Sheria zao zimefanyaje? Kwa nini hamkimbilii kuishi nchi za Kiislam kama hizo sheria za Kiislam ni nzuri kama mnavyo zisifia hapa?Kaangalie sheria zao usiwe mfuata mkumbo ?
Sipendi kubishana na mtu hajui kitu.!
Sijawahi kuona muislam mwenye ndoto za kuishi Yemen, Pakistan, Iran wala Afghanistan kwenye sheria za Alah.
Wote nyie mnakimbilia kwenye Christian Majority countries za Ulaya na Marekani.
Wanafiki sana nyie jamaa.