Kigoma: Ofisa Ustawi wa Jamii jela miaka 30 kwa ubakaji

Kigoma: Ofisa Ustawi wa Jamii jela miaka 30 kwa ubakaji

Hili ni swala ambalo jamii inakwepa kulizungumza humu , hatuungi mkono watu wazima kuwa na mahusiano na watoto, lakini pia tunakemea tabia za watoto wa siku hizi za umalaya, wakikutana na mtu mzima wa hovyo anakula tunda

Mwaka juzi nilikutana na kundi la wanafunzi wa kike walikuwa kama wanne, kwa haraka haraka niliona kama wapo kidato cha nne, licha ya kwamba sifahamiani nao na sikuwasemesha lakini mmoja alisema " kaka mambo ?,rafiki yetu huyu anasema anakupenda...."

Ilibidi nicheke tu na kuendelea na safari yangu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwan unadhan hawajui?? Si wanajitoa ufahamu tyuuh.

Watoto waache umalayaaa. Ukweli usemweeeee.
 
Kweli kabisa, kama kweli afisa alikuwa na mahusiano na hako katoto, basi itakuwa alikataa kukaoa , otherwise huko ni jambo la kawaida kwao

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nikwambie wazi huyu afsa kachomekewa na adui yake au mkewe aliweka mtego wasiri bila kujua madhara (mana kule kesi humalizwa kimyakimya za aina hii)

Tujiulize ,ni afsa ustawi wajamii marufuku anayoimba kilasiku isitekelezwe yeye ndo katekeleza miaka 30 michache kapigwa alitakiwa miaka 91.
 
Kuna kibabu Huku juzi kimepigwa miaka 30, kwanza kibabu chenyewe kilikua na ngoma.

Alafu kikawa kina mbaka mtoto wa Watu yupo Darasa Tano, kilikua kumbe kinambaka Kwa muda mrefu, Huku kikiwa kinamoa Hela yakula shule Kila siku.



Kimemuachia na ugonjwa, chenyewe kimefungwa


Mambo mengine, Hawa Watu wawe wanauliwa Moja Kwa Moja Ili liwe funzo !!.
Huyo auwawe direct ni unyama ulopitiliza🙏
 
He manipulated her and it is bad
Mkuu, can a 13-year-old be manipulated ? And how ? , Girls her age are already at the level to know what's good and bad

N.B
I'm not saying what the guy did is right, but as a society tukiendelea na hii imani kwamba watoto wanashawishiwa tukaacha kuwakanya basi huko mbele tunaelekea kubaya. Ndio maana wazee wa zamani walikuwaga wakali sana

Juzi hapa nimeenda kwa bro, imefika saa mbili kasoro usiku binti yake hajarudi,yani alitoka shule akapitiliza huko anadai alienda kwao rafiki yake, nilimtandika sana licha ilithibitishwa kweli alikuwa huko ila ninaamini mtoto wa form 1 tena wa kike ratiba yake inapaswa kuwa shule-nyumbani

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, can a 13-year-old be manipulated ? And how ? , Girls her age are already at the level to know what's good and bad

N.B
I'm not saying what the guy did is right, but as a society tukiendelea na hii imani kwamba watoto wanashawishiwa tukaacha kuwakanya basi huko mbele tunaelekea kubaya. Ndio maana wazee wa zamani walikuwaga wakali sana

Juzi hapa nimeenda kwa bro, imefika saa mbili kasoro usiku binti yake hajarudi,yani alitoka shule akapitiliza huko anadai alienda kwao rafiki yake, nilimtandika sana licha ilithibitishwa kweli alikuwa huko ila ninaamini mtoto wa form 1 tena wa kike ratiba yake inapaswa kuwa shule-nyumbani

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Even a 19 years old can be manipulated sembuse Hawa

Hii age wapo very vulnerable 14- 20 ni age ambayo mabinti wanakua vurnelable

Ukitest vizuri ukifanya manipulation Sawa Sawa Kazi inakua imeisha
 
Ina maana alimuingiza kinguvu gesti

Ova
 
Wahudumu wa guest hawakuona kuwaa huyo Ofisa yuko na binti mdogo?? Huyu binti alifikajee Guest??
Hii case ichunguzwe upyaaa, vitoto vidogo viache umalayaaa.
Umeshasema ''vitoto vidogo''. Hii ina maana kuwa akili zao hazijakomaa na hawawezi kufanya maamuzi sahihi. Fikiria mtoto mwenye umri huu halafu ameshinda bila kula akikutana na mjinga kama huyu. Ni rahisi sana kumlaghai mtoto, na ndiyo maana imewekwa adhabu kubwa kuwalinda.
 
Unadhani huyo kakosea !!! , Hajakosea kabisa, kigoma ujiji ndoa za utotoni nyingi mno, vitoto vinajiuza, ukute jamaa hapo alikuwa hafanyi nako ngono peke yake na kalimpanga kamemaliza form 4

Kwa akili ya kawaida, kweli mtu anaweza kwenda lodge na mtoto wa miaka 13 ? , Huyo alieetoa ushauri vitoto viache umalaya pia yupo sahihi, havitaki shule vinaolewa, Kigoma ni kama pwani kila siku harusi

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Unawaita watoto halafu hapo hapo unataka wafikiri kama watu wazima. Kumlaghai mtoto ni rahisi sana kwani akili yake haijakomaa kufanya maamuzi sahihi.
 
Yawezekana hakumbaka ila alikuwa na mahusiano nae, ambapo kwa umri wa binti inatafsiriwa ni mdgo hvyo umebaka
 
Mtoto wa miaka 13 anakupanga kamaliza form 4? Na unakubali? Miaka 13?? How?
Labda uwe zezeta. Na mtu mwenye exposure ya hadi kuwa ofisa wa social welfare, alitakiwa kabisa kung'amua kuwa huyo bado ni mtoto na kumkwepa. Hivi unadanganywa na mtoto wa miaka 13 kuwa kamaliza form 4 na wewe unakubali? Hapo utakua na akili kweli?
Hao ni wabakaji. Kwa namna yoyote hakuna kinachoweza kuhalalisha kitu cha namna hii. Kuna watoto wanaokulia kwenye mazingira magumu sana halafu mtu mzima anajitoa ufahamu eti anapeleka lawama kwa mtoto.
 
Back
Top Bottom