Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kaangalie sheria zao usiwe mfuata mkumbo ?

Sipendi kubishana na mtu hajui kitu.!
Sheria zao zimefanyaje? Kwa nini hamkimbilii kuishi nchi za Kiislam kama hizo sheria za Kiislam ni nzuri kama mnavyo zisifia hapa?

Sijawahi kuona muislam mwenye ndoto za kuishi Yemen, Pakistan, Iran wala Afghanistan kwenye sheria za Alah.

Wote nyie mnakimbilia kwenye Christian Majority countries za Ulaya na Marekani.

Wanafiki sana nyie jamaa.
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaidha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haumpi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
Aliyeelewa hapa anisaidie, nimetoka kapa!.
 
Nimecheka kwasababu, hautapata jibu zaidi ya kuwakasirisha wenye dini yao.
1. Ninavyoona mimi huwa ukiweza kusoma na kuandika kiarabu
2. Ukisoma elimu ya madrasa
3. Ukiweza kusoma Quran vizuri na kutafsri kwa kiswahili
4. Kuna elimu ya kusomea kuwajua na kuwaamuru majini. (Hii ni elimu ya juu kabisa na siyo kila muislamu anaweza kufikia elimu hii ni ya wachache)
Hapa unaweza kumuamuru jini akakuletea kitu chochote km fedha n.k ndiyo maana utawakuta baadhi ya mashekh, asubuhi, mchana na usiku yupo msikitini lkn ana hela, anajenga na kusomesha. Watu hawa ndiyo wenye uwezo wa kusoma Albadili (Uchawi) unaoamuru majini kupitia Quran wakalipize kisasi.
Elimu dunia huwa haina umuhimu hata km umeishia darasa la 7 ili mradi unajua 1, 2 na 3.
Kumbe unavyo ona wewe. Sasa tuletee Uislamu na Waislamu wanamzungumzia vipi "Sheikh".

Hivi Wakristo kwanini sio watu wa kusoma na kufatilia mambo ? Hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kumuamuru jini. Haya nyinyi mmeyapata wapi ?

Yaani Wakristo ndio maana wepesi sana kupelekwa pelekwa na viongozi wenu yaani wajinga sana.

Umeshupaza shingo hapa unaandika ujinga ambao ukiombwa utoe ushahidi unashindwa.
 
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!

Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs
Usijitoe ufahamu kijana wa hovyo....kashfa Kama hizi Ni laana kwako,maana uislam Ni dini ya Amani na upendo na hatufundishwi kukashifu Imani za watu Kama wewe.....sheikh inasimama Mara mbili Kuna sheikh mtu aliyefikia umri mkubwa,pili sheikh msomi wa elimu ya dini...uSifikirie unakuwa sheikh kiulani lazima usome uelimike na masomo ya dini ya kiislamu Ni magumu sio mchezo...elimu ya dini ya kiislamu Ina ngazi zote mpaka PhD usilete dharau kabisa.

Vyuo mashuhuri na vikongwe duniani Ni vya kiislam Kama Azhar shariff,University of Sudan,University of Madina n.k
Sheikh anaweza kuwa na elimu ya Digrii,Masters,Mpaka phd kutokana na muda aliosoma.
 
Waislam walioishika dini yao huwa ni wastaarabu sana. Si rahisi kumkuta anaunanga ukristo namna hiyo tena kwa mabaya lukuki.

Huwa naangali sana Mahaasin Tv hasa mawaidha, huwa hawana ujinga wa namna hii.

Ila huko mitandaoni naonaga clips za baadhi ya hotuba wanawadis viongozi wa dini wa kikristo waziwazi na kwa kuwataja majina kabisa, hii sio sawa kabisa. Wakati uislam unajitosheleza kabisa bila kuunanga au kuusema vibaya ukristo, hata hao mashekhe wabobevu wengi husema usemeni wema wa uislam na sio kuisema dini nyingine na kujenga chuki na sio urafiki.

