Kigoma: Polisi Wadaiwa kuua raia kwa risasi na kujeruhi wawili kwenye kiwanja cha mpira Lake Tanganyika

Mpuuzi wewe angekuwa amepiga maza ako usingeongea huu utumbo wako
Mama gani huyo wa kwenda kuanzisha vurugu na kupiga askari mawe?

Kwenye hiyo mechi Askari waliwakosea nini mashabiki??

Kuna scenario yes siwezi kusupport unyama wa polisi, lakini kwa hili wakikuwa sawa tu. Huyo askari nae alitaka kuishi.
 
Ile bunduki anayopewa askari mnadhani ni urembo? Kuna majitu majinga eti polisi haruhusiwi kutumia risasi za Moto mnajazana ujinga mkawapige mawe muone.

Kuna mazingira ambayo tunapaswa kufahamu kwamba polisi nao ni binadamu aisee unampiga mawe ili uibe bunduki?

Polisi anailinda bunduki kushinda baba na mamake wazee Kama hamjapita mafunzo mkae kimya aisee.

Amefanya Safi kabisa na angetandika za kichwa iwe fundisho umeenda uwanjani kuangalia mpira au unapeleka bangi zako?
 
Pole sana kwa wafiwa. Lakini tuwekeni hoja zisizo na msingi pembeni, leo hii Afande subira angeuawa kwa kupigwa mawe na wananchi wanaojiita wenye hasira kali tena zitokanazo na mpira kisha waondoke na silaha ya kivita AK 47 unadhani kungekua na maoni gani juu ya uimara wa askari wetu?

Ni jambo jema amefanya katika kutekeleza majukumu yake na kulinda uhai wake, unauawa kwa kuleta vurugu tena za mpira ?? Na unaamrishwa kwa kupiga risasi za warnings! Lakini bado hawasikii tulitaka askari afanyeje? Iwe fundisho kwa wengine kuwaheshimu watu wanaotekeleza majukumu ya kuwalinda wao wenyewe, walidhani ni silaha yenye mpira ndani.

TUTII SHERIA PASIPO SHURUTI
 
Hii taarifa ni ngumu sana kuiamini police wamekua mabingwa wa kupika taarifa ambazo ni tofauti na kilichotokea.
 
Umeongea vema kabisa, imagine walipewa onyo la matamshi, wakapewa onyo kwa kupigwa risasi Tisa hewani, lakini hao wavuta bangi walidhani Ile bunduki ni gitaa wamawekewa band au diamond anatumbuiza muha mwenzao.

That gun anayopewa askari hapewi Kama urembo na hii dharau kwa askari wanapofuata Sheria na taratibu za crowd control tunapaswa kuwa watiifu otherwise haya madhara hutokea maana risasi haichagui pa kupenya.

Tunapohimiza askari kufuata taratibu za kazi yao nasi tunapaswa kufuata maelekezo yao pale wanapotekeleza majukumu yao .

Watu zaidi ya 1000 mnapompiga mawe mtu mmoja mwenye bunduki mnakuwa mnatarajia afanye nini??? Huu no ujinga wa hali ya juu hatuwezi kutetea upuuzi wa namna hii.

Tukemee tabia ya kutofuata maelekezo au onyo kutoka kwa askari especially kwenye mazingira Kama haya inapotokea vurugu.
 
Huwezi toa maamuzi bora kwa kusikiliza upande mmoja Mkuu, but usijali ipo siku utaguswa na wewe ndio utajua hujui
 
Huu Ni ujinga hakuna polisi anae ruhusiwa kutumia silaha ya Moto Tena kwa mwananchi ambae Hana silaha, hata Kama hakutii sheria bado alikua na namna nyingine ya kufanya sio kuua.
Jiwe ni silaha hao raia walikuwa na mawe
 
Unauliza hivi na kupata sauti ya kuongea kwasababu tu hayajakukuta wewe, na Wala aliefariki hauhusiani nae.

Subiri siku polisi wafanye tukio litakalogusa familia au damu yako hapo ndipo utaelewa namna inayopaswa kutumika
Polisi ni watu hatari sn
 
Nguvu ya umma ndio upige watu risasi?. Polisi anaruhusiwa kutumia risasi pale tu retaliation ya raia ni sawasawa au madhara yake Ni sawa na risasi.
Hujaona hapo alijeruhiwa??police kakosea lakini raia wa kigoma mjifunze kuilinda amani...michezo ni furaha...kama mtu kasikia story hii tofauti na ilivyoletwa hapa,atupe version yake inasemaje ila kama ipo hivi,kama raia tuna ya kujifunza..
 

Polisi alikuwa na AK 47 kwenye uwanja wa mpira? Kulikuwa na vita?​

 

 
Huu Ni ujinga hakuna polisi anae ruhusiwa kutumia silaha ya Moto Tena kwa mwananchi ambae Hana silaha, hata Kama hakutii sheria bado alikua na namna nyingine ya kufanya sio kuua.
Sasa ulitaka wamwue huyo Polisi na kuchukua AK47? Raia na sisi tuache upimbi! Polisianaruhusiwa kujihami kwa risasi za moto akiona kuna hatari ya kunyang'anywa silaha au kuuawa! Vijana waache mihemuko watamalizwa kwa risasi za moto! Kama kweli walimshambulia kwa mawe niko upande wake!
 
Ilivyoandikwa ni tofauti na ilivyokuwa, anyway acha maisha yaendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…