Hicho kivuko kimejengwa 2018 Zitto akiwa mbunge wa Kigoma Mjini.Kigoma bila Zitto Kabwe inawezekana!
Kumbe!Hicho kivuko kimejengwa 2018 Zitto akiwa mbunge wa Kigoma Mjini
Kisarawe bila Jokate je?Kigoma bila Zitto Kabwe inawezekana!
Ni kama Hai bila Mbowe maisha yanaendelea!Kisarawe bila Jokate je?
Ile kitu mlimfanyia Mbowe . Mungu atawalipa aiseeNi kama Hai bila Mbowe maisha yanaendelea!
Naona Ole sabaya anatamba tu hana mpinzani!Ile kitu mlimfanyia Mbowe . Mungu atawalipa aisee
Mainjinia washirikishe chuo cha ardhi huo ujenzi wa vivukoMbona hata Dar kipo kivuko cha chini ya barabara?Pita UD kama unaenda Ardhi,ukifika maeneo ya Rev Square,wanafunzi wanapita chini huku magari yanapita juu!
Bahari inapelekwa Morogoro na Hashimu Rungwe!CHATO KUMENOGAAAAA NASIKIA WANATAKA KUPELEKA BAHARI
Labda haujawahi kukiona kile kivuko cha pale cafeteria kilichopo ndani ya UDSMKwenye ubunifu wa kujenga barabara ya kuvuka waenda kwa miguu kutoka upande mmoja kwenda mwingine Kigoma imeipiku Dar es salaam mbali mno
Mainjinia wa barabara Dar es salaam nendeni Kigoma mkajifunze huko ona Kivuko cha waenda kwa miguu kigoma kilivyokaa vizuri mtu unahamasika kuvuka lile la juu manzese na buguruni puuuuuuu hata hamu ya kulipanda uvuke mtu huna yanawafaa washinda jogging wenye misuli iliyokakama miguuni au wapanda milima kilimanjaro
KIGOMA YAPENDEZA / DARAJA LINALOPITA CHINI YA BARABARA KIGOMA
Moja kero kubwa iliyotatuliwa na CCM kule mkoani Kigoma, ni huyo zito kugaragazwa kifo cha mende. Kigoma sasa itafungukaaKigoma bila Zitto Kabwe inawezekana!
Ni kama Nkasi kaskazini bila mabodi maisha yanaendelea, halafu mtoa mada haijui dar aende udsm akaone kivuko cha chini ya barabaraNi kama Hai bila Mbowe maisha yanaendelea!