Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Sheria zao zimefanyaje? Kwa nini hamkimbilii kuishi nchi za Kiislam kama hizo sheria za Kiislam ni nzuri kama mnavyo zisifia hapa?

Sijawahi kuona muislam mwenye ndoto za kuishi Yemen, Pakistan, Iran wala Afghanistan kwenye sheria za Alah.

Wote nyie mnakimbilia kwenye Christian Majority countries za Ulaya na Marekani.

Wanafiki sana nyie jamaa.
Wakisema wanakimbilia huko kimkakati utawajibu nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!

Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs
Halafu kuna watu huwa wanakaa na kuwasikiliza wale masheikh wapumbavu
 
Sheikh ni title ya uongozi, ndiyo maana falme za kiarabu Prince anaitwa Sheikh na Princess anaitwa Sheikha,
Huku kwetu kuitwa sheikh inaonekana ni msomi wa dini
Kwa asili ya Uislam kuna uongozi wa Khalifa (Caliph, Kiongozi Mkuu) Sultaniyaa (Sultanate, kiongozi wa Nchi) na Imamiyah (imam kwa Maeneo/vitongoji) As per Islamic Caliphate System, it should be known that all the religious functions of the religious law, such as prayer, the office of judge, the office of mufti, jihad, and market supervision (hisbah) fall under the "great imamate," which is the caliphate. (The caliphate) is a kind of great mainspring and comprehensive basis, and all these (functions) are branches of it and fall under it because of the wide scope of the caliphate, its active interest in all conditions of the Muslim community, both religious and worldly, and its general power to execute the religious laws relative to both (religious and worldly affairs). The leadership of prayer is the highest of (all) these functions and higher than royal authority as such, which, like (prayer), falls under the caliphate. This is attested by the (circumstance) that the men around Prophet Muhammad deduced from the fact that Abu Bakr had been appointed (Muhammad's) representative as prayer leader, the fact that he had also been appointed his representative in political leadership. They said: "The Messenger of God found him acceptable for our religion. So, why should we not accept him for our worldly affairs?"If prayer did not rank higher than political leadership, the analogical reasoning would not If this is established.
it should be known that city mosques are of two kinds, great spacious ones which are prepared for holiday prayers; and other, minor ones which are restricted to one section of the population or one quarter of the city and which are not for the generally attended prayers. Care of the great mosques rests with the caliph or with those authorities, wazirs, or judges, to whom he delegates it. A prayer leader (imam) for each mosque is appointed for the five daily prayers, the Friday service, the two festivals, the eclipses of (the sun and the moon), and the prayer for rain. This (arrangement) is obligatory only in the sense that it is preferable and better. It also serves the purpose of preventing the subjects from usurping one of the duties of the caliphs connected with the supervision of the general (public) interests. The (arrangement) is considered necessary by those who consider the Friday service necessary, and who, therefore, consider it necessary to have a prayer leader appointed. Administration of the mosques that are restricted to one section of the population or to one quarter of the city rests with those who live nearby. These mosques do not require the supervision of a caliph or ruler. The laws and conditions governing the office of (prayer leader) and the person entrusted with it are known from the law books.
Huu ni utaratibu uloanzishwa enzi za Khalifa Umar bin Kattab mpaka Ottoman Empire waliutumia
Kufuatia kuanguka kwa dola ya Ottoman, ndipo uongozi huo napo ulipopoptea na matokeo yake viongozi wa dini kwa nchi kama Tanzania anapatikana kwa njia tofauti na hata mamlaka yake haina nguvu
Kwa nchi zenye utawala wa Kiislam bado utaratibu upo na hata hotuba za kila Ijumaa na Sikukuu za Idd huandaliwa na state
 
Hakuna nchi za kikristo dunia kwa vile ukristo sio mfumo wa maisha .

kule Dubai hamuendi mbona?[emoji28][emoji28] Punguza point dhaifu kabisa hata hapo libya pamechafukq hapakaliki na walisababisha vita ndo hao wanachukua mateka.


