Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kila nafsi inaamini makutenda maovu ndio uhuru halisi ndio maana watu wanakimbilia huko ambako hakuna dini wala mila dini ya huko ulaya ni katiba tu
Asante kwa kukubaliana na mimi.

Hiyo ina prove kuwa hizo sharia za Kiislam mnazozisifia kila siku hata nyie wenyewe HAMZITAKI kwa sababu Hazifai.

Sharia za Kiislam hazina ubora wowote ule. Zingekuwa bora tungewaona mkikimbilia kuishi nchi za Sharia.
Ila cha ajabu Nyie wenyewe MNAZIKIMBIA hizo nchi na hamzitaki.

Hata wewe 25000q HUZITAKI hizo sharia. Kwa sababu NINA UHAKIKA(ukiweka unafiki pembeni) ukipewa option ya kuishi Iran, nchi ya Kiislam au Kuishi Italy, a Christian majority country.. Utachagua Italy.
 
Asante kwa kukubaliana na mimi.

Hiyo ina prove kuwa hizo sharia za Kiislam mnazozisifia kila siku hata nyie wenyewe HAMZITAKI kwa sababu Hazifai.

Sharia za Kiislam hazina ubora wowote ule. Zingekuwa bora tungewaona mkikimbilia kuishi nchi za Sharia.
Ila cha ajabu Nyie wenyewe MNAZIKIMBIA hizo nchi na hamzitaki.

Hata wewe 25000q HUZITAKI hizo sharia. Kwa sababu NINA UHAKIKA(ukiweka unafiki pembeni) ukipewa option ya kuishi Iran, nchi ya Kiislam au Kuishi Italy, a Christian majority country.. Utachagua Italy.
Unapo isemea nafsi yangu hapo ndipo unapo kosea powa ni maoni yako,fahamu nchi inayo ongoza kwa kutumia sheria hukumu za kiisilamu ni nchi 2 tu duniani afoghani sitani Iran tu

Kinacho wapeleka watu wengi huko ulaya kwanza ajira mtu akipata uraya tu kafaulu mishara hipo viwanda mashamba tofaoti na nchi za kiarabu

Na kiafirika pia ifahamike kuwa wazungu wao wanataka mtu aheshimu katiba tu sio mila wala dini ndio maana mtu anaweza kuamua kuwa shoga basha kumfanya myama mke mume nk

Kinacho wakimbiza watu waarabu kwenda ulaya sio kufuata raha huko bali maisha kwao ni magumu baadhi ya nchi za kiarabu mwanzo waliishi vizuli tu kabura watala wao kupinduliwa na kuuwawa hakuna waarabu waliotamini kuishi uzunguni hapo kabla
 
Unapo isemea nafsi yangu hapo ndipo unapo kosea powa ni maoni yako,fahamu nchi inayo ongoza kwa kutumia sheria hukumu za kiisilamu ni nchi 2 tu duniani afoghani sitani Iran tu

Kinacho wapeleka watu wengi huko ulaya kwanza ajira mtu akipata uraya tu kafaulu mishara hipo viwanda mashamba tofaoti na nchi za kiarabu

Na kiafirika pia ifahamike kuwa wazungu wao wanataka mtu aheshimu katiba tu sio mila wala dini ndio maana mtu anaweza kuamua kuwa shoga basha kumfanya myama mke mume nk

Kinacho wakimbiza watu waarabu kwenda ulaya sio kufuata raha huko bali maisha kwao ni magumu baadhi ya nchi za kiarabu mwanzo waliishi vizuli tu kabura watala wao kupinduliwa na kuuwawa hakuna waarabu waliotamini kuishi uzunguni hapo kabla
Basically Unasema kuwa Waarabu wanakimbia nchi zao kufuata Maisha mazuri Ulaya.

Kwa hiyo Sharia za Alah ZIMESHINDWA kutoa maisha mazuri?

Sharia za Alah zimeprove FAILURE ya kutoa maisha mazuri kwa hao wanaozifuata.

Huoni sasa kuwa ni sharia ambayo haijakamilika kwa sababu haiwezi kutoa maisha ya kueleweka hapa Duniani?

Katiba ya Mzungu inatoa maisha mazuri kuliko Sharia za Alah... Sijui kama unaona hilo?

Sharia za Alah Zimezidiwa na Katiba na Demokrasia ya Mzungu... Inachekesha kweli aisee
 
Basically Unasema kuwa Waarabu wanakimbia nchi zao kufuata Maisha mazuri Ulaya.

Kwa hiyo Sharia za Alah ZIMESHINDWA kutoa maisha mazuri?

Sharia za Alah zimeprove FAILURE ya kutoa maisha mazuri kwa hao wanaozifuata.

Huoni sasa kuwa ni sharia ambayo haijakamilika kwa sababu haiwezi kutoa maisha ya kueleweka hapa Duniani?

Katiba ya Mzungu inatoa maisha mazuri kuliko Sharia za Alah... Sijui kama unaona hilo?

