toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Aisee hatari sana ccmUpo sahihi inapiganiwa, sasa kwa nini CCM haijishughulishi kuipigania? inavyoonekana ni kama vile wao haiwahusu - hebu tusaidie hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hatari sana ccmUpo sahihi inapiganiwa, sasa kwa nini CCM haijishughulishi kuipigania? inavyoonekana ni kama vile wao haiwahusu - hebu tusaidie hapa.
Sasa kwani wewe unadhani nani atakuwa Rais baada ya 2025 tofauti na Samia? Cha kumzuia ni kifo au ugonjwa na sio vinginevyoAisee 2030 ? Sijaelewa mkuu…huon kama psychologically wanaanda mindset za watu kujua kwamba atakuwepo na uchaguzi atashinda, mbona wameanza campaign mapema sana mkuu, unakumbuka ya magufuli kuongoza milele ? .
Ameshaongea na DG wa DP World amlinde mpaka 2030 itakuwa"Nimepokea maombi ya Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa". Maswali yangu. 1. Wanadamu tunazuiliwa na mambo mengi. Mwenzetu anapatano na Mungu kuiona 2030? 2. 2025 kuna uchaguzi mkuu, je ana uhakika gani kuwa atashinda?. 3. Je, hakung'amua kuwa swali la Bashe limekaa kichonganishi kati ya mama na Mungu?
Kwa maana tunashauriwa kwamba tusiseme kuwa kesho nitafanya kile na kile na badala yake tuseme "MUNGU AKIPENDA kesho nitafanya kile na kile" 4. JE, wenzetu hawamtegemei Mungu ktk kuwaongoza wapiga kura kushinda uchaguzi kama yule mama marehemu alivyosemaga. 5. Je, ni madaraka ya kulevya kuanza kujitapa mambo ya kuondoka madarakani 2030 wakati bado tupo 2023 miaka kama 7 kabla.
Jamaniii hawa akina Bashe mbona wanatega miiba njiani? Kwa nini Lakini?Anakuja Mh Rais anasema nimepokea maombi ya Mh. Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa.
Hata Mimi sipendi kuliweka ila ukiangalia takwimu za idadi ya watu unaona kabisa Kuna vigezo tosha.
Pili tayari walishalimaliza Kwa ngazi zote ikiwemo kuweka miundombinu ya hadhi ya Mkoa
View: https://www.instagram.com/p/CyihAM5NC8i/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==View attachment 2785385View attachment 2785386View attachment 2785387
Nafasi za ajira zinaongezeka! Matumizi ya serikali yanaongezeka!Kugawa mikoa kuna faida gani?
Kahama ilikua mkoa wa tabora,mkoa wa tabora ni mkubwa Sana,igunga,nzega,manonga,bukene zinatosha kuunda mkoaHahahaha.Wasomali ni wajanja mno. Nzega iwe mkoa jamani, watamega maeneo na mkoa wetu wa Shinyanga. Tumechoka Shinyanga na Mwanza yetu kumegwa.
Ndala ipo nzega,wilaya ya nzega kubwa Sana kieneo,zamani ikihusisha Hadi igungaWataimega kahama lazima hiyo..na huko singita, mpaka maeneo ya Ndala huko lazma wapachukue
Kuna ndala ambayo ipo pia Mkoa wa shinyanga Mkuu inaenda mpaka ibinzamata (Stand ya mabasi kule) mpaka buhangija Huko Nimewahi kukaa shinyanga na Tabora so nafahamu mipka yao yote BossNdala ipo nzega,wilaya ya nzega kubwa Sana kieneo,zamani ikihusisha Hadi igunga
Nzega huwa unapita tu stand kule nje ya mji siyo!?..miaka ya 90 kule usingepita,hapakua hata na njia ya kupitisha ng'ombe,wilaya ya nzega kubwa Sana,bukene ni sehemu yake,Sasa changanya bukene,igunga,nzega,puge,ndala,Hilo eneo dar inaingia Mara kadhaaYaani Shinyanga sijui wanataka iwe wilaya ?
Wilaya ya nzega ni zaidi ya nusu ya eneo la mkoa wa shinyanga,wamege kahama ya nini!?..nzega kua mkoa wataunga na igungaWataimega kahama lazima hiyo..na huko singita, mpaka maeneo ya Ndala huko lazma wapachukue
Point kubwa sana umeongea na hii inatokana na Kuwa na Vyuo vingi vya mipango Miji na vinavyotoa wanafunzi wengi ila cha ajabu ni kwamba Badala kumpa hizo kazi afanye aliyesoma mipango miji anapewa CHAWA fulani aliyesifia vizuri kuhusu kiongozi fulani unafikir Tutafika..Hii Mikoa nchi nzima inatakiwa uwe reviewed, kuna maeneo unatakiwa upite kwenye miji mingine ndipo ukafike kwenye makao makuu ya wilaya yako, kwa mfano wakazi wa Mlali, Mzumbe, Melela, Mangae Morogoro wanapita Morogoro mjini ili waende kwenye makao makuu ya wilaya yao Mvomero, Kuna wakazi wa Uvinza lazima wapite Tanganyika ndipo wafike makao yao ya wilaya Uvinza, kuna wakazi wa Kiteto lazima wapite Kondoa ndipo waende makao makuu Babati, wakazi wa MKIRU lazima wapite Dar ndipo wakamwone RC wao Kibaha
Bukene Iko wapi?Kuna ndala ambayo ipo pia Mkoa wa shinyanga Mkuu inaenda mpaka ibinzamata (Stand ya mabasi kule) mpaka buhangija Huko Nimewahi kukaa shinyanga na Tabora so nafahamu mipka yao yote Boss
Nzega ni zaid ya mkoa wa Shinyanga 🤔🤔? Shiinyanga ipi unazungumzia mkuu?Wilaya ya nzega ni zaidi ya nusu ya eneo la mkoa wa shinyanga,wamege kahama ya nini!?..nzega kua mkoa wataunga na igunga
Soma Tena kwa makini nilichoandikaNzega ni zaid ya mkoa wa Shinyanga 🤔🤔? Shiinyanga ipi unazungumzia mkuu?
Thanks for complimentsPoint kubwa sana umeongea na hii inatokana na Kuwa na Vyuo vingi vya mipango Miji na vinavyotoa wanafunzi wengi ila cha ajabu ni kwamba Badala kumpa hizo kazi afanye aliyesoma mipango miji anapewa CHAWA fulani aliyesifia vizuri kuhusu kiongozi fulani unafikir Tutafika..
Watu wataendelea kufanya madudu lakini hakuna wa kuhoji...
Just Imagine kama Rais alifuta Hadhi ya Jiji kwa mkoa wa Dar es salaam bila kuhusisha wataalam we unafikiri nini changanoto zake
Mungu atusaidie tu tusiwe watumwa wa siasa milele
Bukene iko nzega..Na kingine umewahi kufika shinyanga?Bukene Iko wapi?
Hata Mimi sipendi kuliweka ila ukiangalia takwimu za idadi ya watu unaona kabisa Kuna vigezo tosha.
Pili tayari walishalimaliza Kwa ngazi zote ikiwemo kuweka miundombinu ya hadhi ya Mkoa
View: https://www.instagram.com/p/CyihAM5NC8i/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==View attachment 2785385View attachment 2785386View attachment 2785387