Kigwangalla na Bashe wamuomba Rais Samia kuanzisha mkoa mpya wa Nzega

Kigwangalla na Bashe wamuomba Rais Samia kuanzisha mkoa mpya wa Nzega

Hahahaha.Wasomali ni wajanja mno. Nzega iwe mkoa jamani ,watamega maeneo na mkoa wetu wa Shinyanga. Tumechoka Shinyanga na Mwanza yetu kumegwa .
Mie nilikaa Tinde....ndio nimewajengea ile lami Nzega...Tinde....Isaka......Tinde.....Maganzo.....2004.....2006......palikuwa patamu balaaa.
Hebu njoo PM😃😃😃
 
"Nimepokea maombi ya Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa". Maswali yangu. 1. Wanadamu tunazuiliwa na mambo mengi. Mwenzetu anapatano na Mungu kuiona 2030? 2. 2025 kuna uchaguzi mkuu, je ana uhakika gani kuwa atashinda?. 3. Je, hakung'amua kuwa swali la Bashe limekaa kichonganishi kati ya mama na Mungu?

Kwa maana tunashauriwa kwamba tusiseme kuwa kesho nitafanya kile na kile na badala yake tuseme "MUNGU AKIPENDA kesho nitafanya kile na kile" 4. JE, wenzetu hawamtegemei Mungu ktk kuwaongoza wapiga kura kushinda uchaguzi kama yule mama marehemu alivyosemaga. 5. Je, ni madaraka ya kulevya kuanza kujitapa mambo ya kuondoka madarakani 2030 wakati bado tupo 2023 miaka kama 7 kabla.
 
Endeleeni kuomba mikoa, mimi niliomba bandari 1 nikapewa zote.
Sahau hyo kitu haipo tena! Wale wenzetu WA Komunyo na confirimansio wametumaliza aiseee...

Waraka wa Paulo kwa wakolosai badae ukapelekwa Kwa Watethalonike likanunuliwa Pini kubwa kutokea Sisiri likauchoma kisu ya mgongo...

Mmetuharibia nyie Wakinga wa Vatican..kisa siye Waarabu...

Vyuku nyie ....Mae zenu!

On the way to Zimbabwe!
 
Nzega ikiwa mkoa ndiyo changamoto za wananchi zitaisha bila shaka!
 
Sahau hyo kitu haipo tena! Wale wenzetu WA Komunyo na confirimansio wametumaliza aiseee...

Waraka wa Paulo kwa wakolosai badae ukapelekwa Kwa Watethalonike likanunuliwa Pini kubwa kutokea Sisiri likauchoma kisu ya mgongo...

Mmetuharibia nyie Wakinga wa Vatican..kisa siye Waarabu...

Vyuku nyie ....Mae zenu!

On the way to Zimbabwe!
Nimewaandalia pesa kuwalainisha
 
Hahahaha.Wasomali ni wajanja mno. Nzega iwe mkoa jamani, watamega maeneo na mkoa wetu wa Shinyanga. Tumechoka Shinyanga na Mwanza yetu kumegwa.
Wataigawa katikati Tabora. Nzega itakuwa na Igunga, Bukene, Puge, Nkinga na Choma hizo ndizo zitakuwa wilaya za mkoa mpya. Shinyanga hatutakubali wachukue Kahama na Tinde!
 
Ni uwendawazimu wa hali ya juu. Yaani Nzega uwe mkoa!! Kuna nini Nzega cha kuufanya hata uwe mkoa? Kila kitu ni duni kabisa, halafu eti uwe mkoa!! Maajabu makubwa.

Basi tugeuze wilaya zote ziitwe mikoa kama kuzibadilusha majina, tunaamini kunaleta maendeleo.
 
Back
Top Bottom