It's football ..not war.. relax and have fun Chief.
Hata hivyo mie sijapinga mafanikio.. au wewe umeitoa wapi hii notion ya mimi kutokuuona mchango wao!?
Wewe mchango wa Senzo uliuona!? Was there a need to replace him ikiwa timu ilikuwa inafanya vizuri!? With absolute certainty, unaweza kusema CEO mpya ana sifa za ubora kuliko Senzo!?
Tumezoea shamrashamra kwenye habari kubwa Kama hizi ndani ya klabu.. hints, tambo (ukizingatia anakuwa CEO wa kwanza Mwanamama) why this is so gloomy!?
Huu mpira wa Yanga na Simba unakazi nyingine nyingi kuliko kuleta burudani Uwanjani tu.. na watu wakihoji sio hawapendi..hapana... ukianza kuwakandia huo sio ushabiki unakuwa ni uzwazwa.. utashabikiaje to the point huoni flaws tena!! Ndugu yangu!!
Sote tunaitakia Simba mema.. na tunapohoji lengo letu ni kuboresha. Tujadiliane tuondoane sintofahamu.. sio kuwekana lebo kisa mtu kahoji. It's not the Simba way.
Simba & Yanga day zitakuwa more fun siku tukiwa tunakipiga fainali za Champion League.. Tunaenda klabu Bingwa ya Dunia.. maana kufungana sisi haipaswi kuwa lengo pekee kuu.. tutoke nje ya hiyo bubble.
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app