KIGOMA: Madereva waandamana, wafunga barabara wataka nauli zipande

Kupanda wanafurahia ila wakiambiwa washushe wanakuwa wazito kupunguza bei.
 
Bei ya mafuta iongezeke kwa sh.300 afu wao waongeze nauli kutoka jero hadi 1000 ,,hii haipo..

Nauli ya bajaji isizidi 700
 
Wanaandamana kushinikiza bei ya nauli ipande badala la kushusha bei ya mafuta,ni akili za wapi hizi?
Nawaona kama wasiojua Biashara, Acha wafikishe 1000 waone daladala zitakavyochukua nafasi. Mafuta yamepanda Kwa 320/- per litre, wewe unapndisha 500 Kwa abiria hii akili ya nchi gani hii?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Wanaandamana kushinikiza bei ya nauli ipande badala la kushusha bei ya mafuta,ni akili za wapi hizi?
Nawaona kama wasiojua Biashara, Acha wafikishe 1000 waone daladala zitakavyochukua nafasi. Mafuta yamepanda Kwa 320/- per litre, wewe unapndisha 500 Kwa abiria hii akili ya nchi gani hii?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
nauli zikipanda hapo Kigoma watu watarudia usafiri wa mababu zao(nyungo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…