Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wewe unayejiita askari ni muhuni tu.
Maslahi yenu daini huko kambini/kituoni kwenu.
Unamuomba rais aongeze pesa hapa JF kwani wewe ulijiunga na jeshi ili uwe tajiri.
Ridhika na mshahara wako mbona ni mkubwa sana?
Ukiendelea kulalamika hapa atapunguza kabisa au umeoa wake wengi kutegemea mshahara na posho nyingi?
Maslahi yenu daini huko kambini/kituoni kwenu.
Unamuomba rais aongeze pesa hapa JF kwani wewe ulijiunga na jeshi ili uwe tajiri.
Ridhika na mshahara wako mbona ni mkubwa sana?
Ukiendelea kulalamika hapa atapunguza kabisa au umeoa wake wengi kutegemea mshahara na posho nyingi?