Watanzania ni aina ya watu ambao unakuta wanataka kuvuka pori lenye Simba. Kwenye kuchagua nani awavushe kati ya Masai aliekuwa akiswaga n’gombe kwenye hilo pori tangia ujana wake mpaka umri wa utu uzima au mzaramo alietoka Dar. Katika kupiga kura asilimia kubwa watachagua mzaramo. Matokeo yake kwenye safari yao wengi wanaishia kuliwa na Simba.
Ni ujinga wa hali ya juu kumfanyia majungu Dr Gwajima wizara ya afya yaani ametulia na kuanza kuangaika na barakoa kwa sababu amko tayari kuona huduma za afya zinakuwa bora. Kila alipokuwa akifanya troubleshooting za kitaalamu kwa kukosoa watu kutofata system za afya mnaanza kumnanga. Afya ni system bro sio mtu bila ya wafanyakazi kuheshimu mifumo ya kazi utapewa huduma mbovu tu.
NHS England ni mfumo bora wa afya duniani (kwa kura za kimataifa) ni kwa sababu ya system. Pamoja na hayo ata huko ulaya wana madokta na nurses especially juniors wanaokosea medical procedures sana tu na kupelekea watu madhara au vifo vinavyoepukika (google mid-Staffordshire hospital) uone upuuzi wa management uliopelekea vifo chungu mzima vya wagonjwa.
To minimise risk kuna systems ambazo wanatakiwa wazifuate, kila kitu ni system kuanzia usafi, medical procedures (usijifanye sijui we umesoma miaka 7 hakuna upuuzi huo ni system first) documentation system, inter professional working system, maabara system, inventory control system and so forth with hospital management.
Dr Gwajima anazijua system za afya mnooooo kutokana na work experience as a medical practitioner, as a health manager, as a policy advisor and qualifications in medical health management ndio sababu ya kupewa hiyo wizara.
Imebidi apunguze kasi kwa sababu hampo tayari kuona ufanisi kwenye hiyo sector, kila akijaribu mna mtukana. Hila trust me ni ujinga wa hali ya juu kumfanyia majungu huyo mama anaijua afya.