Sharia za Alah Zimezidiwa na Katiba na Demokrasia ya Mzungu... Inachekesha kweli aisee
Kwanza ulitakiwa ufahamu allah nini na mzungu ni nani naunapo zungumzia sheria za allah unaimani nini

Nimekuambia kuwa hapa duniani nchi zilizo jitangaza kuhukumu kwa sheria,a ni 2 pia ni kakwambia kuwa hapo kabla nchi za waarabu ziliishi vizuli kabla huyo Mungu wako mzungu ajapeleka majeshi yake na kuondoa utawala wao

Matokeo yake zimakuwa na vulugu dhiki baadhi sasa wanazamia meli.kwenda uzunguni kufuata kazi vibalua kwenye mashamba na viwanda

Hata ukereine hapo kabla raiya wao waliiishi sawa kwa raha na familia zao lao wamekuwa watumwa na wakimbizi kwenye nchi za wazungu sababu vita

Waarabu hawa wezi kimbila nchi za kiarabu sababu hakuna mashamba wala viwanda wewe shukuru nchi yako hiko sawa ndio maana unawashanga waarabu kukimbilia uzunguni kuishi kitumwa ila lengo.lako nimesha kuelewa unako elekea lamuhimu kwako jifunze kumjua allah ninani nasheria zake zinalenga walimwengu waishi maisha gani na walimwengu kipi wanacho kuhitaji ushabiki wako weka kando
 
Maelezo Mengi.. lakini hujajibu swali ndugu usipanic
Viongozi wa kiislamu wanaitwa "Amiri kwa wanaume " na "amirat kwa wanawake"

Wana ngazi zile zile kama sekta ya uchumi, taaluma, usafi, mazingira, wahamasishaji ,nidhamu na sehemu kibao kila sehemu lazima usomee kwa elimu zote.

Nimekujibu maana uislamu haujui mgalatia 😄😄.

Shekhe au shehe ni muislamu yeyote yule na ni neno la kwaida ,wengine hata madrasa hawajaenda hata mimi na wwe ni mashekhe maana tunaweza kufungisha ndoa ,kuswalisha hata kumsilimisha mtu.
 
Viongozi wa kiislamu wanaitwa "Amiri kwa wanaume " na "amirat kwa wanawake"

Wana ngazi zile zile kama sekta ya uchumi, taaluma, usafi, mazingira, wahamasishaji ,nidhamu na sehemu kibao kila sehemu lazima usomee kwa elimu zote.

Nimekujibu maana uislamu haujui mgalatia [emoji1][emoji1].

Shekhe au shehe ni muislamu yeyote yule na ni neno la kwaida ,wengine hata madrasa hawajaenda hata mimi na wwe ni mashekhe maana tunaweza kufungisha ndoa ,kuswalisha hata kumsilimisha mtu.
Kwenye upande WA elimu huwa wasoma na Dini nyingine pia?.. Kwa mfano elimu ya thiolojia wanayosoma viongozi kama WA Roman katoliki hupitia Dini zote mpaka wale mabudha.. hapa wanapenda nnje kidogo ya imani ili iwerahisi kudumisha mahusiano pamoja na uvumilivu WA kuishi na watu WA Dini tofauti.. ukiachilia mbali Ni lazima kusoma elimu ya saikolijia pia.. mpaka anahitimu mafunzo anakuwa amesoma Mambo Mengi ya Dunia pia

Je, Kwa upande WA nyie ndugu zetu huwa mna kitu kama hicho?
 
Kwenye upande WA elimu huwa wasoma na Dini nyingine pia?.. Kwa mfano elimu ya thiolojia wanayosoma viongozi kama WA Roman katoliki hupitia Dini zote mpaka wale mabudha.. hapa wanapenda nnje kidogo ya imani ili iwerahisi kudumisha mahusiano pamoja na uvumilivu WA kuishi na watu WA Dini tofauti.. ukiachilia mbali Ni lazima kusoma elimu ya saikolijia pia.. mpaka anahitimu mafunzo anakuwa amesoma Mambo Mengi ya Dunia pia

Je, Kwa upande WA nyie ndugu zetu huwa mna kitu kama hicho?
Uislamu unasoma elimu maana zipo nyingi yaani wamemegua vipande Mfano watu wa dawaah yaani wahamasishaji mfano Dr zakir Naik yule ni mhamasishaji anasoma elimu zote zaidi ya theology ili awe nondo katika kulingania watu na kujibu maswali achana na wale wa midahalo (debate) ..Mtu alibase katik uhamasishaji ni nondo zaidi na pia inachukua it's a life -time devoted service unajitoa haswa kusoma hata miaka zaidi ya 30 uwe nondo ni kazi ngumu sana.


Unapokuwa muhamasishaji lazima uwe na knowledge kubwa zaidi na wale wapo wanajua lugha zaidi ya 5.


Wapo watu wa uchumi hawa wana maarifa yote ya kimazingira (elimu ya kawaida) pia lazima wabobee kweny elimu ya sharia (sheria) wajue baadhi ya mambo ya uchumi kulingana na dini na mambo ya kijamii ... Ukisoma hii unaweza kuitumia kweny nchi zenye sharia pekee na kweny taasisi za kidini labda mabanks ya private wanajuq jinsi gani ya kupata faidi kwa njia za kiislamu..
 
Back
Top Bottom