super hero1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,057
- 825
Ukiona hivo ujue mishe zao za kuunga unga.Nipo nimeisharejea, diaspora wengi ninaowatafuta hawatoi ushirikiano what they do,Wakenya,Waganda wako very open and transparent,wabongo 。。。!
p
Kwani hao diaspora wakitumia hela zao na kufanya maendeleo huko waliko watapungukiwa nini? Kwanini wanataka sana kuwekeza Tanzania ila hawataki kuwa watanzania by 100%? Ninaishauri serikali izidi kukataa huu upumbavu wa uraia pacha. Wanaoutaka wana tamaa na utajiri wa nchi ya Tanzania na sio kwamba wana uzalendo wowote. Hao Kenya, DRC, Zambia hawana lolote walilotuzidi pamoja na kuruhusu uraia pacha.
Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.
Hames kazai ni muafghan na mmarekani kala nchi ya afghanistan sasa huyo yupo zake united states of amrica anaenjoy.
Wabunge wengi wa afghanistan walikuwa na urai pia wa ujerumani sasa wapo europe wanajienjoy.
Dual nationality ni kwa manufaa ya watawala but never sie bodaboda.
Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.
Itakuwa hawaja ngamua vizuri mambo.Kama inasaidia watawala kwanini wanaipinga?
Umesema sahihi Mkuu, hizo ni miongoni mwa sababu mfu kabisa za kuzuia Uraia pachaTanzania balozi ya US ilishambuliwa 1998 je kulikuwa na uraia pacha mkuu?
Ugaidi it is too subjective, ugaidi unafanyika popote hivyo kila nchi inapaswa ijilinde na ugaidi kwa kuwa mipaka ya nchi watu wanaingia na kutoka.
Huyo alikuwa anaongea kufifisha hoja hiyo.
Ndio maana mtu ulikuwa ukiingia kusoma majuu miaka hiyo wanakupangia vyuo vya maeneo fulani tu huko unakuta kuna watu wao walishawaattach hivyo wanakufuatilia nyendo zako zote uwapo masomoni na baada ya masomo unafanya nini maana waliamini ukiingia nje ya mipaka ya Tanzania utafunzwa usaliti sasa kama ni hivyo si wangewaacha watu wasome huko huko Tanzania?
Itakuwa hawaja ngamua vizuri mambo.
Ndio ukweli mchunguKama hilo tu linawashinda wataweza vp kung'amua swala la uraia pacha kwa mapana yake?
Tatizo kubwa TZ ni ujinga kuanzia viongozi wa juu hadi watu wa mitaani. Ujinga na inferiority complex inawasumbua sana wabongo hawajiamini kabisa wanajiona wao ni wanyonge, ni watu wa kuibiwa tu na kunyanyswa kama wakiambiwa washindane na wenzao wa kimataifa.
✅👏👏👏🙏Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo 20/11/2024.
View attachment 3157215
View attachment 3156638
Paskali
Taratibu tu mkuu kuna kizazi kitawaamsha hiki chetu naona kama ni wachache tuliamka usingizini kutoka zidumu fikra za mwenyekiti.Umesema sahihi Mkuu, hizo ni miongoni mwa sababu mfu kabisa za kuzuia Uraia pacha
Ndiyo maana huwa nasema, Viongozi wetu hawapo kutunguongoza ili tupige hatua za kimaendeleo, isipokuwa Kwa ajili ya maslahi yao binafsi
Probably ni mbunge huyu mgonga meza na mawazo yake! 😛 😛 😛
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo 20/11/2024.
View attachment 3157215
View attachment 3156638
Paskali