Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

mwaka juzi kuna mmoja ukouko Kigamboni alidakwa kwa kesi hii hii, sijui iliishia wapi
 
Kilikuwa kipindi kizuri Sana cha upigaji, no wapinzani, no waandishi no watu kufichua. Kulikuwa ni kuogopana kila mtu alikuwa TISS au ndugu wa mkulu..

Saizi upigaji utakuwa kidogo au kwa akili maana kufichuana kutakuwa waziwazi
Jambo la kushangaza hata ukiandika hapa JF sababu huna source unakula ban na mada inafutwa,kisa wanamwogopa mwendazake.
 
Punguzeni chuki kwa marehemu.. Mumejazwa chuki dhidi yake kias cha kumchukia kwa kila kosa na makosa ambayo hausiki nayo..

Hapo mwendazake anahusika vipi? Mbona hata kipindi chake alishawahi kukamata watu kama hao na ndio hao mlikuwa mnalaumu kuwa anawabambikia kesi? Ndio haohao leo hii wanafunguliwa A/C zao na mnashangilia??

Lakn naamini Jpm sio bure, iko siku midomo na vidole hivi vinamuandika vibaya siku itafika vitakuja kuandika kulilia uwepo wake na midomo itakuja kutamka umuhimu wa uwepo wake.
Kwa nini sasa kama aliowatuhumu Mwendazake wana hatia hwajahukumiwa mpaka leo?

Hizi issues mbili ziko tofauti. Huyu amekutwa anahujumu, vyombo vinafanya uchunguzi na ikionekana kuna ushahidi wa kutosha watafikishwa Mahakamani.

Mwendazake aliwatuhuhumu watu na kuwafungulia mashtaka bila ushahidi. Ndiyo maana kesi ziko Mahakamani hazihukumiwi kwa kukosa ushahidi.

Ila Watanzania wanamshabikia Mwendazake kwa kuwa kawaahtaki matajiri as if wakifilisiwa ule utajiri wao utahamia kwao
 
Wamegeukana na huu mtandao unaweza kuhusisha wakubwa kuanzia serikalini mpaka Polisi.
 
nimeona hiyo taarifa Jana kupitia kituo cha Chanel ten kwakweli inatisha!!!

kweli Jeshi letu la polisi wilaya zote za DSM tunawaomba wafanye kazi zao kwa uadilifu ili kubaini aina zote za uhalifu zinazo endelea ktk jiji hili la dsm.

Operesheni tokomeza uhalifu iendelee
Mkuu kama wamenyonya lets lita 20,000 kwa siku, je kwa miaka 2 ni bei gani jumla - hapo ndipo utajua huu ni mtandao si wa kawaida!!

Yaani ukishatoboa bomba la mafuta tu basi linkage yake lazima isome kwenye computer immediately... sasa jiulize hapo..
 
Mkuu kama wamenyonya lets lita 20,000 kwa siku, je kwa miaka 2 ni bei gani jumla - hapo ndipo utajua huu ni mtandao si wa kawaida!!

Yaani ukishatoboa bomba la mafuta tu basi linkage yake lazima isome kwenye computer immediately... sasa jiulize hapo..
Kabisa
 
Hao ndo MATAGA mkuu.

Tembeeni vifua mberee.. Nchi hii iriibiwa sanaa.
Pffffff!!!
acha waseme, lisemwalo lipo kama halipo linakuja aya wizi Kama huu hata shetani ataukataa kwamba haupo kwenye maelekezo yake.
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.

Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.

Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.

=========




Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana

Hii haijakaa vizuri. Hayo mabomba walichimbaje?

Amandla...
 
Huo ni ujambazi siyo wizi wa serikalini. Huyu siku zake zilikuwa zinahesabiwa tu, angekamatwa. El-Chapo alikamwata itakuwa huyu
Hahahhaha Kwani classmate anasemaje!!? Maana tuliambiwa wizi na ufisadi uliisha kabisa.
 
Sasa Magufuli anahusikaje hapo. Hao si wezi Kama wezi wengine au kosa lake ni kule kupiga vita wizi kwa maslahi ya taifa. Lazima tukubali alijitahidi kwa uwezo wake ila haizuii ukweli kwamba kuna wachache walikuwepo bado ambao mmoja wapo ni hawa
Sasa Magufuli anahusikaje hapo. Hao si wezi Kama wezi wengine au kosa lake ni kule kupiga vita wizi kwa maslahi ya taifa. Lazima tukubali alijitahidi kwa uwezo wake ila haizuii ukweli kwamba kuna wachache walikuwepo bado ambao mmoja wapo ni hawa
Hawa huenda ndo waliharibu flow meter zisisome wakati wote wa JK.
ina maana Magufuli alipo wabaini wakatafuta njia nyingine ya kuiba kumuonyesha wao siyo wa kuchezea.
Swali ilikuwaje wakimbie wote? Wakati polisi wanao utaalamu wa kukamata wahalifu? Isiche kuwa walipewa kitu kidogo wakawaachia.
Hata hivyo hayo magari yana usajili kutowakamata waliko ni kupenda tu.
kuna watu wazito tena wahujumu uchumi.
 
