Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utoto tu ndiyo unao kusumbua. Ukikua utaacha.Pumbavu kbs wewe.
Ukute umeishia form 2. Mediocre.
I can't argue with the fool.Ni utoto tu ndiyo unao kusumbua. Ukikua utaacha.
Ungekua na akili timamu usingejiita pilipili mbuzi! That means unaliwa wewe bila shaka.I can't argue with the fool.
Itabidi mfanye interview kama sisi wahasibuwatumie GPA kisha matokeo ya kidato cha sita mwisho matokeo ya kidato cha nne hapa hakutakuwa na malalamiko maana hakuna aliejitolea watu walikuwa wanapata posho
Sawa mkuu nimekuelewa vizuri sana. Sasa mkuu, mbona walimu hawafanyiwi interview kama waajiriwa wa kada zingine?Kada zingine kama Afya, Engineering, Law, pamoja na hiyo wanabatizwa na moto wa namna hii hata kama uwe na GPA ya 5. Hapo angalau wanapikwa kwa kiasi chache ingawa mapungufu hayakosekani.
Ila mtindo huo kwa walimu haupo hadi chokochoko za kujitolea zimeanza kujitokeza, mfumo wa enzi za JK urudishwe tukate mzizi wa fitina hii
Hata ya afya walikuwa hawafanyiwi usahili isipokuwa tu kwa baadhi wanaoajiriwa na mashirika yaliyo chini ya Wizara ya Afya.Sawa mkuu nimekuelewa vizuri sana. Sasa mkuu, mbona walimu hawafanyiwi interview kama waajiriwa wa kada zingine?
Wanafanya lakini inategemeana unaajiriwa wapi.Sawa mkuu nimekuelewa vizuri sana. Sasa mkuu, mbona walimu hawafanyiwi interview kama waajiriwa wa kada zingine?
Kwahiyo ahida ni ya watoa GPA ila sio GPA.GPA takataka tuu, vyuo vingine GPA hata kilaza anapata ,hata UDSM siku hizi hamna kitu.
Kwa hiyo uhaba wa walimu ndio unaifanya serikali iajiri hata wale vilaza kwa kuogopa kuwafanyia interview?Wanafanya lakini inategemeana unaajiriwa wapi.
Kama shule inahitaji walimu 10 kukidhi mahitaji yake na waombaji wakawa 200 lazima usaili utafanyika.
Lakini serikalini mpaka sasa walimu hata ukiajiri wote waliopo bado uhaba utakuwepo, sasa hapo utafanya interview ya nini kama siyo upuuzi na kupoteza muda.
Ushauri mzuri sana huuMimi naona bora wasajiliwe(Wawe na leseni) hata kama hawafanyiwi usahili, hizi leseni lazima zipatikane kwa mfumo wa kada zingine.
Mfumo wa upatikanaji leseni utawezesha kuimarisha maadili na miiko ya kazi, pia mtu ukiwa na leseni utailinda ili usiweze kufutiwa pindi ukifanya makosa kwani ukifutiwa leseni hautaweza kuajiriwa tena
Kwahiyo unamaanisha vyuo vinazalisha vilaza ?Kwa hiyo uhaba wa walimu ndio unaifanya serikali iajiri hata wale vilaza kwa kuogopa kuwafanyia interview?
Kama hauamini kuna walimu vilaza hiyo dhana yako ya TOP TALENT umeitoa wapi? Kwanini utafute hao TOP wakati wote wamehitimu elimu inayolingana?Kwahiyo unamaanisha vyuo vinazalisha vilaza ?
Mtu anasoma miaka 2 au 3 mpaka ana graduate, anatunukiwa astashahada, stashahada au shahada unawezaje kusema ni kilaza.
Tena ni mwalimu anaeenda kufundisha ngazi ambayo yete aliifaulu.
Target ya interviews huwa ni kuchuja watu ili upate TOP TALENTS kama hizo talents zenyewe zipo.
Makato inatakiwa iwe wakati wa kuhuisha leseni mwisho wa mwaka tu kama zilivyo bodi zingine.Kuna wakati kulikuwa na vugu vugu la kuanzishwa kwa bodi ya elimu.
Lakini walimu wakivyoona jinsi itakavyowabana, CWT wakaanza kuipinga tena.
Mwisho wa siku hizi bodi na leseni ni ulaji tu wa watu na kuongeza makato kwenye mishahara ya watumishi ndio maana sometimes wanaziogopa.
Sisemi ni vilaza. Hapa namaanisha uwezo unatofautiana.Kama hauamini kuna walimu vilaza hiyo dhana yako ya TOP TALENT umeitoa wapi? Kwanini utafute hao TOP wakati wote wamehitimu elimu inayolingana?