempga Lisu bomba?😂😂😂Wahusika wote wakamatwe, akiwemo mmiliki wa hiyo nyumba na wenye hayo malori kama yanavyoonekana hapo kampuni ya LAKE OIL.