Kigoma JF users connect

Ww utakuwa jirani yangu aisee
 
Hii nayo ndio naisikia kwako aiseee ila usipende kusikia tuuu uwe unathibitisha,Eti kasuli pazuri zaid ya mjini aiseeee watakucheka sana..
Nasikia wanasema kigoma mjini sio pazuri kiviile kama kasulu. wanadai kasulu ndo fresheeee! na wengi wanapakubali kasulu eti..

Nasikia sikia tyu

Cc Smart911
 
Wale wa mitaa ya mjengo soko mjinga msikiti wa kibonajoro hali ya hewa katubuka Nazareth hii ndio mitaa yangu utoto wangu iliishia mitaa hii
 
[emoji15]
 
nimeenda kigoma kwa mara ya kwanza last week !nimepapenda ingawa bado ipo nyuma kimaendeleo!

wanaume wa kule wakarimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu uwiiii


nitarudi kigoma !
 
Nilisoma newman college , nilianzia safari ya congo kigoma ingawa kasulu mjini ndio kuna mzizi wangu
 
Kuna fursa gani wakuu nihame Arusha fasta nije nisake shilingi aiseee jombaaz??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…