Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana
Na sioni namnai itakavyokoma "kuendelea kutafunwa"; maana sioni juhudi zinazofanywa iache kuendelea kutafunwa, badala yake mazingira yanazidi kurahisishwa itafunwe kirahisi zaidi.
 
Sasa Magufuli anahusikaje hapo. Hao si wezi Kama wezi wengine au kosa lake ni kule kupiga vita wizi kwa maslahi ya taifa. Lazima tukubali alijitahidi kwa uwezo wake ila haizuii ukweli kwamba kuna wachache walikuwepo bado ambao mmoja wapo ni hawa
Lawama kwa Magufuli ni alitumia polisi usalama na jwtz kuthibiti wapinzani abaki madarakani huku wahujumi uchumi na wezi walifanya yao.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Yaaaan mwendazake aliwa fool wapumbavu na wajinga kwamba hakuna upigaji kumbe....kunaaa jamaa angu ni hawa wakula vitu aka unga..nmewahi kumuuliza mtapata wapi hiyooo ktu.. jamaaa alijibu hakunaaa kipindi unga unaingia kwa wingi kama zama hizi za mwendazake..
Na huyu mmiliki lazima atakua mwana CCM, trust me. Mijizi mingi inajificha CCM na kujiona ni Wazalendo kuliko sisi wengine
 
Hii kitu unawezaje fanya bila kugundulika wakati kuna walinzi madereva etc wanapishana kila siku?
Ninakuhakikishia, hao walinzi na madereva, hakuna hata mmoja ambaye umbo lake linaonyesha kuwa ni mtu mwenye njaa. Wewe chunguza tu utauona ukweli huo.
 
Mkuu kwa kigambon Kuna mengi sana yanaendelea huko hili mbona ndogo Sana tukisema tumwage mboga hapa wengne kesho tu tutaitwa marehemu kutokana na mfumo wa nchi yetu kutokulinda watoa Siri
Yah!naelewa msije mkaletea zengwe max 😂😂
Basi huko hayo mambo yanafanyika sana

Ova
 
Na huyu mmiliki lazima atakua mwana CCM, trust me. Mijizi mingi inajiicha CCM na kujiona ni Wazalendo kuliko sisi wengine

Lakini huyo mwizi kaumiza akili sio kitoto, alitumia sahihi ule usemi wa ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili.

Vyuma vikaze tena tupate akili za hivyo.
Kaumiza akili gani hapo!

Kwani huu ni ubunifu mpya?

Miaka mitano iliyopita hapo jirani tunapokwenda kuiga kila kitu walifanya hivi hivi. Na si ajabu hawa jamaa wamewaleta wakenya kama 'consultant' wao kwenye mradi huu!
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.

Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.

Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.

=========




Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana


Yaani najua walichofanya hawa jamaa ni wizi wa kuhujumu uctumi, lakini dah jamaa wametumia akili kweli na the whole project ilipangwa vizuri sana na kwa kutumia ubongo. Nina wasiwasi hawa jamaa group lao ni kubwa mno na lina link na majambazi kutoka nchi za nje.
 
Yaaaan mwendazake aliwa fool wapumbavu na wajinga kwamba hakuna upigaji kumbe....kunaaa jamaa angu ni hawa wakula vitu aka unga..nmewahi kumuuliza mtapata wapi hiyooo ktu.. jamaaa alijibu hakunaaa kipindi unga unaingia kwa wingi kama zama hizi za mwendazake..
Aiseee
 
Kaumiza akili gani hapo!

Kwani huu ni ubunifu mpya?

Miaka mitano iliyopita hapo jirani tunapokwenda kuiga kila kitu walifanya hivi hivi. Na si ajabu hawa jamaa wamewaleta wakenya kama 'consultant' wao kwenye mradi huu!
Na wewe mbona aukuiga mkuu?

Wewe mbona hakuwaza kuwaleta hao consultants wa Kenya upige hizo hela.
 
𝙺𝚎𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚑𝚞𝚠𝚎𝚣𝚒 𝚔𝚞𝚖𝚞𝚑𝚞𝚜𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚖𝚠𝚎𝚗𝚍𝚊𝚣𝚊𝚔𝚎 𝚣𝚊𝚒𝚍𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚊𝚗𝚐𝚊𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚎𝚙𝚘 𝚊𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚐𝚎𝚎𝚗𝚍𝚊 𝚓𝚎𝚛𝚊 𝚖𝚊𝚕𝚒 𝚣𝚊𝚘 𝚔𝚝𝚊𝚒𝚏𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚊𝚌𝚌𝚘𝚞𝚗𝚝 𝚣𝚊𝚘 𝚔𝚞𝚏𝚞𝚗𝚐𝚒𝚠𝚊 𝚝𝚑𝚎𝚗 𝚊𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚓𝚊 𝙼𝙰𝙼𝙰 𝚑𝚞𝚛𝚞𝚖𝚊 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚊𝚖𝚞𝚛𝚞 𝙰/𝙲 𝚉𝚒𝚏𝚞𝚗𝚐𝚞𝚕𝚒𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚔𝚎𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚒𝚔𝚊𝚓𝚞𝚖𝚞𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚒 𝚔𝚎𝚜𝚒 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚋𝚊𝚖𝚋𝚒𝚔𝚒𝚣𝚠𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚣𝚒𝚕𝚎 147. 𝚒𝚗𝚐𝚎𝚜𝚘𝚖𝚊 148.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao jamaa mmoja wenye uho mradi ni mtoto wa Rafiki wa Mwendazake,,ningemtaja jina ila haifai
 
Ndiyo maana Magu alifika kipindi mpaka akatamani angekua IGP, maana alikua anaona Kama IGP anapwaya,lakini Sasa atatumbuwa wangapi, maana angeendelea kutumbua mwisho wa siku angebaki pekee yake huko Serekalini, maana Watumishi wengi wanapenda upigaji kwenye sectors zao,na bila upigaji Watumishi watafanya kazi kwa kujivuta!!
Hata mwenyewe Magu alikuwa mpigaji, mbona Watanzania mu wasahaulifu? Zikowapi Tsh 2.4 Trilion alizohoji Prof Assad mpaka akapoteza kazi?
 
Hiyo mimba ya mwendazake utazaa lini?

Screenshot_20210601-160558.png
 
Back
Top Bottom