cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwani hao diaspora wakitumia hela zao na kufanya maendeleo huko waliko watapungukiwa nini? Kwanini wanataka sana kuwekeza Tanzania ila hawataki kuwa watanzania by 100%? Ninaishauri serikali izidi kukataa huu upumbavu wa uraia pacha. Wanaoutaka wana tamaa na utajiri wa nchi ya Tanzania na sio kwamba wana uzalendo wowote. Hao Kenya, DRC, Zambia hawana lolote walilotuzidi pamoja na kuruhusu uraia pacha.
Tangu uame kuacha kumsapoti Mkuu wa nchi baada ya kumwagika kama chawa hasiye na mifupa
Ndio Nilijua wewe mtu wa namba gani, una wivu sanaaa
Haswa baada ya chawa ulojaribu, I guess na nje ya humu kupigwa chini
Pole, acha wivu mambo yasonge.
Niffer oyeee
