Kigoma yazizima kwa furaha baada ya kutoa kiongozi mkubwa nchini

Soko la madini vipi likije gwa Buhigwe kuwezesha nchi jirani walete itakuwa sahigu au? Wanakigoma na wana Buhigwe sahihi ? sio lazima humu mnaomjua mwambieni Private
 
Buhigwe iko mpakani iangaliwe kufungua fursa kubwa Tanzania uchumi wetu ulenge soko la jirani mipakani


Yeye ni Mpango kwa jina lakini hatakuwa na mpango wa vitendo katika jambo hilo, ni historia inayonifundisha juu ya huyo Bwana.
 
πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
 
Waha kwakuwa ni wa machinga sasa mmepata mteteziπŸ˜†πŸ˜†
 
Nimezaliwa Kaseke, nikakulia Luiche na sasa hivi tunaishi Ilagala, karibu na Mwakizega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…