Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Statutory rape !!.Yawezekana hakumbaka ila alikuwa na mahusiano nae, ambapo kwa umri wa binti inatafsiriwa ni mdgo hvyo umebaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Statutory rape !!.Yawezekana hakumbaka ila alikuwa na mahusiano nae, ambapo kwa umri wa binti inatafsiriwa ni mdgo hvyo umebaka
Lindi na Mtwara mtoto wa darasa la nne ana mabwana akiingia secondary amekubuhu.Vitoto vidogo viachee umalayaaa, full stop na sibadilishi maneno.
Na nimemaliza hivyooooo.
Kwa sheria zetu, mtu mzima akitembea na mtoto chini ya miaka 18 (minor) ni ubakaji hata kama walielewana. Ila kwenye kesi hizi kuna mengi sana ila Mungu ndo anaye jua huwenda afisa mtendaji kaingizwa king bila kujua. Muhurumie sana mtu ambaye kazi yake inahusika moja kwa moja na jamii tena yenye uchumi mdogo hawa watu hawaaminiki na wana wivu sanaWahudumu wa guest hawakuona kuwaa huyo Ofisa yuko na binti mdogo?? Huyu binti alifikajee Guest??
Hii case ichunguzwe upyaaa, vitoto vidogo viache umalayaaa.
Huenda ulikuwa mtego ndugu, kwani kupata cheti cha kuzaliwa kuna ugumu gani na unasoma miaka 13 huku akiwa na 18 au 19, Angalia nature ya kazi yake ukichunguza kwa makini kuna jambo ila ingawa inawezekana kuwa ni tamaa zake tuUnaanzaje kutongoza mtoto wa miaka 13?
mkuu ni ubakaji kutembea na mtu yeyote mwenye umri wa chini ya 18Wahudumu wa guest hawakuona kuwaa huyo Ofisa yuko na binti mdogo?? Huyu binti alifikajee Guest??
Hii case ichunguzwe upyaaa, vitoto vidogo viache umalayaaa.
Inakuwa vipi watoto wadogo wanakutamani kingono hadi kupata ujasiri wakukuambia wanakupenda?Hili ni swala ambalo jamii inakwepa kulizungumza humu , hatuungi mkono watu wazima kuwa na mahusiano na watoto, lakini pia tunakemea tabia za watoto wa siku hizi za umalaya, wakikutana na mtu mzima wa hovyo anakula tunda
Mwaka juzi nilikutana na kundi la wanafunzi wa kike walikuwa kama wanne, kwa haraka haraka niliona kama wapo kidato cha nne, licha ya kwamba sifahamiani nao na sikuwasemesha lakini mmoja alisema " kaka mambo ?,rafiki yetu huyu anasema anakupenda...."
Ilibidi nicheke tu na kuendelea na safari yangu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Awali kesi hiyo ilisomwa kwa mara ya kwanza Februari 22, 2022![]()
Mkuu, habari ?, Ilikuwa first time kuonana nao hivo hawakuwa wananijua wala mimi sikuwa nawajua, ulichosema ni sahihi kuhusu kuwaadhibuInakuwa vipi watoto wadogo wanakutamani kingono hadi kupata ujasiri wakukuambia wanakupenda?
Kuna aina ya udhaifu wameona. Anaona wewe ni mtu rahisi tu zaidi utaishia kucheka kama ulivyosema.
Hao watoto ungewakamata ungewapeleka kwa mwenyekiti wa mtaa waeleze kwanini wanaongea maneno ya hovyohovyo mtaani kwa wakubwa wao.
Kwa sisi watu wa Mahakama tunajua, ikitokea umebaka halafu ukakutana na Hakimu mwanamke, pengine ukute na yeye alibakwa utotoni mwake, au ana ndugu aliyebakwa wakati fulani, nakuhakikishia kwamba hutabaki salama.Muhtasari:
Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama ya Wilaya ya Kigoma, Eva Mushi amesema mahakamani hiyo imemtia hatiani baada ya kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo.
Habari Kamili:
Mahakama ya Wilaya ya Kigoma imemhukumu Ofisa Ustawi wa Jamii, Frank Mabuga kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kumbaka mtoto wa umri wa miaka 13.