Mkuu kama wamenyonya lets lita 20,000 kwa siku, je kwa miaka 2 ni bei gani jumla - hapo ndipo utajua huu ni mtandao si wa kawaida!!

Yaani ukishatoboa bomba la mafuta tu basi linkage yake lazima isome kwenye computer immediately... sasa jiulize hapo..
tunaomba kamati ya ulinzi ya Mkoa wa DSM ikishirikiana na wilaya ya Kigamboni ishirikiane kufuatilia wizi huu wa kimafia amabao una mtandao mkubwa.

Jeshi la polisi Mkoa wa DSM wapeleleze kwa kina wizi huu na tuone hatua kali zinavhukuliwa kwa wahusika wote ikiwa ni pamoja na kutaifisha mali zote za muhusika au wahusika.
 
Na ukitaka kujua huu ni mtandao mkubwa,hii issue nayo itapotea tu hewani na wala hatutajua mwisho wake,hiyo ndiyo imetoka ndukii!!
kama ile heroin ya wapakistan ya majuzi, naona ianpotea hewani kimya kimya...!
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.

Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.

Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.

=========




Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana

Sukuma Gang tena wamekamatwa. Kila siku wanahadaa wanyonge kumbe wanajua wanachofanya. Hivi wala Tisss waliopenyezwa kila mahali hawakuona hili?
 
tunaomba kamati ya ulinzi ya Mkoa wa DSM ikishirikiana na wilaya ya Kigamboni ishirikiane kufuatilia wizi huu wa kimafia amabao una mtandao mkubwa.

Jeshi la polisi Mkoa wa DSM wapeleleze kwa kina wizi huu na tuone hatua kali zinavhukuliwa kwa wahusika wote ikiwa ni pamoja na kutaifisha mali zote za muhusika au wahusika.
Jeshi la mkoa wapeleleze?? hii ni organised crime lazima kuna mkono wao.
 
Sio rahisi upigaji kama huo kusiwe na mkono wa vigogo serikalini.

Halafu wale teeth wa kipindi Cha mwenda zake walikuwa wapi? Maana tunaambiwa walikuwa hatari balsa

Hivi kwa mfano wangekuwa ni magaidi na kuamua kulipua hayo mapipa ya mafuta si walikuwa washafanikiwa.
Nchi hii Tithi wametusaliti muda mrefu sana
 
𝙺𝚎𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚑𝚞𝚠𝚎𝚣𝚒 𝚔𝚞𝚖𝚞𝚑𝚞𝚜𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚖𝚠𝚎𝚗𝚍𝚊𝚣𝚊𝚔𝚎 𝚣𝚊𝚒𝚍𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚊𝚗𝚐𝚊𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚎𝚙𝚘 𝚊𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚐𝚎𝚎𝚗𝚍𝚊 𝚓𝚎𝚛𝚊 𝚖𝚊𝚕𝚒 𝚣𝚊𝚘 𝚔𝚝𝚊𝚒𝚏𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚊𝚌𝚌𝚘𝚞𝚗𝚝 𝚣𝚊𝚘 𝚔𝚞𝚏𝚞𝚗𝚐𝚒𝚠𝚊 𝚝𝚑𝚎𝚗 𝚊𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚓𝚊 𝙼𝙰𝙼𝙰 𝚑𝚞𝚛𝚞𝚖𝚊 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚊𝚖𝚞𝚛𝚞 𝙰/𝙲 𝚉𝚒𝚏𝚞𝚗𝚐𝚞𝚕𝚒𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚔𝚎𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚒𝚔𝚊𝚓𝚞𝚖𝚞𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚒 𝚔𝚎𝚜𝚒 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚋𝚊𝚖𝚋𝚒𝚔𝚒𝚣𝚠𝚊 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚣𝚒𝚕𝚎 147. 𝚒𝚗𝚐𝚎𝚜𝚘𝚖𝚊 148.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sukuma Gang mmetudanganya sana. Hayo maboma na mamachine hayajakwa kipindi cha Mama miezi miwili hii
 
Back
Top Bottom