JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Baadhi ya madereva wa Bajaji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameandamana na kufunga barabara kushinikiza kupandishwa kwa bei za usafiri kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Walifanya mgomo huo wakitaka mamlaka ziwaruhusu wapandishe nauli. Kwa sasa usafiri wa kuchangi abiria mmoja analipa Sh 500 wanataka iwe Sh 1,000.
Lita moja ya petroli Mkoani humo inauzwa kwa Tsh 3,093 na Diseli Sh 2,924, mabadiliko ambayo wanadai ni changamoto kwao. Jeshi la Polisi liliingilia na kuwatuliza kwa amani wakiwataka kufikisha malalamiko yao kwenye mamlaka husika jambo.
#JamiiForums
Chanzo: Dar24
Walifanya mgomo huo wakitaka mamlaka ziwaruhusu wapandishe nauli. Kwa sasa usafiri wa kuchangi abiria mmoja analipa Sh 500 wanataka iwe Sh 1,000.
Lita moja ya petroli Mkoani humo inauzwa kwa Tsh 3,093 na Diseli Sh 2,924, mabadiliko ambayo wanadai ni changamoto kwao. Jeshi la Polisi liliingilia na kuwatuliza kwa amani wakiwataka kufikisha malalamiko yao kwenye mamlaka husika jambo.
#JamiiForums
Chanzo: Dar24