Mbona mimi natamani kuisha iran sema hapa bongo ni kwetu .

uislamu unajitegemea na unaishi popote hata pasipokuwa msikiti ,lazima dini ieneee izo nchi hazina wakristo ni wapagan wengi nchi ya kikristo ni vatican hao marekani hawawatambui na shobo zenu wala israel.
Wapi nimesema nchi za ulaya ni nchi za Kikristo? Mbona unakurupuka mvaa kobazi?

Nimesema nchi za Ulaya na Marekani ni CHRISTIAN MAJORITY COUNTRIES. Au neno MAJORITY ndio limekuchanganya?

Halafu Umenichekesha uliposema Unataka kuishi Iran [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hebu Acha kuzuga.

Hamna Mwislam anayetaka kwenda Iran aache kwenda Sweden/Germany/Canada/France etc... HAYUPO.

Hao Wairan wenyewe wanaongoza kukimbilia Ulaya na Marekani... Tena wakikusikia ulichosema watakucheka sana.

Punguzeni Unafiki nyie watu.
 
Huu hapa ni mfumo wa Catholic Church na asili yake

The Messiah (Jesus) brought (the Jews) his religion, as is known. He abolished some of the laws of the Torah. He performed marvelous wonders, such as healing the insane and reviving the dead. Many people joined him and believed in him. The largest group among his following were his companions, the Apostles. There were twelve of them. He sent some of them as messengers (Apostles) to all parts of the world. They made propaganda for his religious group. That was in the days of Augustus, the first of the Roman emperors, and during the time of Herod, the king of the Jews, who had taken away royal authority from the Hasmoneans, his relatives by marriage. The Jews envied (Jesus) and declared him a liar. Their king, Herod, wrote to the Roman Emperor, Augustus, and incited him against (Jesus). The Roman Emperor gave (the Jews) permission to kill him, and the story of Jesus as recited in the Qur'an occurred. The Apostles divided into different groups. Most of them went to the country of the Romans and made propaganda for the Christian religion. Peter was the greatest of them. He settled in Rome, the seat of the Roman emperors. They then wrote down the Gospel that had been revealed to Jesus, in four recensions according to their different traditions. Matthew wrote his Gospel in Jerusalem in Hebrew. It was translated into Latin by John, the son of Zebedee, one of (the Apostles). (The Apostle) Luke wrote his Gospel in Latin for a Roman dignitary. (The Apostle) John, the son of Zebedee, wrote his Gospel in Rome. Peter wrote his Gospel in Latin and ascribed it to his pupil Mark. These four recensions of the Gospel differ from each other. Not all of it is pure revelation, but (the Gospels) have an admixture of the words of Jesus and of the Apostles. Most of (their contents) consists of sermons and stories. There are very few laws in them. The Apostles came together at that time in Rome and laid down the rules of the Christian community. They entrusted them to Clement, a pupil of Peter, noting in them the list of books that are to be accepted and in accordance with which one must act. (The books which) belong to the old religious law of the Jews are the following: The Torah, which consists of five volumes.
The Book of Joshua.
The Book of Judges.
The Book of Ruth.
The Book of Judith.
The four Books of Kings.
The Book of Chronicles.
The three Books of Maccabees, by Ibn Gorion.
The Book of Ezra, the religious leader.
The Book of Esther and the story of Haman.
The Book of Job the Righteous. The Psalms of David. The five Books of David's son, Solomon.
The sixteen Prophecies of the major and minor prophets. The Book of Jesus, the son of Sira, the minister of Solomon. (The books of) the religious law of Jesus that was received by the Apostles are the following:
The four recensions of the Gospel.
The Book of Paul which consists of fourteen epistles.
The Katholika (General Epistles) which consist of seven epistles, the eighth being the Praxeis (Acts), stories of the Apostles.
The Book of Clement which contains the laws.
The Book of the Apocalypse (Revelation) which contains the vision of John, the son of Zebedee.
