Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Leo umekula nini? Mbona unatema madini tu.
 
Hajakosea chochote Kigogo ametathmini siasa za chadema na kuona ni za kishamba sana, Chadema wanajidai wana watu milioni 7 hadi 8 wameshindwa kuonyesha nguvu yao kwa kiongozi wao mkuu ambaye yupo magerezani kwa propaganda, Lakini Tundu Lissu amesahau siku aliporudi pale Airpot Mbowe alikuja kumpokea kwa magongo leo unabaki nje na kurusha rusha maneno kupitia clip za mitandaoni kuliko kuja kuangalia namna yeye na wanachama wa Chadema kuonyesha nguvu ya pamoja kumtoa Mwenyekiti wao magerezani.,

Juzi nimemsikia hata shangazi Fatma Karume akimtusi Tundu lissu kwa kumwambia hana adabu wala heshima., yote haya ni kwa sababu Chadema ni chama dhaifu sana, chadema wanashindwa ni hata watu laki tatu kule Zanzibar, Tundu Lissu anaporoja kila leo chadema ndio chama kikuu cha upinzani kila leo lakini hatuoni ukuu wowote wa upinzani wao.

Nchi kama Tanzania ambayo imekubuhu kwenye udikteta haiwezi kujali chochote kwa vipindi anavyoandaa Tundu Lissu siju aljazeera na DW na sijui mikutano uchwara huko ulalaya, haiwezi kuathiri chochote kwa hawa watu it is good for nothing.,

Maalim seif hakuwahi kukimbia nchi kwa vyovote vile, Lissu anatakiwa arejee as soon as possible siasa za kiafrika ni mapambano ya ana kwa ana otherwise muache kujitangaza chadema ndio chama kikuu cha upinzani sijui muna wanachama milioni 8 for nothing.
 
..wangempa miezi sita, halafu wakaaza harakati zao wangeambiwa kwanini hawakumpa mwaka mmoja.

..wangempa mwaka mmoja, wangeambiwa kwanini hawajampa miaka miwili, visingizio na lawama dhidi ya wapinzani haziwezi kuisha.
Kwahiyo wakaaamua wamlazimishe.

Sisi tukawasihi na kuwataka wasiwe wapumbavu, wao wakabisha na wakaamua kuwa wapumbavu.

Kazi kwao, kazi na iendelee..
 
Sasa kama chadema imekufa mnahangaika nayo ya nini ?

Chama kilichokufa unaweza pambana nacho?


Njoo field ucheki mziki uliopo yaani kanda ya ziwa 2025 ccm itafutwa kabisa.

Hakuna mtanzania anaweza kuandamana wewe unatoka watu waandamane wavunjwe miguu? Wakati kigogo mwenyewe yupo nyuma ya keyboard kuhamasisha vurugu?

Hatuingii kwenye mtego huo tutapambana na uchaguzi ujao ndio mtajua sasa nguvu ya umma ilipo endeleeni kujidanganya.
 
Hawataki kukosolewa wanataka wasifiwe hata kwa mambo ya kijinga wanayoamua. Tanzania kwanza vyama baadaye.
Nyie mnaosema Tanzania kwanza uwa nawashangaa sana tasisi yenu hiyo uwa ina ofisi wapi? Inafanya nini?

Mbona matozo nyie hamkutoka barabarani? Au nyie tozo haziwahusu?
 
Chadema bhana 😂😂😂 mchawi yupo katikati yenu wenyewe
 
Hiyo ni akaunt ya watu wa mfumo waliochukia mirija yao kufungwa na hayati magufuli
 
Hawamjui yule,labda. Wamejulia twitter
 
Kwahiyo wakaaamua wamlazimishe.

Sisi tukawasihi na kuwataka wasiwe wapumbavu, wao wakabisha na wakaamua kuwa wapumbavu.

Kazi kwao, kazi na iendelee..

..mnawasingizia ili kupata sababu ya kuwapiga na kuwasweka magerezani.

..chadema wamemlazimisha Rais namna gani wakati hawakumfuata ikulu, au kuingilia taratibu wala ratiba ya shughuli za Raisi?
 
Ukweli 100%

Yaani alishikilia nafasi ya Urais wa nchi na kutoa Matamko na Maamuzi, hilo likamcost tofauti na alivyokuwa na subira na uvumilivu zamani.
 
Kajificha kwa Mzungu yupi?
 
Ni madikteta, hawataki hata kukosolewa..Wlimtukana Lowassa miaka 8, then wakaja kumpokea na kumjaza sifa zote, ajitokeze hapa mwanachadema kuutetea uamuzi wa kumchukua Lowassa 2015
Walisema Siasa haina rafiki wa kudumu wala Adui wa kudumu

Siasa bana.....! [emoji23]
 
Kukamatwa ni sehemu ya harakati za kisiasa. Ni aida kwa anayekamatwa historia imeprove hivyo
Mbona wananchi wafuasi wa Chadema hawataki kuandamana kama walivyoahidi kwa kuogopa kukamatwa?

Waandamane tu hata wakikamatwa ni sehemu ya harakati za siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…