Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana
Punguzeni chuki kwa marehemu.. Mumejazwa chuki dhidi yake kias cha kumchukia kwa kila kosa na makosa ambayo hausiki nayo..
Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana
Yamejulikana baada ya Mambosasa kuondolewa kanda maalum.Wamedhulumiana wamechomana. Au labda walikataa kupeleka mgao kwa polisi.
Sio ndio ilikuwa kula yao.Hii kitu unawezaje fanya bila kugundulika wakati kuna walinzi madereva etc wanapishana kila siku?
Yamejulikana baada ya Mambosasa kuondolewa kanda maalum.
Umewaza nje ya box saana. Ila mwizi shikamoo nimekukubali siyo wezi wetu wanang'ang"ania Tv huku streetYamejulikana baada ya Mambosasa kuondolewa kanda maalum.
Tunakosea sana kuwaza kwamba Raisi ajue mpaka yanayoendelea mtaani,wapo watendaji wa kata,wenyeviti wa mtaa,n.k,hawa kazi yao nn?...yaani tunawaza raisi awe anapita kila nyumba kukagua yanayofanyika humo??tutakua wajinga na wapumbavu siku zote kwa kuwaza hivyoYaaaan mwendazake aliwa fool wapumbavu na wajinga kwamba hakuna upigaji kumbe....kunaaa jamaa angu ni hawa wakula vitu aka unga..nmewahi kumuuliza mtapata wapi hiyooo ktu.. jamaaa alijibu hakunaaa kipindi unga unaingia kwa wingi kama zama hizi za mwendazake..
Kwani Magu ndiyo alikua IGP au DCI!? Lawama zote alaumiwe IGP!!Kosa lake ni kutuficha kila kitu. Ww ndani ya miaka mi5 uliwahi kusikia wizi? Unafikiri wiz haukuepo?
Hili jambo liliwahi onekana kipindi cha mzee kikweteMkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni iliyotandazwa mashine zinazotumika kuchimba visima vya maji lakini badala ya kuchimba chini kuelekea maji yalipo, wanachimba kuelekea usawa yalipo mabomba ya mafuta yanayotoka baharini kuelekea bandarini.
Mafuta hayo yanachukuliwa baada ya 'flow meter' kusoma na kutambulika yamepokelewa nchini lakini kabla ya kufika kituo cha mwisho ndipo mabomba hayo yanapoelekea.
Ndani ya nyumba hiyo kuna mashine na mipira ambayo inavuta mafuta na kujazwa. Nyumba hiyo ina ulinzi mkubwa na taarifa za awali zinasema muhusika amepangisha eneo hilo lenye kodi ya milioni 60 kwa mwaka huku akiwa amelipa miaka miwili na hakuna shughuli inayoendelea zaidi ya kisima ambacho mabomba yake yanaelekea baharini.
=========
Nchi ilitafunwa na watafunaji wakafichwa ila sio na serikali. Wafichuaji walizibwa midomo. Inasikitisha sana
lile la mzee kikwete jamaa alikuwa na kibomba anauza rejareja - sasa hawa wanakomba mzigo hasa hasa !!Hili jambo liliwahi onekana kipindi cha mzee kikwete
Hivi ili Mtanzania aishi Maisha Mazuri ni lazima awe mpigaji!? Maana hao Watanzania wenye Maisha Mazuri ndiyo Wapigaji wakuu! Wengine wanatupiga hadi kwenye posho za vikao huko Serekalini!! Inaonekana Kama Maisha ya straight hayalipi, ndiyo maana ukitaka Maisha Mazuri lazima uwe mpigaji!!Tatizo kubwa la mwendazake alikuwa anataka ale yeye tu ilhali wengine wanakufa na kwashakoo sasa kwa jinsi binadamu alivyo unapombana sana anatafuta njia mbadala ya kutokea, katika kipindi chake kulikua na chawa wake ambao uwepo wake ulikua unawanufaisha sana ndio maana hata walikua radhi kuua hata mtu aliyekua anampinga.
Ukweli ni kwamba aliharibu sana hili Taifa, Mungu wa mbinguni amesikia kilio cha watanzania akaamua kumchukua maana alikokua anaelekea kulikuwa siyoooo kabisaaaaa.
Mfano angekuwepo hata hili saga angelificha lisijulikane !! wangelimaliza kimya kimya - hakupenda watu wajue kinachoendelea nchini.Shida ya mwendazake alikuwa anatuficha mno ili asichafukew