The attitude of the Roman emperors toward Christianity varied. At times, they adopted it and honored its adherents. At other times, they did not recognize it and persecuted its adherents and killed and exiled them. Finally, Constantine appeared and adopted Christianity. From then on, all (the Roman emperors) were Christians.The head of the Christian (community) and the person in charge of (Christian religious) institutions is called Patriarch. He is their religious head and the representative (caliph) of the Messiah among them. He sends his delegates and representatives to the remote Christian nations. They are called "bishop," that is, delegate of the Patriarch. The man who leads the prayers and makes decisions in religious matters is called "priest." The person who withdraws from society and retires into solitude for worship is called "monk." The latter usually seek solitude in (monastic) cells. The Apostle Peter, the chief Apostle and oldest of the disciples, was in Rome and established the Christian religion there. Nero, the fifth Roman emperor, killed him
Successor to Peter at the Roman see was Arius. Mark the Evangelist spent seven years in Alexandria and Egypt and the Maghrib making propaganda. After him came Ananias, who was called Patriarch. He was the first Patriarch there. He appointed twelve priests to be with him, and it was arranged that when the Patriarch died, one of the twelve should take his place, and one of the faithful be elected to take his place as the twelfth priest. Thus, the patriarchate fell to the priests. Later on, dissension broke out among the Christians with regard to the basic principles and articles of their religion. They assembled in Nicea in the days of Constantine, in order to lay down (the doctrine of) true Christianity. Three hundred and eighteen bishops agreed upon one and the same doctrine of Christianity. They wrote it down and called it "the Creed." They made it the fundamental principle to which they would all have reference. Among the things they set down in writing was that with respect to the appointment of the Patriarch as the head of Christianity, no reference should be made to the independent judgment of the priests, as Ananias, the disciple of Mark, had prescribed. That point of view was abolished. The Patriarch was to come from a large group and to be elected by the leaders and chiefs of the believers. It has been so ever since. Later on, other dissensions arose concerning the basic principles of Christianity. Synods concerned with regulating (the religion), were assembled, but there was no dissension with regard to the basic principles (of the method of selecting the Patriarch). It has remained the same ever since. The Patriarchs always appointed bishops as their delegates. The bishops used to call the Patriarch "Father," as a sign of respect. The priests similarly came to call the bishop "Father," when he was not together with the Patriarch, as a sign of respect. This caused confusion in the use of the title over a long period, ending, it is said, with the Patriarchate of Heraclius in Alexandria. It was considered desirable to distinguish the Patriarch from the bishop in the matter of respect (shown to him by style of address). Therefore, the Patriarch was called "Pope," that is, "Father of fathers." The name (of "Pope") first appeared in Egypt, according to the theory expressed in his History. It was then transferred to the occupant of the most important see in (Christianity), the see of Rome, which was the see of the Apostle Peter, as we have mentioned before. The title of Pope has remained characteristic of the see of Rome down to this day. Thereafter, there were dissensions among the Christians with regard to their religion and to Christology. They split into groups and sects, which secured the support of the various Christian rulers against each other. At different times there appeared different sects. Finally, these sects crystallized into three groups, which constitute the (Christian) sects. Others have no significance. These are the Melchites, the Jacobites, and the Nestorians. In general, they are well known. Later on, each sect had its own Patriarch. The Patriarch of Rome is today called "Pope." He is of the Melchite persuasion. Rome belongs to the European Christians. Their royal authority is established in that region.
 
Wapi nimesema nchi za ulaya ni nchi za Kikristo? Mbona unakurupuka mvaa kobazi?

Nimesema nchi za Ulaya na Marekani ni CHRISTIAN MAJORITY COUNTRIES. Au neno MAJORITY ndio limekuchanganya?

Halafu Umenichekesha uliposema Unataka kuishi Iran [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hebu Acha kuzuga.

Hamna Mwislam anayetaka kwenda Iran aache kwenda Sweden/Germany/Canada/France etc... HAYUPO.

Hao Wairan wenyewe wanaongoza kukimbilia Ulaya na Marekani... Tena wakikusikia ulichosema watakucheka sana.

