LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Duuu!!! Lita moja imefika buku 3?
Ni kichaa pekeyake ndiye atafanya biashara ya daladala.
Na bado wanasema bado kidogo😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu!!! Lita moja imefika buku 3?
Ni kichaa pekeyake ndiye atafanya biashara ya daladala.
Bei ya mafuta iongezeke kwa sh.300 afu wao waongeze nauli kutoka jero hadi 1000 ,,hii haipo..Baadhi ya madereva wa Bajaji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameandamana na kufunga barabara kushinikiza kupandishwa kwa bei za usafiri kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Walifanya mgomo huo wakitaka mamlaka ziwaruhusu wapandishe nauli. Kwa sasa usafiri wa kuchangi abiria mmoja analipa Sh 500 wanataka iwe Sh 1,000.
Lita moja ya petroli Mkoani humo inauzwa kwa Tsh 3,093 na Diseli Sh 2,924, mabadiliko ambayo wanadai ni changamoto kwao. Jeshi la Polisi liliingilia na kuwatuliza kwa amani wakiwataka kufikisha malalamiko yao kwenye mamlaka husika jambo.
#JamiiForums
Chanzo: Dar24
Na wanao lia bei ya vyakula kupanda.sasa si wauze bajaji hizo kwan lazima waendelee kusafirisha ila bongo bhn[emoji23][emoji23]
Kabeba mikoba ka Kiongozi MkuuWamuone Abdul Nondo atawasaidia.
Vyakula bei labda Dar ,mikoani bei bado za chini.Na wanao lia bei ya vyakula kupanda.
Wauze matumbo.
Au sio,
Nawaona kama wasiojua Biashara, Acha wafikishe 1000 waone daladala zitakavyochukua nafasi. Mafuta yamepanda Kwa 320/- per litre, wewe unapndisha 500 Kwa abiria hii akili ya nchi gani hii?Wanaandamana kushinikiza bei ya nauli ipande badala la kushusha bei ya mafuta,ni akili za wapi hizi?
Nawaona kama wasiojua Biashara, Acha wafikishe 1000 waone daladala zitakavyochukua nafasi. Mafuta yamepanda Kwa 320/- per litre, wewe unapndisha 500 Kwa abiria hii akili ya nchi gani hii?Wanaandamana kushinikiza bei ya nauli ipande badala la kushusha bei ya mafuta,ni akili za wapi hizi?
Itawagharimu wao hawaelewi hiloNawaona kama wasiojua Biashara, Acha wafikishe 1000 waone daladala zitakavyochukua nafasi. Mafuta yamepanda Kwa 320/- per litre, wewe unapndisha 500 Kwa abiria hii akili ya nchi gani hii?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Maandamano ni haki ya kikatiba, uoga wetu wa vivuli ndio tatizo, we must take the government to taskKwani nchi Tayari imeruhusu maandamano?
Maandamano yao yana kibali?
Mpaka sasa tumeshachoka, wengine. Hata huko mbinguni labda hatutafika kabisatutafika mbinguni tumechoka sana