Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata darasa la saba kuna watu waliokuwa na uwezo lakini mtihan wa kuhitimu elimu ya msingi ukifeli huendi kidato Cha kwanza kwa iyo kipimo Cha elimu yetu ni ufaulu na si vinginevyoKuna raia GPA zao ni za kawaida sana ila wana uwezo mkubwa sana wa kufundisha na wakaeleweka kuliko hao wenye mi GPA mikubwa ya kukariri mambo na si kuelewa
Hiyo interview ni mfumo pia wa utahini ndio maana Kuna oral interview and written interviewItabidi mfanye interview kama sisi wahasibu
Sina uroho ila njia tunayoitumia kwa mfumo wa elimu ni utahini kupitia NECTA,NACTE Na UE mfano darasa la kwanza mkaanza laki 9 la saba mkamaliza laki 6 na kidato Cha nne laki 3 six laki 1 na chuo elfu 50 madaraja hayo yamezalishwa na mifumo yetu ya elimu lazima tuieshimu kwenye kutoa ajira hapo hakuna upendeleo ila kutumia dhana ya kujitolea ambayo waziri kakiri Kuna udanganyifu ya uhalisia wa waliojitolea ni kuendekeza rushwauna roho kubwa inakusumbua..
Hiv huna habari kuwa hata hizo GPA baadhi ya vyuo zinapatikana bure kabisa, GPA sio kipimo bo
Vitumike vigezo vyote kuanzia matokeo ya kidato Cha nne maana Kuna wengine walipata four ya 29 na anachaguliwa anaachwa aliepata three hapa pana ukakasiHiv huna habari kuwa hata hizo GPA baadhi ya vyuo zinapatikana bure kabisa, GPA sio kipimo bora.
Hakuna aliejitolea kilichofanyika ni baadhi ya wakuu wa shule walihamasisha wazazi wachangie mchango kukabiliana na upungufu wa waalimu ndio maana shule zilizowekwa ni zile za mjini pia kuna watu wametumia chance kupata kuanzisha tuition.mfano halisi kuna shule mbili ni za A - Level huku masasi yaani ndwika wasichana na chiungutwa sekondari hazina waalimu wa history na geography walichokifanya ni kuwatumia graduate kwa posho ya 250K .Ni ukweli.Ubora wa mwalimu ni experience na expertise.
Expertise ni GPA, experience ni kujitolea.
Sawa Pazi.Hata darasa la saba kuna watu waliokuwa na uwezo lakini mtihan wa kuhitimu elimu ya msingi ukifeli huendi kidato Cha kwanza kwa iyo kipimo Cha elimu yetu ni ufaulu na si vinginevyo
GPA ni kigezo muhimu na hiyo ndio msingi wa measurement and evaluation na ndio mfumo tunaotumia kwenye elimu ndio maana mwenye four kidato cha nne hana sifa ya kusoma kidato cha tano
Hyo ndo sahh kabsaGPA kisha matokeo ya kidato cha nne kisha matokeo ya kidato cha sita
Wewe ulipata?GPA takataka tuu, vyuo vingine GPA hata kilaza anapata ,hata UDSM siku hizi hamna kitu.
Mfumo wa wahitimu wote wamepitia mitihani hivyo maamuzi sahihi nikutumia njia hiyohiyo hivyo GPA ndio njia sahihi nje ya hapo ni kuruhusu nepotism,rushwa na upendeleoMtoa mada ana makamasi kichwani.
Utakuwa timamu kufananisha GPA za chuo kama UDSM na MWECAU/TEKU.Mfumo wa wahitimu wote wamepitia mitihani hivyo maamuzi sahihi nikutumia njia hiyohiyo hivyo GPA ndio njia sahihi nje ya hapo ni kuruhusu nepotism,rushwa na upendeleo
Mkuu fuga kuku au tafta kishule cha private upige kazi hizi ajira za serikali zitakutia uchizi bure.Sina uroho ila njia tunayoitumia kwa mfumo wa elimu ni utahini kupitia NECTA,NACTE Na UE mfano darasa la kwanza mkaanza laki 9 la saba mkamaliza laki 6 na kidato Cha nne laki 3 six laki 1 na chuo elfu 50 madaraja hayo yamezalishwa na mifumo yetu ya elimu lazima tuieshimu kwenye kutoa ajira hapo hakuna upendeleo ila kutumia dhana ya kujitolea ambayo waziri kakiri Kuna udanganyifu ya uhalisia wa waliojitolea ni kuendekeza rushwa
Ni ufala na mimi nitakuja Serikali iajiri Vyuo vya serikali maana jamaa limesoma Teku wamejaziana Gpa za chupi analeta ujingaNaona sahizi kila mtu anataka serikali iajiri kulingana na vigezo alivyonavyo yeye binafsi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Ni ufala na mimi nitakuja Serikali iajiri Vyuo vya serikali maana jamaa limesoma Teku wamejaziana Gpa za chupi analeta ujinga
'tafuta kishule cha private upige kazi' hii sentensi umeandika kirahisi kama vile rahisi sanaMkuu fuga kuku au tafta kishule cha private upige kazi hizi ajira za serikali zitakutia uchizi bure.