Kigoma yaipiku Dar na madaraja yake ya waenda kwa miguu ya Manzese na Buguruni, yajenga kivuko chini ya Barabara

Kigoma yaipiku Dar na madaraja yake ya waenda kwa miguu ya Manzese na Buguruni, yajenga kivuko chini ya Barabara

Ni kama Hai bila Mbowe maisha yanaendelea!
Ni kama nkasi kaskazini bila mabodi maisha yanaendelea, halafu mtoa mada haijui dar aende udsm akaone kivuko cha chini ya bara
Kwenye ubunifu wa kujenga barabara ya kuvuka waenda kwa miguu kutoka upande mmoja kwenda mwingine Kigoma imeipiku Dar es salaam mbali mno

Mainjinia wa barabara Dar es salaam nendeni Kigoma mkajifunze huko ona Kivuko cha waenda kwa miguu kigoma kilivyokaa vizuri mtu unahamasika kuvuka lile la juu manzese na buguruni puuuuuuu hata hamu ya kulipanda uvuke mtu huna yanawafaa washinda jogging wenye misuli iliyokakama miguuni au wapanda milima kilimanjaro

KIGOMA YAPENDEZA / DARAJA LINALOPITA CHINI YA BARABARA KIGOMA​



Nenda udsm ukaone kivuko cha hivyo kina umri mkubwa kuliko wewe
 
Moja kero kubwa iliyotatuliwa na CCM kule mkoani kigoma, ni huyo zito kugaragazwa kifo cha mende. Kigoma sasa itafungukaa
Yaani zito mmoja aliweza kuzuia jpm asilete maendeleo? Kweli kuna watu vichwa vyenu vimejaa makamasi
 
Mbona hii habari ni ya zamani ? Sasa hivi habari ya mjini ni Chato
Nenda ukaolewe chato bwege wewe,kila kitu chato ubongo wako umegeuzwa mbele nyuma hufikirii maisha yako na familia yako.

Mamtu mengine bwana umeng'ang'ana chato,chato,chato mbuzi jike wewe,kagongwe na watu wa chato upate mimba uzae nao basi.
 
Acha kututoa kwenye reli. Sasa hivi habari ya mjini ni Chatoooooooo!
Nani akutoe kwenye reli malaya wewe mmeoma chato ndiyo sera ya cdm kwa sasa hamfikirii kitu kingine zaidi ya chato,konyo!!
 
Mbona hata Dar kipo kivuko cha chini ya barabara?Pita UD kama unaenda Ardhi,ukifika maeneo ya Rev Square,wanafunzi wanapita chini huku magari yanapita juu!
... of course hata hapa kwetu Iringa ukipanda mlima kuingia mjini kutokea Daraja la Ruaha watu wanapita chini. Sipati picha pangekuwa na zebra pangefananaje. Kiukweli, zebra zimeharibu sana maana ya kuwa na magari. Kila baada ya mita 200 zebra! Duh!
 
Yaani zito mmoja aliweza kuzuia jpm asilete maendeleo? Kweli kuna watu vichwa vyenu vimejaa makamasi
Hata Yona alikuwa peke yake kwenye meli kebu, lakini meli ilishindwa kusafiriii na kuingiza hasara kwa wasafiri wenzake. Hivyo zito naye alikuwa kero kubwa pale mkoani kigoma
 
Hata Yona alikuwa peke yake kwenye meli kebu, lakini meli ilishindwa kusafiriii na kuingiza hasara kwa wasafiri wenzake. Hivyo zito naye alikuwa kero kubwa pale mkoani kigoma
Bado najiuliza hiyo serikali ilikuwa serikali ya aina gani ikashindwa kuleta maendeleo kisa zito, au zito alikuwa ni mtu wa aina gani hadi akaweza kuizuia serikali kuleta maendeleo, serikali legelege kabisa hiyo ya kushindwa kuleta maendeleo kisa mtu,
 
Kwenye ubunifu wa kujenga barabara ya kuvuka waenda kwa miguu kutoka upande mmoja kwenda mwingine Kigoma imeipiku Dar es salaam mbali mno

Mainjinia wa barabara Dar es salaam nendeni Kigoma mkajifunze huko ona Kivuko cha waenda kwa miguu kigoma kilivyokaa vizuri mtu unahamasika kuvuka lile la juu manzese na buguruni puuuuuuu hata hamu ya kulipanda uvuke mtu huna yanawafaa washinda jogging wenye misuli iliyokakama miguuni au wapanda milima kilimanjaro

KIGOMA YAPENDEZA / DARAJA LINALOPITA CHINI YA BARABARA KIGOMA


Ukiweka Dar itakuwa balaa kwani watu watakabwa saa sita mchana, hilo la huu tu nalo hatihati usiku.
 
... of course hata hapa kwetu Iringa ukipanda mlima kuingia mjini kutokea Daraja la Ruaha watu wanapita chini. Sipati picha pangekuwa na zebra pangefananaje. Kiukweli, zebra zimeharibu sana maana ya kuwa na magari. Kila baada ya mita 200 zebra! Duh!
IPOGOLO, Na wale vibaka mpaka ukawekwa ulinzi.
 
Bado najiuliza hiyo serikali ilikuwa serikali ya aina gani ikashindwa kuleta maendeleo kisa zito, au zito alikuwa ni mtu wa aina gani hadi akaweza kuizuia serikali kuleta maendeleo, serikali legelege kabisa hiyo ya kushindwa kuleta maendeleo kisa mtu,
Zito alikuwa hawakilishi kero za mkoani kwake, zaidi alishinda mahakamaniii tuuu na mitandaonii.
 
Kwenye ubunifu wa kujenga barabara ya kuvuka waenda kwa miguu kutoka upande mmoja kwenda mwingine Kigoma imeipiku Dar es salaam mbali mno

Mainjinia wa barabara Dar es salaam nendeni Kigoma mkajifunze huko ona Kivuko cha waenda kwa miguu kigoma kilivyokaa vizuri mtu unahamasika kuvuka lile la juu manzese na buguruni puuuuuuu hata hamu ya kulipanda uvuke mtu huna yanawafaa washinda jogging wenye misuli iliyokakama miguuni au wapanda milima kilimanjaro

KIGOMA YAPENDEZA / DARAJA LINALOPITA CHINI YA BARABARA KIGOMA

Nimeona Kama handaki vile.
 
Zito alikuwa hawakilishi kero za mkoani kwake, zaidi alishinda mahakamaniii tuuu na mitandaonii.
Ukiacha mbunge, kuna rc, dc, ded wote walishindwa? Pili zito alikuwa anaongoza kieneo tu vipi kwa maeneo mengine mkoa wa kigoma ambayo zito alikuwa haongozi mbona yako hovyo sana kuliko hata alipokuwa anapaongoza zito?
 
Kigoma bila Zitto Kabwe inawezekana!
CCM wamepora jimbo hili kama yalivyo majimbo mengine takribani 130 yaliyokuwa yanakwenda Upinzani.

Zitto hakuna wa kumgoa Kigoma mjini..hayupo kwa sasa!! Rais wa Kigoma huyo.
 
Ukiacha mbunge, kuna rc, dc, ded wote walishindwa? Pili zito alikuwa anaongoza kieneo tu vipi kwa maeneo mengine mkoa wa kigoma ambayo zito alikuwa haongozi mbona yako hovyo sana kuliko hata alipokuwa anapaongoza zito?
Unamaliza nguvu zako ndugu... kubishana na mbwiga.....
 
Back
Top Bottom