Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Hahahaaa mbona mimi haijaliwa na funza japo mmoja mmoja nilikua natoa miguuni. Ni kutokana na mazingira..Mjini hamnaShida miguu yao imeliwa sana na funza mzee baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa mbona mimi haijaliwa na funza japo mmoja mmoja nilikua natoa miguuni. Ni kutokana na mazingira..Mjini hamnaShida miguu yao imeliwa sana na funza mzee baba.
No banna. Funza vijijini huko..Hahah daah nimekusoma mkuu,mi nikajua ni mkoa mzima wanasumbua.
Kwa kawaida wife material huwa wana mapungufu ya kimuundo. Muoe tu.Kuna binti mmoja wa kasulu muha ananisumbua hatari,yule binti ni mzuri wa tabia mpaka shepu ila hakuwa ameingia kwenye zile type zangu ninazopenda na ndio iliyosababisha tushindwane
Unakubaliana na hoja za mwanzisha uzi ili vijana wafunge safari za kuja Buhanda?Daaah salute kwetu vijana wa mwisho wa reli
Usigope mkuu, wao bado wanazingatia udugu na nasaba, wanauishi ujamaa wa Kiafrika.Kweli
Kweli Kama unatoka Mkoa tofauti na Kigoma na ukaoa na kuishi Kigoma utapata taabu sana! Utakuwa nikama umeoa Ukoo mzima kila Ndugu wa Mwanamke akija kwako jiandae kuombwa pesa akitaka kuondoka!
Hahahaaa hilo eneo nilikua nishalisahau..buhanda businde,Mwasenga..masanga.Unakubaliana na hoja za mwanzisha uzi ili vijana wafunge safari za kuja Buhanda?
Vv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utalishwa mawese mixer kuogea gwanji.
Viva kigoma vivaaa.Nimekimbia vipi wakati I'm proud Ha.
Uziri tukishapata mafanikio Tunarudi home kuoa..ni jamii inayopenda kuoana wao kwa wao. Afu wanawake wetu wavumilivu kinoma. Unisema eti utamtesa ili muachane imekula kwako wanakwambia "Ndiko zubhakwa" Ndivyo zinavyojengwa ndoa
Kweli akutukanae hakuchagulii tusi, yani umesubiri niwe na mapengo ndo unilishe 'nyama ya jembe'.Njoo uchukue tikiti ya gari moshi uende mwisho wa reli kuopoa vimwana.
Ng'ombe hazeeki maini, kaopoe vimwana huko uache visingizio.Kweli akutukanae hakuchagulii tusi, yani umesubiri niwe na mapengo ndo unilishe 'nyama ya jembe'.
Anyway hivi hujasikia sikia wachina kama wachina wamegundua dawa ya kurudisha vikongwe kuwa 'maji moto' na mimi nifaudu?
Kule watakugeuza hanithi mapema tu ukichezea mabinti za watu na kuwaachaMabaharia tukaweke kambi kule ila marufuku kurudi na mwanamke
Huu ndio uscavenger sasaMabaharia tukaweke kambi kule ila marufuku kurudi na mwanamke
Vipi mkuu uliokuwa ukiwala kimasihara, au wenyewe walikuwa siyo wa kijijini?Ukitaka kuoa nenda kijijini nawaambia! Huko watu wameshika dini na heahima hatari..
Wanawake wa kiha wamezaliwa kwenye shida wamekua kwenye shida so hakuna shida ambayo hawawezi vumilia. Mfano mkubwa ni Mama angu. Salute kwake, tulipotoka mpaka alipo Mambo si mepesi