Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 413
- 289
Kwako mheshimiwa waziri wa OR-TAMISEMI napenda wizara yako itambue kuwa mfumo wa waalimu Tanzania wanaandaliwa kwa mitihani na kufaulu kwa Madaraja tofauti hivyo wizara yako kupendekeza kigezo cha kujitolea kama kipaumbele cha kuajiri hamtatenda khaki kwa waliotuma maombi.
Mosi,uongozi awamu ya Magufuli walituambia tujiajiri.
Pili,kuna waalimu wangi wamefundisha na wanafundisha shule za binafsi kwa mda mrefu lakini kwenye fomu za maombi wameweka shule za umma kwa mantiki hiyo kigezo cha uzoefu hakina maana.
Maoni yangu tumieni kigezo vinavyoeleweka kama vile GPA, mwaka wa kuhitimu na kwa waalimu wa arts mnaokusudia kuwaajiri shule za msingi tumieni kigezo cha matokeo Yao ya kidato cha nne kwenye masomo ya Hisabati na biology, physics na chemistry ili muwaajiri waalimu Wenye uwezo wa kufundisha masomo yote.
Mosi,uongozi awamu ya Magufuli walituambia tujiajiri.
Pili,kuna waalimu wangi wamefundisha na wanafundisha shule za binafsi kwa mda mrefu lakini kwenye fomu za maombi wameweka shule za umma kwa mantiki hiyo kigezo cha uzoefu hakina maana.
Maoni yangu tumieni kigezo vinavyoeleweka kama vile GPA, mwaka wa kuhitimu na kwa waalimu wa arts mnaokusudia kuwaajiri shule za msingi tumieni kigezo cha matokeo Yao ya kidato cha nne kwenye masomo ya Hisabati na biology, physics na chemistry ili muwaajiri waalimu Wenye uwezo wa kufundisha masomo yote.