Kigwangalla na Bashe wamuomba Rais Samia kuanzisha mkoa mpya wa Nzega

Kigwangalla na Bashe wamuomba Rais Samia kuanzisha mkoa mpya wa Nzega

Kuongeza mikoa sio tija ,mkapa alipiga chini sera ya afya ya ccm ,akaichukua ya chadema mpaka anamaliza mihula yake miwili

Basi nanyi ccm kibalini nchi iongezwe kimajimbo ,kama chadema wanavyosema
adui number moja wa nchi hii ni ccm.
 
Kigwangala anaomba Rais aipe Nzega hadhi ya mkoa baadaye anakuja Bashe anasema mama tunaomba unapoondoka 2030 basi wilaya ya Nzega iwe mkoa.

Anakuja Rais anasema nimepokea maombi ya MBashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa.

Akili za kuambiwa changanya na zako Kigwangala huna chak0 2025.

Huyo ndio Bashe kasuku wa siasa ambaye video yake analia anatakiwa kutekwa bungeni haipo popote pale mitandaoni kama unayo, post hapa usaidie taifa.

---
Mbunge wa Nzega vijijini Hamisi Kigwangalla amemuomba Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuwapatia wananchi wa Nzega Mkoa mpya kabla ya muhula wake kutamatika

Ombi hilo ni muendelezo wa ombi lililotolewa jana na Waziri wa kilimo ambaye pia ni Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe

Kigwangalla ametoa ombi hilo wakati wa Ziara ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alipo simama kuwasalimia wananchi wa Puge Nzega mkoani Tabora.

Amesema wananchi wa Bukene wanapata tabu ya umbali mrefu kufika katika halmashauri yao kutokea eneo hilo la Puge ambapo ni umbali wa takribani kilometa 180 hivyo angeomba kabla ya ombi la Nzega kufanywa mkoa basi kupatikane Halmashauri ya wilaya ya Nzega pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Bukene.

''Bado tutabaki katika maombi yetu, ambayo jana pia tuliyasema kwamba tungependelea wakati unamalizia muda wako tafakuri yako ikupelekee kutupatia mkoa mpya wa Nzega '' Alisema Hamisi Kigwangalla


Chanzo: EATV
Siye tumeangalia mubashara nyie mnaedit heading zetu JF imeanza kuwa ya hovyo, mnataka tusifie na kuabudu tu eti bora ywende twitter uku mnabudiana tumeona
 
Kigwangala anaomba Rais aipe Nzega hadhi ya mkoa baadaye anakuja Bashe anasema mama tunaomba unapoondoka 2030 basi wilaya ya Nzega iwe mkoa.

Anakuja Rais anasema nimepokea maombi ya MBashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa.

Akili za kuambiwa changanya na zako Kigwangala huna chak0 2025.

Huyo ndio Bashe kasuku wa siasa ambaye video yake analia anatakiwa kutekwa bungeni haipo popote pale mitandaoni kama unayo, post hapa usaidie taifa.

---
Mbunge wa Nzega vijijini Hamisi Kigwangalla amemuomba Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuwapatia wananchi wa Nzega Mkoa mpya kabla ya muhula wake kutamatika

Ombi hilo ni muendelezo wa ombi lililotolewa jana na Waziri wa kilimo ambaye pia ni Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe

Kigwangalla ametoa ombi hilo wakati wa Ziara ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alipo simama kuwasalimia wananchi wa Puge Nzega mkoani Tabora.

Amesema wananchi wa Bukene wanapata tabu ya umbali mrefu kufika katika halmashauri yao kutokea eneo hilo la Puge ambapo ni umbali wa takribani kilometa 180 hivyo angeomba kabla ya ombi la Nzega kufanywa mkoa basi kupatikane Halmashauri ya wilaya ya Nzega pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Bukene.

''Bado tutabaki katika maombi yetu, ambayo jana pia tuliyasema kwamba tungependelea wakati unamalizia muda wako tafakuri yako ikupelekee kutupatia mkoa mpya wa Nzega '' Alisema Hamisi Kigwangalla


Chanzo: EATV
Bangi si chai, hawa vijana sijui walifika vyuo vikuu, ndio sababu huwa nasema tuwape akina Msukuma Kasheku na Lema wame viongozi.
Nchi imejaa ubinafsi ulipitiliza.
 
Population
Kigezo cha opulation ni sawa. Lakini population ya Chato ni ndogo, na kuanza kukata tarafa za Geita na Kakonko iliyoko Kigoma na sehemu ya Muleba ili kuongeza Population ya Chato ni UNDEZI au UPIMBI wa hali ya juu
 
Kigezo cha opulation ni sawa. Lakini population ya Chato ni ndogo, na kuanza kukata tarafa za Geita na Kakonko iliyoko Kigoma na sehemu ya Muleba ili kuongeza Population ya Chato ni UNDEZI au UPIMBI wa hali ya juu
Unajua idadi ya watu wa Wilaya ya Chato pekee kabla hujaweka Wilaya zingine au unaropoka tuu? Wilaya Ina watu zaidi ya 600k harafu unasema ni watu kidogo hao?
 
