Kigoma: Soko la mitumba linateketea kwa moto

Kigoma: Soko la mitumba linateketea kwa moto

Soko kubwa linaloitwa Soko la Mitumba linalopatikana Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma linateketea kwa moto usiku huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana.

Tayari Jeshi la Zimamoto na uokoaji limefika eneo la tukio na kushirikianana baadhi ya Wananchi kuokoa mali na kuzima moto kwenye Soko hilo ambalo linauza zaidi mitumba na kuna maduka pia ya bidhaa nyingine mbalimbali.

Chanzo: Ayo Tv
Well done uvccm
 
Soko kubwa linaloitwa Soko la Mitumba linalopatikana Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma linateketea kwa moto usiku huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana.

Tayari Jeshi la Zimamoto na uokoaji limefika eneo la tukio na kushirikianana baadhi ya Wananchi kuokoa mali na kuzima moto kwenye Soko hilo ambalo linauza zaidi mitumba na kuna maduka pia ya bidhaa nyingine mbalimbali.
Kwanini masoko huungua usiku na siyo mchana
 
Soko kubwa linaloitwa Soko la Mitumba linalopatikana Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma linateketea kwa moto usiku huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana.

Tayari Jeshi la Zimamoto na uokoaji limefika eneo la tukio na kushirikianana baadhi ya Wananchi kuokoa mali na kuzima moto kwenye Soko hilo ambalo linauza zaidi mitumba na kuna maduka pia ya bidhaa nyingine mbalimbali.

Chanzo: Ayo Tv
Ni aibu kubwa nchi hii kwa uzembe wa Jeshi la Zima moto kutokuwa na vifaa na wataalamu madhubuti kuifanya kazi hii.
Bado watu wanazunguka mkoa kwa mkoa kugawa pesa.

Hii ni serikali iliyoshindwa kila kitu kwa nini? Nani alituloga.
Eti CCM hoyee!
 
Back
Top Bottom