Kigezo cha Rais bora hakipimwi na wanyonge, Wanyonge hawaelewi chochote kuhusu siasa wala uchumi

Kigezo cha Rais bora hakipimwi na wanyonge, Wanyonge hawaelewi chochote kuhusu siasa wala uchumi

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi matajiri, nitrawaruhusu kufanya biashara popote, nitawaruhusu kuchunga mifugo popote n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini

Sisemi wanyonge wakandamizwe ila sio kipimo cha ubora wa Rais
 
Wanyonge ndio watu gani?
IMG_20220405_210521.jpg
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Uzi una ukweli mchungu. Napendekeza hata kupiga kura,wapige wenye ufahamu kwa kiasi kinachoridhisha kuhusu elimu ya uraia.
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Daah..kwahiyo umeamua kuwatukana wapiga kura wenu..au umesahau kuwa kijani inapendwa zaidi na wazee na watu ambao sio wasomi yani bongo lala.

Haya ngoja tuone.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwani wanyonge siyo wananchi?

Rais wa juzi aliahidi na kutenda kweli, tofauti na wanasiasa wengine.

Ndio maana Watanzania wengi tulimpenda na tunampenda sana.

Ni wananchi wajinga wasiohoji lolote. Hao ndio waliambiwa uwanja wa ndege wa Chato unajengwa Tanzania, leo hii ATCL imesema haitapeleka ndege huko maana ni hasara, wako kimya hawajui hasara waliyoipata kwa kodi zao kutumika vibaya.
 
Wanaolalamikia gharama za vyoo stendi, kivuko kigamboni na kutegemea msaada baada ya nyumba zao kubomolewa na tetemeko wanaingia kwenye daraja gani kiuchumi?
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini

Na wakati wa kuomba Kura wasiende Kwa wanyonge, wabakie huko huko Kwa wakubwa wenzao
 
Endeleeni kutafuta namna ya kujustify ulaji wenu.
Mnyonge tulia.

Wenzenu kina SABAYA, ALLY HAPI, HERI JAMES, ALEXANDER MNYETI, MAKONDA Ni MATAJIRI wa KUTISHA.

Mnyeti ndio alikuwa anashika FUKO LA PESA ZA KUNUNUA WABUNGE.

Amejenga MAHEKALU,

Amejenga Uwanja Bora kabisa wa Gwambina.

Anaendesha timu ya Gwambina,

Amenunua TCC CHANG'OMBE na sasa inaitwa GWAMBINA TCC CHANG'OMBE Hapo ndio Kuna Gym, na vifaa vyote vya mazoezi vya Gwambina.

Sasa wewe endelea kubweka bweka mitandaoni Ndugu mnyonge
 
Mnyonge tulia.

Wenzenu kina SABAYA, ALLY HAPI, HERI JAMES, ALEXANDER MNYETI, MAKONDA Ni MATAJIRI wa KUTISHA.

Mnyeti ndio alikuwa anashika FUKO LA PESA ZA KUNUNUA WABUNGE.

Amejenga MAHEKALU,

Amejenga Uwanja Bora kabisa wa Gwambina.

Anaendesha timu ya Gwambina,

Amenunua TCC CHANG'OMBE na sasa inaitwa GWAMBINA TCC CHANG'OMBE Hapo ndio Kuna Gym, na vifaa vyote vya mazoezi vya Gwambina.

Sasa wewe endelea kubweka bweka mitandaoni Ndugu mnyonge

Awamu zote kulikuwa na wizi
 
Ni wananchi wajinga wasiohoji lolote. Hao ndio waliambiwa uwanja wa ndege wa Chato unajengwa Tanzania, leo hii ATCL imesema haitapeleka ndege huko maana ni hasara, wako kimya hawajui hasara waliyoipata kwa kodi zao kutumika vibaya.
Lini wamesema hawatapeleka?

ATC inaenda Geita mara mbili kila week na wanapata abiria wengi tu.

Halafu huo ujinga wao umeupima kwa lipi?

What a trash!
 
Back
Top Bottom