Punguzeni Unafiki nyie watu.
Nyie kwenu Vatican 😅😅palipoanzia dini yenu , Marekani hawatambui na huko israel ndo hamtakiwa kabisa.


Kwani ulizaliwa uende kweny nchi za watu hata Marekani kwa ubaguzi wa rangi hawajambo ,wewe ni mweusi kama mkaa hakuna mweupe anayekupenda daima baki kwenu kijijini ulime mihogo.

😅😅😅Mara ushoboke na nchi za watu halafu mweusi kama mkaa..!
 
Anayemiliki majini mengi ndio sheikh.
Jirani yangu kuna msikiti hapa wanagombea kusalisha hadi mmoja kapigwa kitu Kawa bubu.

Sababu haswa kujifanya kuwahi asubuh ili aadhini.
Ile kuanza tu wallaau akibaru! Sauti ikaondoka jumla, hadi Saiz ni bubu.
 
Nyie kwenu Vatican [emoji28][emoji28]palipoanzia dini yenu , Marekani hawatambui na huko israel ndo hamtakiwa kabisa.


Kwani ulizaliwa uende kweny nchi za watu hata Marekani kwa ubaguzi wa rangi hawajambo ,wewe ni mweusi kama mkaa hakuna mweupe anayekupenda daima baki kwenu kijijini ulime mihogo.

[emoji28][emoji28][emoji28]Mara ushoboke na nchi za watu halafu mweusi kama mkaa..!
HAKUNA Mwislam anayetamani kuishi kwenye nchi za Kiislam zenye Sharia. Wote nyie mna ndoto za kuishi Ulaya na Marekani kwenye Christian majority countries.

Waarabu wa Africa Kaskazini wanazamia kila siku kwenda Italy na Spain. Sijawahi kusikia wakizamia kwenda Syria, Iraq, Pakistan, Afghanistan wala Iran.

Hata Sheikh/Imamu wako ukimpa option ya kwenda kuishi Canada au Saudi Arabia atachagua Canada. [emoji1787]
 
Wakristo mara nyingi wamekuwa wakijifanya wasomi.

Wanaenda mbali zaidi kwa kuwadharau waislamu kwamba ni 'wazee wa mdarasa' hawana elimu.

Cha ajabu usomi wao upo mdomoni tu huku nchi ikizidi kufubaa na wao wasomi wakiangalia tu.
Wakati hayo yakitokea wewe unakuaga wapi?
 
Anayemiliki majini mengi ndio sheikh.
Jirani yangu kuna msikiti hapa wanagombea kusalisha hadi mmoja kapigwa kitu Kawa bubu.

Sababu haswa kujifanya kuwahi asubuh ili aadhini.
Ile kuanza tu wallaau akibaru! Sauti ikaondoka jumla, hadi Saiz ni bubu.
Kuna mwingine huku alikuwa kasoma sana zaidi ya wazee alowakuta alipotaka kuwaongoza hakubishiwa NDANI ya wiki siku moja alfajiri akienda kupiga adhana alikutana na Simba alifukua mbio msuli na KOBAZI vliokotwa na wengine hakurudia tena pia Kuna mwingine tena alileta ngenga mbele ya wazee wa itifaki alizabuliwa Kofi kuamka Asubuhi shavu kama nusu tikiti Naye akatafuta wakubwa zaidi akapona lakini mzee aliyehusika kumfanyia huo ubaya nae alitandikwa Kofi usiku NDANI ya siku tatu Chali NDANI ya mwanandani chezea weye
 
Anayemiliki majini mengi ndio sheikh.
Jirani yangu kuna msikiti hapa wanagombea kusalisha hadi mmoja kapigwa kitu Kawa bubu.

Sababu haswa kujifanya kuwahi asubuh ili aadhini.
Ile kuanza tu wallaau akibaru! Sauti ikaondoka jumla, hadi Saiz ni bubu.
Inaonyesha wewe ni Mgonjwa pole sana
 
Back
Top Bottom