Kigoma: Polisi Wadaiwa kuua raia kwa risasi na kujeruhi wawili kwenye kiwanja cha mpira Lake Tanganyika

Yeye alienda kufanya nini hapo?
 
Kumuenzi mtu ambaye hata hakuwa na mchango wowote kwenye maendeleo yao
 
Huu Ni ujinga hakuna polisi anae ruhusiwa kutumia silaha ya Moto Tena kwa mwananchi ambae Hana silaha, hata Kama hakutii sheria bado alikua na namna nyingine ya kufanya sio kuua.
Namna ipi tueleze
 
Kama askari alipiga risasi juu kuashiria watu watawanyike na wasiendelee na fujo, lakn wakakaidi na wakazidi kumshambulia askari akiwa na silaha hapo lazma silaha itumike kwa ajili ya kujihami
 
Kama askari alipiga risasi juu kuashiria watu watawanyike na wasiendelee na fujo, lakn wakakaidi na wakazidi kumshambulia askari akiwa na silaha hapo lazma silaha itumike kwa ajili ya kujihami
Wewe lazima utakuwa ni polisi au mtoto wa polisi hakuna raia katili namna hii
 
Wewe lazima utakuwa ni polisi au mtoto wa polisi hakuna raia katili namna hii
Mimi sio Polisi, ila nilipita JKT nilifundishwa hivyo. Askari unapokuwa na silaha kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kitu cha kwanza ni usalama wako kwanza. Kwa hiyo hapo ulitaka askari apokonywe silaha na apigwe?
 
Mimi sio Polisi, ila nilipita JKT nilifundishwa hivyo. Askari unapokuwa na silaha kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kitu cha kwanza ni usalama wako kwanza. Kwa hiyo hapo ulitaka askari apokonywe silaha na apigwe?
Aliwafuata kufanya nini hao wananchi?
 
Aliwafuata kufanya nini hao wananchi?
Kumbe habari ujaisoma vizuri. Askari walienda pale kwa ajili ya kuhakikisha amani inakuwepo. Fujo imetokea lazima askari waende kutuliza ghasia kwa sabb wapo pale kwa sabb hiyo.
Ajabu askari wapo pale, fujo bado inaendelea wangefanyeje sasa
 
Kumbe habari ujaisoma vizuri. Askari walienda pale kwa ajili ya kuhakikisha amani inakuwepo. Fujo imetokea lazima askari waende kutuliza ghasia kwa sabb wapo pale kwa sabb hiyo.
Ajabu askari wapo pale, fujo bado inaendelea wangefanyeje sasa
Kwa hiyo solution ilikuwa ni kuua na wakati kuna washawasha hapo?
 
Angemiminia hata raia kumi risasi za kifuani ingekuwa poa sana, kuna muda ibadidi tujue kwamba hata polisi nao mi binadamu na wanaweza kuwa emotional pia.

Hata kama ni mimi siwezi kutuliwa nipigwe mawe na umati wa watu waliojitoa akili, tena nikiwa na Mrussia (AK-47).

Watu wavute bangi zao huko kisha waje kuleta stress zao kwenye kazi za watu? UA.
 
Kwa hiyo solution ilikuwa ni kuua na wakati kuna washawasha hapo?
Hata mimi ningeua, siwezi kushambuliwa na mawe kama mwizi ilhali nina AK-47 mkononi.

Kwahiyo ulitaka huyo askari avumilie hayo mawe? Kwamba aamke hapo akivumilia kupigwa mawe mpaka aifike hiyo washawasha???

Ni sawa tu hata hivyo alijitahidi sana, angeamua kuiweka kwenye automatic mode kisha aruhusu risasi mngewaokota wengi hapo.
 
Unauliza hivi na kupata sauti ya kuongea kwasababu tu hayajakukuta wewe, na Wala aliefariki hauhusiani nae.

Subiri siku polisi wafanye tukio litakalogusa familia au damu yako hapo ndipo utaelewa namna inayopaswa kutumika
Natumai ungesikia polisi aliuwawa kwa kupigwa mawe, ungefurahi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…