Hahahaha.Wasomali ni wajanja mno. Nzega iwe mkoa jamani, watamega maeneo na mkoa wetu wa Shinyanga. Tumechoka Shinyanga na Mwanza yetu kumegwa.
Hapana, watachukua kuja igunga na singida...
 
Unajua idadi ya watu wa Wilaya ya Chato pekee kabla hujaweka Wilaya zingine au unaropoka tuu? Wilaya Ina watu zaidi ya 600k harafu unasema ni watu kidogo hao?
Kati ya mimi na wewe anayeropoka ni nani? Hivi unajuwa kuwa Chato iiikuwa sehemu ya Biharamulo ila Dikteta akaikata kutoka Biharamulo kwa hila akiwa Waziri? Unajuwa kuwa alichepusha pia barabara ya lami ambayo ilikuwa ipite Biharamulo, badala yake ikapita Chato.

Sasa kama Chato tayari ina watu 600 na na ni wilaya, nini unataka zaidi?

Kwa nini uipunguze Geita na Kigoma kupata mkoa wa Chato? Huo ndiyo UHAYAWANI ambao hatuutaki
 
Hapana, watachukua kuja igunga na singida...
Hakuna eneo la Singida litachuliwa Bali Igunga,Nzega,Baadhi ya Tarafa za Uyui na Baadhi ya Tarafa za Kaliua ndio walau itatengeneza jiografia nzuri.

Ingekuwa Mimi ndio muamzi Tabora Wala hakuna sababu ya kupigwa Kwa vile Mji wa Tabora uko katikati na unafikiwa na Wilaya zake zote Kwa urahisi kabisa maana ni T-Junction.Tabora ndio Mji wenye junction nyingi hapa Tanzania.

Mwisho kabisa Serikalini iugawe Mkoa wa Manyara maana jiografia yake ililazimishwa tuu.Kuwe na Mkoa wa Kiteto ambao utakuwa na Makao Makuu pale Kibaya na itachukua Wilaya za Kiteto,simanjiro na nyingine zitakazoanzishwa humo ndani maana jiografia na Ukubwa inaruhusu.

Then Mkoa wa Manyara usalie na Wilaya zake za Sasa na Kongwe iende Manyara badala ya Dodoma ndio itakaa sawa.
20231015_162327.jpg
 
Bukene iko nzega..Na kingine umewahi kufika shinyanga?
kwa sababu mimi nimefika Tabora karibu wilaya zote nilikuwa pale kwenye Research fulani nimeenda Nzega ,Nimeenda Igunga ,Nimeenda kaliua,Nimeenda urambo nimeenda tabora mjini wilaya zote nimeenda...
Kadhalika hata shinyanga nimeenda miaka y 2013 hiyi kabla hawajaimenya so naijua vizuri shy pamoja na tabora...

Wilaya kubwa mkoa mzima wa Tabora ni SIKONGE ikifuatiwa na KALIUA, Inakuja UYUI , Nzega na Igunga zinakaribia kulingana kwa ukubwa na kijigraphia then urambo na zinafuata zingine....
Haiondoi ukweli kwamba nzega kieneo ni zaidi ya nusu ya mkoa wa shinyanga
 
Hakuna eneo la Singida litachuliwa Bali Igunga,Nzega,Baadhi ya Tarafa za Uyui na Baadhi ya Tarafa za Kaliua ndio walau itatengeneza jiografia nzuri.

Ingekuwa Mimi ndio muamzi Tabora Wala hakuna sababu ya kupigwa Kwa vile Mji wa Tabora uko katikati na unafikiwa na Wilaya zake zote Kwa urahisi kabisa maana ni T-Junction.Tabora ndio Mji wenye junction nyingi hapa Tanzania.

Mwisho kabisa Serikalini iugawe Mkoa wa Manyara maana jiografia yake ililazimishwa tuu.Kuwe na Mkoa wa Kiteto ambao utakuwa na Makao Makuu pale Kibaya na itachukua Wilaya za Kiteto,simanjiro na nyingine zitakazoanzishwa humo ndani maana jiografia na Ukubwa inaruhusu.

Then Mkoa wa Manyara usalie na Wilaya zake za Sasa na Kongwe iende Manyara badala ya Dodoma ndio itakaa sawa.View attachment 2785852
Kwa hii ramani sioni haja ya kuugawa mkoa wa Tabora. Makao makuu yapo centre. Huko Sikonge ambako ndiyo kukubwa kuna watu wachache na asilimi zaidi ya 80 na eneo lake ni mapori ya akiba. Watu wanataka mikoa bila sababu za maana.
 
Kwa hii ramani sioni haja ya kuugawa mkoa wa Tabora. Makao makuu yapo centre. Huko Sikonge ambako ndiyo kukubwa kuna watu wachache na asilimi zaidi ya 80 na eneo lake ni mapori ya akiba. Watu wanataka mikoa bila sababu za maana.
Ndio maana nasema ukiona rama I hiyo hakuna haja ya Mkoa wa Tabora kugawanywa ni siasa za kipuuzi tuu.

Mkoa wa Ruvuma, Lindi, Morogoro na Manyara ndio igawanywe sio Tabora
 
Back
Top Bottom