Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga

Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga

Kwani hao diaspora wakitumia hela zao na kufanya maendeleo huko waliko watapungukiwa nini? Kwanini wanataka sana kuwekeza Tanzania ila hawataki kuwa watanzania by 100%? Ninaishauri serikali izidi kukataa huu upumbavu wa uraia pacha. Wanaoutaka wana tamaa na utajiri wa nchi ya Tanzania na sio kwamba wana uzalendo wowote. Hao Kenya, DRC, Zambia hawana lolote walilotuzidi pamoja na kuruhusu uraia pacha.

Hakuna mtu anang'ang'ania kuwekeza TZ ila serikali yenu ndo inaomba diaspora wawekeze TZ. Jielimishe.
 
Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.

Hao wanaofisadi kila mwaka kulingana na report ya CAG wamekimbilia wapi? Akili chakavu hizi, fisadi anakufisadi na anaweza kuwa chumbani kwako, hahitaji uraia pacha! Lini Tz iliacha kuwa shamba la bibi yako? Ufisadi upo left and right na hakuna mwenye uraia pacha anayekukamua hadi umekua na chuki ya namna hii. Kua
 
Hames kazai ni muafghan na mmarekani kala nchi ya afghanistan sasa huyo yupo zake united states of amrica anaenjoy.
Wabunge wengi wa afghanistan walikuwa na urai pia wa ujerumani sasa wapo europe wanajienjoy.

Dual nationality ni kwa manufaa ya watawala but never sie bodaboda.

Kama inasaidia watawala kwanini wanaipinga?
 
Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.

Kwani sahizi hamna upigaji? Hao mafisadi wana dual citizenship rn?

Kama wageni watakuja kuwanyonya nyie mnashindwa nini kwenda kuwanyonya wao si wote mtakua na dual citizenship?

Tatizo la wabongo ni ujinga na inferiority complex. Kwa jinsi mnavyoziogopa Kenya na Rwanda hamuwezi shindana on the global stage mna inferiority complex kupita maelezo na elimu zenu za kata hazijawasaidia kitu.
 
Tanzania balozi ya US ilishambuliwa 1998 je kulikuwa na uraia pacha mkuu?

Ugaidi it is too subjective, ugaidi unafanyika popote hivyo kila nchi inapaswa ijilinde na ugaidi kwa kuwa mipaka ya nchi watu wanaingia na kutoka.

Huyo alikuwa anaongea kufifisha hoja hiyo.

Ndio maana mtu ulikuwa ukiingia kusoma majuu miaka hiyo wanakupangia vyuo vya maeneo fulani tu huko unakuta kuna watu wao walishawaattach hivyo wanakufuatilia nyendo zako zote uwapo masomoni na baada ya masomo unafanya nini maana waliamini ukiingia nje ya mipaka ya Tanzania utafunzwa usaliti sasa kama ni hivyo si wangewaacha watu wasome huko huko Tanzania?
Umesema sahihi Mkuu, hizo ni miongoni mwa sababu mfu kabisa za kuzuia Uraia pacha

Ndiyo maana huwa nasema, Viongozi wetu hawapo kutunguongoza ili tupige hatua za kimaendeleo, isipokuwa Kwa ajili ya maslahi yao binafsi
 
Itakuwa hawaja ngamua vizuri mambo.

Kama hilo tu linawashinda wataweza vp kung'amua swala la uraia pacha kwa mapana yake?

Tatizo kubwa TZ ni ujinga kuanzia viongozi wa juu hadi watu wa mitaani. Ujinga na inferiority complex inawasumbua sana wabongo hawajiamini kabisa wanajiona wao ni wanyonge, ni watu wa kuibiwa tu na kunyanyswa kama wakiambiwa washindane na wenzao wa kimataifa.
 
Kama hilo tu linawashinda wataweza vp kung'amua swala la uraia pacha kwa mapana yake?

Tatizo kubwa TZ ni ujinga kuanzia viongozi wa juu hadi watu wa mitaani. Ujinga na inferiority complex inawasumbua sana wabongo hawajiamini kabisa wanajiona wao ni wanyonge, ni watu wa kuibiwa tu na kunyanyswa kama wakiambiwa washindane na wenzao wa kimataifa.
Ndio ukweli mchungu
 
Umesema sahihi Mkuu, hizo ni miongoni mwa sababu mfu kabisa za kuzuia Uraia pacha

Ndiyo maana huwa nasema, Viongozi wetu hawapo kutunguongoza ili tupige hatua za kimaendeleo, isipokuwa Kwa ajili ya maslahi yao binafsi
Taratibu tu mkuu kuna kizazi kitawaamsha hiki chetu naona kama ni wachache tuliamka usingizini kutoka zidumu fikra za mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom