Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Poleni sana endelea kutumia zile dawa zako
 

Hujajibu swali ila unawakashfu TEC
 
Kwa ujumla u sheikh na uchawi ni sambamba.
Usipokuwa mzito huwezi kuongoza ibada
 
Kwa mtazamo wangu kusoma Sana elimu dunia Kuna faida yake lakini swala la Imani ni la nafsi, mawasiliano yako wewe na Mungu wako ni yaki binafsi zaidi. Kuwa kiongozi wa dini fulani kunahitaji tu wewe kubobea kwenye ufahamu wa dini hiyo. Hapa sioni mantiki ya kusoma madarasa mengi na kuwa kiongozi wa dini. Mwisho tuheshimu dini na viongozi wa dini zingine
 



🤣🤣🤣🤣
 
Mumehama kutoka kwenye hoja mmeenda kwenye kashfa mnachogombea ni kujifanya mnalijua sana gari aina ya Toyota kuliko mjapani aliyelitengeneza au kujiona wewe ni mzungu et Kwa sababu tu unajua kingereza na umevaa suti wakati rangi yako inakusuta. Nawashangaa watu weusi kugombana kwasababu ya dini za watu wengine. Waafrika tuna mambo mengi bado tuko nyuma hebu tujikite huko. Tumeazimwa dini, majina, mavazi (kope kucha nywele Kwa mama zetu ), elimu na teknolojia . Hapo ulipo jiulize kitu gani umechangia , hata bandari una
mpa mgeni akuendeshee
 
Anayemiliki majini mengi ndio sheikh.
Jirani yangu kuna msikiti hapa wanagombea kusalisha hadi mmoja kapigwa kitu Kawa bubu.

Sababu haswa kujifanya kuwahi asubuh ili aadhini.
Ile kuanza tu wallaau akibaru! Sauti ikaondoka jumla, hadi Saiz ni bubu.
Kitendo cha kumtambua mmliki majini tayali hata wewe mchawi wahenga walisema ajuae mwanga nae mwanga
 
Kila nafsi inaamini makutenda maovu ndio uhuru halisi ndio maana watu wanakimbilia huko ambako hakuna dini wala mila dini ya huko ulaya ni katiba tu
 
Kuvaa makubaz
Kuwa na wake 1,2,3,4
Kuvaa kanzu nyeupe
Angalau uwe na Majin kadhaa
Kuwa na ndevu
Mwanaume anae mshangaa mwanaume mwenzie mwenye ndevu fahamu mwanaume huyo lazima atakuwa shoga sababu ndevu kwa mwanaume ni sawa na manyoyo kwa mwanamke,jiulize kama kweli wewe ni mwanaume ulie kamilika unasimamisha unaanzaje kuchukia ndevu
 
Hayo mambo unayajuaje kama sio mwanga wewe?
 
Ulijuaje kama wewe sio mwanga?sababu uchawi haonekani tunuze haya unayajuaje
Wale wachawi wa kule kwetu Mbeya ni MASHEIKH ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wako wapumbavu ambao hurithi familiani [emoji1787][emoji1787]
 
Ndio maana kuna sheikh Mansoor hata mwenye pesa asiye na elimu ya dini anaitwa sheikh kwa heshima tu !
 
Maelezo Mengi.. lakini hujajibu swali ndugu usipanic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…