Kigoma: Soko la mitumba linateketea kwa moto

Well done uvccm
 
Kwanini masoko huungua usiku na siyo mchana
 
Ni aibu kubwa nchi hii kwa uzembe wa Jeshi la Zima moto kutokuwa na vifaa na wataalamu madhubuti kuifanya kazi hii.
Bado watu wanazunguka mkoa kwa mkoa kugawa pesa.

Hii ni serikali iliyoshindwa kila kitu kwa nini? Nani alituloga.
Eti CCM hoyee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…