Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kuna mwingine huku alikuwa kasoma sana zaidi ya wazee alowakuta alipotaka kuwaongoza hakubishiwa NDANI ya wiki siku moja alfajiri akienda kupiga adhana alikutana na Simba alifukua mbio msuli na KOBAZI vliokotwa na wengine hakurudia tena pia Kuna mwingine tena alileta ngenga mbele ya wazee wa itifaki alizabuliwa Kofi kuamka Asubuhi shavu kama nusu tikiti Naye akatafuta wakubwa zaidi akapona lakini mzee aliyehusika kumfanyia huo ubaya nae alitandikwa Kofi usiku NDANI ya siku tatu Chali NDANI ya mwanandani chezea weye
Poleni sana endelea kutumia zile dawa zako
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaidha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haumpi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.

Hujajibu swali ila unawakashfu TEC
 
Kuna mwingine huku alikuwa kasoma sana zaidi ya wazee alowakuta alipotaka kuwaongoza hakubishiwa NDANI ya wiki siku moja alfajiri akienda kupiga adhana alikutana na Simba alifukua mbio msuli na KOBAZI vliokotwa na wengine hakurudia tena pia Kuna mwingine tena alileta ngenga mbele ya wazee wa itifaki alizabuliwa Kofi kuamka Asubuhi shavu kama nusu tikiti Naye akatafuta wakubwa zaidi akapona lakini mzee aliyehusika kumfanyia huo ubaya nae alitandikwa Kofi usiku NDANI ya siku tatu Chali NDANI ya mwanandani chezea weye
Kwa ujumla u sheikh na uchawi ni sambamba.
Usipokuwa mzito huwezi kuongoza ibada
 
Kwa mtazamo wangu kusoma Sana elimu dunia Kuna faida yake lakini swala la Imani ni la nafsi, mawasiliano yako wewe na Mungu wako ni yaki binafsi zaidi. Kuwa kiongozi wa dini fulani kunahitaji tu wewe kubobea kwenye ufahamu wa dini hiyo. Hapa sioni mantiki ya kusoma madarasa mengi na kuwa kiongozi wa dini. Mwisho tuheshimu dini na viongozi wa dini zingine
 
- uko na midevu mirefu? Basi umekaribia

- uko na kanzu, baraghashia, kizibao na kobazi? Hauko mbali kua sheikh.

- achana na elimu dunia, umepiga madrassa na uko na aya kadhaa za Qur'an kichwani? Wewe tayari ni sheikh!



LEO NAPIGA KOTE!



- Uko na mistari miwili mitatu ya bibilia kichwani? Unasubiri nini kua mtume au nabii?

- unaweza kupata watu kadhaa wakatoa ushuhuda wa uongo na kuigiza kua wamepona? Fungua kanisa mzee.

- unaweza kuongea kwa hisia na sauti kubwa? Unaipenda Israel? Wewe ni mchungaji.



Haya leteni mapovu wavaa kobazi na wagalatia!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]



🤣🤣🤣🤣
 
Mumehama kutoka kwenye hoja mmeenda kwenye kashfa mnachogombea ni kujifanya mnalijua sana gari aina ya Toyota kuliko mjapani aliyelitengeneza au kujiona wewe ni mzungu et Kwa sababu tu unajua kingereza na umevaa suti wakati rangi yako inakusuta. Nawashangaa watu weusi kugombana kwasababu ya dini za watu wengine. Waafrika tuna mambo mengi bado tuko nyuma hebu tujikite huko. Tumeazimwa dini, majina, mavazi (kope kucha nywele Kwa mama zetu ), elimu na teknolojia . Hapo ulipo jiulize kitu gani umechangia , hata bandari una
mpa mgeni akuendeshee
 
Anayemiliki majini mengi ndio sheikh.
Jirani yangu kuna msikiti hapa wanagombea kusalisha hadi mmoja kapigwa kitu Kawa bubu.

Sababu haswa kujifanya kuwahi asubuh ili aadhini.
Ile kuanza tu wallaau akibaru! Sauti ikaondoka jumla, hadi Saiz ni bubu.
Kitendo cha kumtambua mmliki majini tayali hata wewe mchawi wahenga walisema ajuae mwanga nae mwanga
 
HAKUNA Mwislam anayetamani kuishi kwenye nchi za Kiislam zenye Sharia. Wote nyie mna ndoto za kuishi Ulaya na Marekani kwenye Christian majority countries.

Waarabu wa Africa Kaskazini wanazamia kila siku kwenda Italy na Spain. Sijawahi kusikia wakizamia kwenda Syria, Iraq, Pakistan, Afghanistan wala Iran.

Hata Sheikh/Imamu wako ukimpa option ya kwenda kuishi Canada au Saudi Arabia atachagua Canada. [emoji1787]
Kila nafsi inaamini makutenda maovu ndio uhuru halisi ndio maana watu wanakimbilia huko ambako hakuna dini wala mila dini ya huko ulaya ni katiba tu
 
Kuvaa makubaz
Kuwa na wake 1,2,3,4
Kuvaa kanzu nyeupe
Angalau uwe na Majin kadhaa
Kuwa na ndevu
Mwanaume anae mshangaa mwanaume mwenzie mwenye ndevu fahamu mwanaume huyo lazima atakuwa shoga sababu ndevu kwa mwanaume ni sawa na manyoyo kwa mwanamke,jiulize kama kweli wewe ni mwanaume ulie kamilika unasimamisha unaanzaje kuchukia ndevu
 
Kuna mwingine huku alikuwa kasoma sana zaidi ya wazee alowakuta alipotaka kuwaongoza hakubishiwa NDANI ya wiki siku moja alfajiri akienda kupiga adhana alikutana na Simba alifukua mbio msuli na KOBAZI vliokotwa na wengine hakurudia tena pia Kuna mwingine tena alileta ngenga mbele ya wazee wa itifaki alizabuliwa Kofi kuamka Asubuhi shavu kama nusu tikiti Naye akatafuta wakubwa zaidi akapona lakini mzee aliyehusika kumfanyia huo ubaya nae alitandikwa Kofi usiku NDANI ya siku tatu Chali NDANI ya mwanandani chezea weye
Hayo mambo unayajuaje kama sio mwanga wewe?
 
Ulijuaje kama wewe sio mwanga?sababu uchawi haonekani tunuze haya unayajuaje
Wale wachawi wa kule kwetu Mbeya ni MASHEIKH ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wako wapumbavu ambao hurithi familiani [emoji1787][emoji1787]
 
Ndio maana kuna sheikh Mansoor hata mwenye pesa asiye na elimu ya dini anaitwa sheikh kwa heshima tu !
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaidha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haumpi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
Maelezo Mengi.. lakini hujajibu swali ndugu usipanic
 
Back
Top Bottom