Akitoa hukumu hiyo leo Machi 20, 2023 Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, Eva Mushi amesema mahakama hiyo imemtia hatiani baada ya kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo.
Shauri hilo lenye namba 43/2022 lilitajwa kwa mara ya kwanza Februari 22, 2022 ambapo alikuwa akituhumiwa kumbaka mara mbili mtoto huyo kwa siku moja katika nyumba ya kulala wageni ya Ishimwe iliyopo Manispaa ya Kigoma ujiji.
“Awali kesi hiyo ilisomwa kwa mara ya kwanza Februari 22, 2022 mbele ya hakimu Venance Mwakitalu wa Wilaya ya Kigoma ambapo mshtakiwa alikana mashitaka,” amesema.
Kesi hiyo iliyosomwa katika chumba cha siri, Hakimu Mushi amesema mtuhumiwa huyo alitiwa hatiani kwa mujibu wa sheria namba 130 (1) (2) (e) na kifungu namba 131 (1) cha kanuni ya adhabu namba 16 ya mwaka 2019 kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Hakimu Mushi amesema katika kesi hiyo walikuwa na vielelezo viwili Polisi fomu namba tatu (PF3), na ramani ya eneo la tukio ambapo mashahidi sita wa upande wa mashataka walitoa ushahidi wao mahakamani hapo.
Awali mshtakiwa huyo kupitia wakili wake Ignatus Rweyemamu aliiomba mahakamani hiyo kumpunguzia adhabu kutokana na kuwa na mtoto mdogo lakini mzazi mwenzake kuwa na ujauzito.
Akizungumza baada ya hukumu hiyo wakili upande wa Serikali, Happiness Mayunga amesema adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa sheria kwamba mtoto akifanyiwa kitendo kama hicho anatakiwa kuhukumiwa miaka 30 jela.
“Sisi kwetu ina tafsiri kuwa haki imetendeka na kwamba mtuhumiwa alipewa dhamana na kama ofisa ustawi alikuwa na dhamana ya kulinda haki za watoto lakini alikwenda kinyume cha taratibu,” amesema wakili Mayunga.
Chanzo: Gazeti la Mwananchi la Jumatatu, Machi 20.
Umeongea mkuuKwa sheria zetu, mtu mzima akitembea na mtoto chini ya miaka 18 (minor) ni ubakaji hata kama walielewana. Ila kwenye kesi hizi kuna mengi sana ila Mungu ndo anaye jua huwenda afisa mtendaji kaingizwa king bila kujua. Muhurumie sana mtu ambaye kazi yake inahusika moja kwa moja na jamii tena yenye uchumi mdogo hawa watu hawaaminiki na wana wivu sana
Alafu pia usiyaamini sana maneno ya kwenye makaratasi...Kwny hii case;
Wakili wa serikali mwanamke,, hakimu mwanamke,,, sidhani kama kuna haki imetendeka hapa.
Afu nyie watu mnaomshambulia mshitakiwa,,, hivi mnajua hao watoto wamiama 13 huko mtaani wakoje?? Mnahisi wako innocent kama mnavoandika hapa??
Si ndo hapo sasa,Lindi na Mtwara mtoto wa darasa la nne ana mabwana akiingia secondary amekubuhu.
Nilisikia jamaa alihukumiwa kwa kubaka alakata rufaa na akashinda kwa kuwa binti alitumia vishawishi vilivyomshinda nguvu.
Ila kuna wamama wengine hugeuza watoto wao mtaji. Either Uwe bwana wake or wanatengeneza mazingira ya kubaka ili walipwe au wakukomoe kwa kumkataa...
Sijakataaa, ila na wao waache umalayaa hawa mabintiii.mkuu ni ubakaji kutembea na mtu yeyote mwenye umri wa chini ya 18
Kwani hawawajui? Si wanaleta unafiki hapaa tyuuh.Kwny hii case;
Wakili wa serikali mwanamke,, hakimu mwanamke,,, sidhani kama kuna haki imetendeka hapa.
Afu nyie watu mnaomshambulia mshitakiwa,,, hivi mnajua hao watoto wamiama 13 huko mtaani wakoje?? Mnahisi wako innocent kama mnavoandika hapa??
Namna ya kuanza ni kama mvuvi anavyomdanganyia samaki kwa chambo.Unaanzaje kutongoza mtoto wa miaka 13?