Watu kama wewe ndio hufanya uislam uonekane ni ugaidi, chuki ya wazi, maneno ya kejeli na vijembe.
Umesahau mtoa mada ndio kaanzisha kejeli mkuu?
 
Wakuu ni katika kujifunza bila ukomo.

Mimi na wenzangu wasiojua, tunaomba kujuzwa vigezo vya mtu kuwa shehe. Nyongeza; kunakuwa na kiwango cha elimu yeyote ya kidunia au ni elimu ya dini tu?
Ukihifadhi Quran nzima na kuijuwa tafsiri yake na pia kuhifadhi hadithi nyingi za Mtume Muhamad Rehema za Mungu ziwe ju yake pamoja na amani wewe unaweza kuitwa Sheikh. Nahuwezi kuhifadhi Quran na kuhifadhi hadithi za bwana mtume Muhammad Reheza Mungu ziwe juu yake pamoja na amani pasipo kwenda vyuo vya dini ya kiislam kama hapo Tanzania chuo kipo cha dini ya kiislam au uende misri au uende madina nchini Saud Arabia ukirudi huko kusoma katika vyuo unaweza kuitwa Sheikh .
Vyuo mashuhuri na vikongwe duniani Ni vya kiislam Kama Azhar shariff,University of Sudan,University of Madina n.k
Sheikh anaweza kuwa na elimu ya Digrii,Masters,Mpaka phd kutokana na muda aliosoma
 
Mimi ni mpagani ila sijawahi kuona umuhimu wa wasomi nchi hii, sio kwenye siasa, makanisani wala misikitini...

Mtu mweusi anaendeshwa na tumbo, ukiona mtu anaongea ujue maslahi yake yameguswa. Sasa hivi hatuwasikii Bakwata sababu imani yao inawafunza mwislamu yeyote duniani ni ndugu yake kwahiyo hawawezi kuwapinga DP.

TEC nao wanahaha sababu waislamu wakishika bandari maslahi yao yataguswa.

Pande zote tatu, TEC, BAKWATA na WANASIASA nawaona mandezi tu.

Huu upepo unatakiwa utazame kwa mtazamo binafsi, mimi naukataa mkataba sababu ni mbovu, ila ukifuata misimamo ya makundi utapotea. Watu wako kimaslahi

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili kubwa
 
Mtu mweusi anaendeshwa na tumbo, ukiona mtu anaongea ujue maslahi yake yameguswa. Sasa hivi hatuwasikii Bakwata sababu imani yao inawafunza mwislamu yeyote duniani ni ndugu yake kwahiyo hawawezi kuwapinga DP.

TEC nao wanahaha sababu waislamu wakishika bandari maslahi yao yataguswa.



Noted...!
 
Mtu mweusi anaendeshwa na tumbo, ukiona mtu anaongea ujue maslahi yake yameguswa. Sasa hivi hatuwasikii Bakwata sababu imani yao inawafunza mwislamu yeyote duniani ni ndugu yake kwahiyo hawawezi kuwapinga DP.

TEC nao wanahaha sababu waislamu wakishika bandari maslahi yao yataguswa.



Noted...!
Hapo kwenye muislam ndugu yake muislam napapenda sana
 
Kuna jamaa hapa Magomeni baba yake alitoa eneo la kujenga msikiti. Kwahiyo yeye anapata mgao wa mapato ya msikiti. Hapa anaitwa Shekhe
Kumbe masjid Zina mapato? Yanatokana na Nini ilhali waislamu hawatoi swadakah?
 
Hapo kwenye muislam ndugu yake muislam napapenda sana
Lakini ajabu ni kwamba wote mnakimbilia kuishi nchi zilizostaarabika. Yaani hutaki kwenda kuishi kwa ndugu yako Yemen, unakimbilia kuishi kwa WASTAARABU ulaya na marekani. Tuache unafiki jamani.
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaidha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haumpi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
Huo uindeoendent ni wa wapi hupo nnachojua huwa mnasubiri watu wenu wa Bakatwa ndo wawatangazie sikukuu ilihali dunia nzima unakuta zishatangaziwa kabla ? Au uislamu wa Tanzania u special ukilinganisha na wa nchi nyinginezo ?
 
