Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hakuna nchi za kikristo dunia kwa vile ukristo sio mfumo wa maisha .Sheria zao zimefanyaje? Kwa nini hamkimbilii kuishi nchi za Kiislam kama hizo sheria za Kiislam ni nzuri kama mnavyo zisifia hapa?
Sijawahi kuona muislam mwenye ndoto za kuishi Yemen, Pakistan, Iran wala Afghanistan kwenye sheria za Alah.
Wote nyie mnakimbilia kwenye Christian Majority countries za Ulaya na Marekani.
Wanafiki sana nyie jamaa.
kule Dubai hamuendi mbona?😅😅 Punguza point dhaifu kabisa hata hapo libya pamechafukq hapakaliki na walisababisha vita ndo hao wanachukua mateka.
Mbona mimi natamani kuisha iran sema hapa bongo ni kwetu .
uislamu unajitegemea na unaishi popote hata pasipokuwa msikiti ,lazima dini ieneee izo nchi hazina wakristo ni wapagan wengi nchi ya kikristo ni vatican hao marekani hawawatambui na shobo zenu wala israel.