butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Tanzania is Kingdom country!"Nimepokea maombi ya Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa". Maswali yangu. 1. Wanadamu tunazuiliwa na mambo mengi. Mwenzetu anapatano na Mungu kuiona 2030? 2. 2025 kuna uchaguzi mkuu, je ana uhakika gani kuwa atashinda?. 3. Je, hakung'amua kuwa swali la Bashe limekaa kichonganishi kati ya mama na Mungu?
Kwa maana tunashauriwa kwamba tusiseme kuwa kesho nitafanya kile na kile na badala yake tuseme "MUNGU AKIPENDA kesho nitafanya kile na kile" 4. JE, wenzetu hawamtegemei Mungu ktk kuwaongoza wapiga kura kushinda uchaguzi kama yule mama marehemu alivyosemaga. 5. Je, ni madaraka ya kulevya kuanza kujitapa mambo ya kuondoka madarakani 2030 wakati bado tupo 2023 miaka kama 7 kabla.
Kwanini asishinde?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app