Wakristo mara nyingi wamekuwa wakijifanya wasomi.

Wanaenda mbali zaidi kwa kuwadharau waislamu kwamba ni 'wazee wa mdarasa' hawana elimu.

Cha ajabu usomi wao upo mdomoni tu huku nchi ikizidi kufubaa na wao wasomi wakiangalia tu.
TEC ni wakristo na hawajaacha nchi iendelee kufubaa, au huna habari?
 
Naam nawahoji Wakristo kuhusu elimu. Kuhimiza kuhusu ni jambo Moja, na kuisoma elimu ni jambo lingine, bali kuipata elimu sahihi ndio kipengele.

Nimekuuliza swali, Wakristo elimu mnayo iongelea ni elimu ipi ? Kama falsafa basi una tatizo la akili. Kama "Secular" kadhalika una shida bali kama elimu ya dini, ndio hamna kabisa sababu dini yenu imejengeka katika misingi mikusu miwili matamanio ya nafsi (humu utakuta uzandiki, dhulma na mfano wa hayo), na falsafa. Sasa kama mnajivunia falsafa ndio elimu ? Aisee kwenye elimu bado sana.

Maswali yangu Yana msingi sana, sababu nyinyi mnajifaragua na elimu za falsafa na usecular.

Hapana huwezi kuhimiza usicho kifahamu
Mfano: Huwezi imiza watu watumie kondom wakati hujui ina kazi gani au hutumii kabisa
Mle ndani si elimu ya falsafa tu, kuna mandaktari wa afya, kuna walimu wa kada mbali mbali, wako masister wenye taaluma mpaka za uhasibu.

Ndio maana ni miongoni mwa watu wa kwanza kuanzisha mashule, hospitals nchini.
Unaanziahaje taasisi kama hizo wkt ww mwenyewe kichwani ni empty? Si utazalisha failure?
 
Hapana huwezi kuhimiza usicho kifahamu
Mfano: Huwezi imiza watu watumie kondom wakati hujui ina kazi gani au hutumii kabisa
Mle ndani si elimu ya falsafa tu, kuna mandaktari wa afya, kuna walimu wa kada mbali mbali, wako masister wenye taaluma mpaka za uhasibu.

Ndio maana ni miongoni mwa watu wa kwanza kuanzisha mashule, hospitals nchini.
Unaanziahaje taasisi kama hizo wkt ww mwenyewe kichwani ni empty? Si utazalisha failure?
Hili linawezekana, waulize au wafatilie wote wanao himiza kondom wanazifahamu ? Wengine wamesikia tu juu juu umuhimu wa kondom, ila haimaanishi wanazifahamu.

Sasa swali kuwa na elimu hizo ndio zinamfanya vipi mtu kuwa makini ? Lakini kuwa na elimu hizo za ualimu, uhasibu, zinamfanya vipi mtu kuwa msomi wa dini ? Au kwenu nyinyi elimu ya dini mnachukuliaje ?
 
Wakuu ni katika kujifunza bila ukomo.

Mimi na wenzangu wasiojua, tunaomba kujuzwa vigezo vya mtu kuwa shehe. Nyongeza; kunakuwa na kiwango cha elimu yeyote ya kidunia au ni elimu ya dini tu?
Sheikh ni mtu alie somea masomo ya dini tu
 
Huo uindeoendent ni wa wapi hupo nnachojua huwa mnasubiri watu wenu wa Bakatwa ndo wawatangazie sikukuu ilihali dunia nzima unakuta zishatangaziwa kabla ? Au uislamu wa Tanzania u special ukilinganisha na wa nchi nyinginezo ?
Kaulize waislamu wote kama wanaitambua BAKWATA?

Usiwe kolo na maneno ya kupumbaa uislamu hauendeshwi na matamko kama vikundi vya ngoma.
 
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!

Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs
Wewe elimu yako hiyo inatusaidia nini sisi ambao hatuna elimu hiyo?
 
Back
Top Bottom