Kigoma: Wamuua binti kwa kipigo wakimlazimisha kuolewa ili wapate ng'ombe

Kigoma: Wamuua binti kwa kipigo wakimlazimisha kuolewa ili wapate ng'ombe

Binti mwenyewe ndio huyu apa
IMG_20211113_073237_079.jpg
 
Wakina Karumanzira hawajastaarabika mpaka leo. Unamuua ndugu yako, kisa Ng'mbe?
 
Nilienda kijiji Fulani nkakuta wasukuma vile vitoto under 16yrs vina watoto wadogo saana wameolewa uke wenza karibu wanne maisha wanayoishi daahh [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]...huzuni sana hawajui kuhusu shule wala kusoma karne hii na kizazi hiki cha sasa kuna watu wanaishi kama wahindi wekundu hapa Tanzania...nilienda juzi tu hapa hata wiki 2 bado
 
Tanzania bado iko gizani sana.

Ukiwa mjini unaona kama nchi imepiga hatua kwenye mambo fulani lakini ukweli ni kwamba bado Sana

Hebu fikiria Kama tusingetawaliwa tukaambukizwa effects Fulani mataifa ya Africa yangekuwaje,
Acha kabisaa...wasukuma,wamasai,wamang'ati wanaishi enzi za ujima kabisaa...ukitaka kujua haya mambo tembea ndo utaona tena hata sio mbali nenda tu vijiji vya uzaramoni ambapo jamii za wafugaji wamehamia utayaona hayo!
 
Bila shaka Hawa watakua wasukuma tu Wana akili mbovu Hawa wa mangosha na mamayo! Idiot
Sio wote kaka!usintukanie wakwe zangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!wapo wanajielewa bwanaa!!!!
 
Ajabu ndo haya yaliyowakuta.. Miaka 23 ilitakiwa awe darasani bado hivyo hatutegemei angekua na mtoto.. na hata kama angekua na mtoto bado asingeweza kumpiga mtoto kisa apate ng'ombe maana angekua kaelimika..

So alipata mtoto at wrong time ndio maana kafikia alipofikia.
Hakuna
 
Inasikitisha sana, unakuta wazee, shingo zimewashupaa hapo...
 
Back
Top Bottom