Kigogo mzito serikalini shoga


Nimeikumbuka ile stori ya mdogo wako..!

Hebu tutajie jina la huyo Kigogo fastaa...!
 

Huu ndio UPUUZI wa magazeti ya Udaku hapo home, ujinga mtupu!!!Eti Unadai unaficha jina kulinda Heshima yake, heshima yanini??unampa Heshima gani mtu aliyefanya jambo lisilo la Heshima??Na bado yataendelea kutokea mautumbo mengi kwasababu ya nyinyi kua na Upuuzi huu, napenda sana magazeti ya nje!!mfano: Rais wa ufaransa alilala na malaya akaandikwa Rais kalala na malaya, Rais wa bank ya dunia kaonga mwanamke na kulala nae akaandikwa adharani, Bill Clinton na Monica waliandikwa pamoja na Heshima na nyazfa zote za Bill Clinton wakati ule, SWALI nyazfa za uyo mpuuzi kubwa kuwapita hao niliowataja???ama yeye ni Mungu mtu. MUACHE UPUUZI wekeni maovu hadharani.
 

Kama wameichoka ajira na wamechoka kuishi watamtaja, wameshazoea kuwasema hawa wasanii wetu akina tunkunynyu hawana mbele wala nyuma
 
Kama wameichoka ajira na wamechoka kuishi watamtaja, wameshazoea kuwasema hawa wasanii wetu akina tunkunynyu hawana mbele wala nyuma

Dah natamani niwatusi aiseeee, ma lofa ndio watakua wanunuzi wa iyo mikaratasi yao ya habari zilizopikwa.
 
Kama wameichoka ajira na wamechoka kuishi watamtaja, wameshazoea kuwasema hawa wasanii wetu akina tunkunynyu hawana mbele wala nyuma

Wanatengeneza rushwa hapo! Pu.mbu.ff kabisa!
 
jamani huyo dogo namfananisha na dogo mmoja anakaa tabata,nilisoma nae shule moja ya kiislam mitaa ya boko,kama ni yeye ni shoga toka tupo xul na alikuwa analiwa na wanafunzi mpaka madereva teksi,alifukuzwa shule dogo mwenyewe,jina la kwanza ni T, la pili ni hilo Jumbe.
 
Jamani Mungu anisamehe kama nimemfananisha,ila huyu ni Thabiti bila chenga.
 
Hofu ya nini sasa wakati wamejificha mbele ya keybord na fake ID!
wale global publ wenye jina lake sijui wanaogopa nini kumtaja??

natamani ningekua namjua namfahamu ningekunong'oneza umtaje ukiwa umejificha nyuma ya keybord na fake id
 
wale global publ wenye jina lake sijui wanaogopa nini kumtaja??

natamani ningekua namjua namfahamu ningekunong'oneza umtaje ukiwa umejificha nyuma ya keybord na fake id

ni-PM nimtaje bibie global si wanaogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…