Kigezo cha Rais bora hakipimwi na wanyonge, Wanyonge hawaelewi chochote kuhusu siasa wala uchumi

Kigezo cha Rais bora hakipimwi na wanyonge, Wanyonge hawaelewi chochote kuhusu siasa wala uchumi

Mnaojiona mna "akili" ndio mnaongoza hili taifa tangu tupate uhuru, mmelifanyia nini taifa cha maana?
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Labda kweli hawana wanachoelewa hawana maana yoyote lakini kura zao zina maana sana.
Ndio wanaoamua nani awe Raisi wa nchi.. nani awe Mbunge au Diwani.
Hao tabaka maalum la wenyenacho kielimu na kipato ni wachache sana.

Ila tu msije kulalamika mmeibiwa kura.

Ndio maana kuna utafiti ulifanywa wapumbavu kama wewe wakafurahia eti oooh kuna chama kinapendwa na wakijijini wasionacho wasoelimika wazee na wanawake..
Wakijisifu kupendwa na wasomi vijana na wenyenacho bila kuwa hilo ni kundi dogo kwenye kura halitoshi
 
Lini wamesema hawatapeleka?

ATC inaenda Geita mara mbili kila week na wanapata abiria wengi tu.

Halafu huo ujinga wao umeupima kwa lipi?

What a trash!

Geita sio Chato, na kwenda huko haimaanishi kuwa ni route yenye faida.
 
Raisi hutokana na wanyonge ambao asilimia kubwa ndio majority Tanzania

Tanzania toka tupate uhuru maraisi wote na viongozi wa juu kama mawaziri wakuu nk ni kutoka familia maskini .mno

Tatizo lililoanza kujitokeza ni kuwa hawa waliotoka familia maskini wakashika nyadhifa za juu wakapata pesa kwa njia halali na haramu sasa wamegeuka kujiona na wao ni class ya juu sehemu ya high class sio sehemu ya wanyonge tena na kuanza kuponda wanyonge na maskini na wasio nacho

Mleta mada ni mmojawapo wa hilo kundi la "maskini akipata matako hulia mbwata"
 
Labda kweli hawana wanachoelewa hawana maana yoyote lakini kura zao zina maana sana.
Ndio wanaoamua nani awe Raisi wa nchi.. nani awe Mbunge au Diwani.
Hao tabaka maalum la wenyenacho kielimu na kipato ni wachache sana.

Ila tu msije kulalamika mmeibiwa kura.

Ndio maana kuna utafiti ulifanywa wapumbavu kama wewe wakafurahia eti oooh kuna chama kinapendwa na wakijijini wasionacho wasoelimika wazee na wanawake..
Wakijisifu kupendwa na wasomi vijana na wenyenacho bila kuwa hilo ni kundi dogo kwenye kura halitoshi

Ingekuwa kura ndio zinaamua nani awe rais hapa nchini, leo hii ccm Ingekuwa kwenye kaburi moja na KANU ya Kenya. Na siku ccm itakubali kutegemea kura hizo za huko vijijini ndio itageuka kuwa historia. Ongelea sifa nyingine lakini sio box la kura maana chaguzi mbili tu zinatosha kuweka hicho chama cha kizazi kilichopita pembeni.
 
Raisi hutokana na wanyonge ambao asilimia kubwa ndio majority Tanzania

Tanzania toka tupate uhuru maraisi wote na viongozi wa juu kama mawaziri wakuu nk ni kutoka familia maskini .mno

Tatizo lililoanza kujitokeza ni kuwa hawa waliotoka familia maskini wakashika nyadhifa za juu wakapata pesa kwa njia halali na haramu sasa wamegeuka kujiona na wao ni class ya juu sehemu ya high class sio sehemu ya wanyonge tena na kuanza kuponda wanyonge na maskini na wasio nacho

Mleta mada ni mmojawapo wa hilo kundi la maskini akipata matako hulia mbwata

Siku za nyuma wakati ccm ilipokuwa na ushawishi, rais alikuwa anapatikana kwa kura. Lakini toka uchaguzi wa 2010 kizazi kilipobadilika na ccm kupoteza ushawishi, rais anapitishwa na kigenge kidogo kiitwacho system.
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Tafakari maana ya serikali, chanzo cha kuwa na serikali, mamlaka ya serikali yanatokana na nini.
 
