Kigoma JF users connect

Kigoma JF users connect

Hivi watu wa kigoma kwanini mnapenda sana kula mkiwa safarini? Nakumbuka nikiwa natoka shule tabora enzi hizo kwenye train wamejaa na majiko sufuria ,chupa za chai arghhhh
 
A

Aisee bahati mbaya simu yangu inashindwa ku upload picha ningeweka akajionea mwenyewe mjabosi ni nini

Nimetafuta picha nimekosa, nilitamani kweli kumwelekeza kwa kutumia picha.
 
Aha, hagombegwa mugamb'Igiha gusa, none mulatelany'Indimi, Ikingereza, Igiswahili, Igiha zose zil'aha, mwemwe mul'Abhaha nyabhaki mutamenya kugamb'Igiha?
Haliho Igiha cha Gakonko, cha Kibhondo, cha mabhamba gitelanyije mwo ni kirundi, ch'Iheru, Ch'amaeneo ya Bhasanza, ni cha Kigoma mjini, lakini zose ntimuzimenya!

Muze ngaha ndabhabwilize
Emga ndashimye chane ndibhuse iwachu tamaaa

Twibhukanye imigani au imwivugo,


Jewe ngomba ntangule ati_

Hohose huchiye nu'chi bhango.

Ulitonda ugatondegwa

Umulushi ahebhula bhugaye

Umwana yanga ikilumbu, abhamenya hobhalise.

Umwana azengana igishenya, ntazengana ihela.

Indaha yabhise ibhuye ntibhika ihela

Ukulendela kwi nkumi ilasula igaseka.
 
Hey guys mko poa nyie......
Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!
Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni kigoma mjini, kasulu, kibondo au kigoma vijijini.
Mimi nianze, Napatikana juu ya stendi ya mkoa wa kigoma al maarufu Masanga but now sipo Kg nipo kwenye mihangaiko ya maisha.
funguka vizuri ili wengine wafunguke
 
Umechanganyikiwa wewe,

Fafanua halimashauri ya manispaa ya ujiji au kigoma kwa ujumla??



Njooo manyovu uone watoto wanaodeka utazani Imana yalabhakoloyeee

Kuna wasichana waloumbika mpaka unaweza usirudi ulikotoka
Hahaha, watoto wa kitusi.
Shikamoo kagame
 
nipe maana za ukudimba na ukwidimba

ukumdimba, ukudimbika

au kubatiza mtu kwa kiha

Ukudimba - Kuchovya, mfano unapokuwa unakula unamega tonge la ugali na kulichovya kwenye mchuzi.
Ukwidimba - Kuogelea kwenye madimbwi ya maji, mto au ziwani.
Ukumdimba - Ukumdimba mmazi, kumdumbukiza kwenye maji, kwenye ubatizo may be.
Kudimbika - Hapa unganisha unganisha kutokana na hizo maana juu
 
Kigoma nimepapenda japo pamelala compared na mikoa mingine ila naona tatizo ni barabara na umeme wa national grid.

Watu wakarimu sana kama wasukuma.

Kwa mtu anaewaza kutumia fursa basi kigoma ndo penyewe, mashamba yamejaa nyani badala ya mazao but mkoa ni ambao sehemu kubwa ni virgin.
 
Anasema hapa inatakiwa tuongee kiha tu, analalamika kuna Kiswahili, Kiingereza, Kiha humu humu kwenye thread.

Na ametaja kwamba kuna kiha cha Kibondo, Mabamba, Heru, Basanza (kiswahili tunaita Lahaja kama sijakosea).


BTW: Jukwaa inabidi tuchanganye lugha ili watu waione tunawatenga, pia kuna waha ambao hawajakulia Kigoma au hawajui kiha kwa namna moja ama nyingine nao wangependa kujumuika.

cc Safari Safi.
Aho ndaliko ndelekana ko nd'Umuha yemewe, ndamenya ko bhalimwo abhaha bhatameny'Igiha
ila nabhene bhahis'aha, bhagasanga h'Igiha bhalakumya!
 
Thubutu miaka yote mm ni wakigoma mpaka sasa hv naelekea kuvua kibiri dagaa mteke
hahahaaa...poa wa port

ujue ulivyoita mjabosi nilishtuka maana mimi mwenyewe niko dom kitambo ila naujua unaitwa mdyabhose, sema kuutengeneza ndo nilikuwa sijui bcause niliondoka bado mdogo hata mambo mengi ya kiasili nilikuwa sijayamanya
 
funguka vizuri ili wengine wafunguke
Sawa. Ukiwa stand ya mabasi mkoa juu ya lile ghorofa la CWT panda juu kuna barabara inaelekea Airport chini ya shule ya msingi Kabingo ndio my residence area
 
yebhabhawe kumbe nintyo

16706944_419333455078159_1071524055_n.jpg


Kwa hisani ya Mondray
 
hahahaaa...poa wa port

ujue ulivyoita mjabosi nilishtuka maana mimi mwenyewe niko dom kitambo ila naujua unaitwa mdyabhose, sema kuutengeneza ndo nilikuwa sijui bcause niliondoka bado mdogo hata mambo mengi ya kiasili nilikuwa sijayamanya
Pole sana ulikosa mingi vipi unajua mbani hata Raimundo czani kama anaujua
 
Back
Top Bottom