Waha sio watu smart kwenye kazi za ofisi..yani ukute Muha ni Daktari,Mwanasheria ni bahati ila utawakuta kwenye Manual work kama Duka,Konda,dereva,wauza dafu,Viwandani wamejaa,Kuli wa mzizigo..
Ni wabishi kupindukia No wonder hawataki kuelimika..kila kitu ujikuta wajuaji..Wengi ni washika dini na wanaamini Ushirikina kupita maelezo
Wanawake wa kigoma watulivu na wavilivu kwenye ndoa ni wachalikaji haswaa..Yuko radhi auze nyanya ila sio kuwa goli kipa..Inasemekana ni wachafu ila bado haijathibitishwa.
KGT(Kigoma) inaongoza kwa kambi nyingi za kijeshi TZ nzima ikifatiwa na Arusha..Kuna Kanembwa,Mtabila Jkt,Bulombora Jkt na kambi nyingine za Jwtz..
Hapo zamani Kigoma ilikua na barabara mbovu na Tope na vumbi la kiwango cha SGR sikuhizi angalau kuna Mkeka umetandikwa ila vumbi bado lipo
Asilimia kubwa ya Raia kutoka KGT aio waTanzania halisi ni wakimbizi kutoka nchi jirani kama Burundi,Congo,Rwanda n.k
Wakazi wa kigoma hufanya shughuli mbalimbali ikiwemo Uvuvi,Uchimbaji,Kilimo,Biashara(Hasa vitenge)