Raisi hutokana na wanyonge ambao asilimia kubwa ndio majority Tanzania

Tanzania toka tupate uhuru maraisi wote na viongozi wa juu kama mawaziri wakuu nk ni kutoka familia maskini .mno

Tatizo lililoanza kujitokeza ni kuwa hawa waliotoka familia maskini wakashika nyadhifa za juu wakapata pesa kwa njia halali na haramu sasa wamegeuka kujiona na wao ni class ya juu sehemu ya high class sio sehemu ya wanyonge tena na kuanza kuponda wanyonge na maskini na wasio nacho

Mleta mada ni mmojawapo wa hilo kundi la maskini akipata matako hulia mbwata
Hiyo mentality ya unyonge ikutoke kbs! Yaan mna praise hiyo kitu tangu mkiwa mnatawala awamu ya tano. Una praise vp unyonge eti kama kasifa flan hivi, achen mentality za umasikin
 
Ingekuwa kura ndio zinaamua nani awe rais hapa nchini, leo hii ccm Ingekuwa kwenye kaburi moja na KANU ya Kenya. Na siku ccm itakubali kutegemea kura hizo za huko vijijini ndio itageuka kuwa historia. Ongelea sifa nyingine lakini sio box la kura maana chaguzi mbili tu zinatosha kuweka hicho chama cha kizazi kilichopita pembeni.
Danganyanane huko mitandaoni lakini tulioko vijijini tunajua jinsi CCM inakubalika. Huku hakuna upinzani. Ni chini ya 30% na kumbuka 70% ya population wako vijijini.
Uje uchaguzi wa kusimamiwa na malaika bado itaongoza vijijini
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Kamarada, asante sana kwa ufafanuzi mzuri na mfupi. Kazi njema
 
Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli

Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine

Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi

Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali


Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana

Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi

Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana

hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Kujiita 'Rais wa wanyonge' hakuna maana ya kuwa Rais wa wanyonge. Ni kama mtu kujiita muadilifu hakuna maana ya kuwa muadilifu. Ila wanyonge wakimwita kiongozi wa nchi 'Rais wa wanyonge' inaweza kuwa na hiyo maana au watu wakisema 'x ni muadilifu' inaweza kuwa kweli maana wanaona matendo na maneno yake yana huo mwelekeo.
 
Ogopa sana hilo tabaka.

Siku wakichoka hapatakalika na utatamani uombe nafasi ya kutubu lakini haitakuwepo.

Ni hatari sana kuendelea kumkandamiza maskini kwa muda mrefu bila kumpa pumzi.
 
Danganyanane huko mitandaoni lakini tulioko vijijini tunajua jinsi CCM inakubalika. Huku hakuna upinzani. Ni chini ya 30% na kumbuka 70% ya population wako vijijini.
Uje uchaguzi wa kusimamiwa na malaika bado itaongoza vijijini
Wewe hata kijijini hupajui,unalelewa sebuleni na shemeji waulize wanakijiji licha ya uhaba wa mvua lakini wameshindwa kununua mbolea kwa sababu ya kupanda bei?
 
Labda kweli hawana wanachoelewa hawana maana yoyote lakini kura zao zina maana sana.
Ndio wanaoamua nani awe Raisi wa nchi.. nani awe Mbunge au Diwani.
Hao tabaka maalum la wenyenacho kielimu na kipato ni wachache sana.

Ila tu msije kulalamika mmeibiwa kura.

Ndio maana kuna utafiti ulifanywa wapumbavu kama wewe wakafurahia eti oooh kuna chama kinapendwa na wakijijini wasionacho wasoelimika wazee na wanawake..
Wakijisifu kupendwa na wasomi vijana na wenyenacho bila kuwa hilo ni kundi dogo kwenye kura halitoshi
Tulia unapotaka kuupeleka ujumbe. Kama huna utulivu hutaeleweka kwani utaandika kama mtu mzima anayeogea nje mchana kweupe
 
Kueleweshwa siyo ukandamizaji wala siyo dharau ndugu. Mbona unafika mbali haraka? Tulia uuelewe ujumbe
 
Ingekuwa kura ndio zinaamua nani awe rais hapa nchini, leo hii ccm Ingekuwa kwenye kaburi moja na KANU ya Kenya. Na siku ccm itakubali kutegemea kura hizo za huko vijijini ndio itageuka kuwa historia. Ongelea sifa nyingine lakini sio box la kura maana chaguzi mbili tu zinatosha kuweka hicho chama cha kizazi kilichopita pembeni.
Huna akili timamu.

KANU ni jina tu kama ilivyo JUBILEE na ODM, Leo Kuna Azimio na UDA lakini watu Ni WALE WALE
 
Back
Top Bottom