Kigwangwala: Kama kudaiana, Simba tunamdai MO hela nyingi sana

Mashabiki wa simba wengi hawajasoma! Hawawezi kuelewa kingwala anazungumzia nini
Hapo kwenye coupon rate kawaacha wengi sana akiwemo sumbai
🤣🤣🤣🤣😂😂😂

Nyinyi wasomi tunawategemea mtusaidie kuivusha timu yetu kwenye huu mkwamo.

Wewe CPA ephen_ na CPA masoud mtusaidie
 
Mashabiki wa simba wengi hawajasoma! Hawawezi kuelewa kingwala anazungumzia nini
Hapo kwenye coupon rate kawaacha wengi sana akiwemo sumbai
Timu ikiwa inafanya vizuri mashabiki huwa wanaweka masikio pamba kwa uongozi hata kama ni batili. Kigwangala hajaanza kuzungumzia hili leo. Alilizungumzia kipindi kile wakati simba iko kwenye peak akaishia kushambuliwa na Mo akaja kumsema kuwa aliomba mkopo kwake wa pikipiki akamkatalia. Najua leo wataungana naye as if ndipo kaanza kusema hivi.
 
Wakati Hamis Kigwangala anawaambia Wana Simba SC Tanzania ukweli kuhusu MO na mikataba yake, wengi walimtukana hasa wale mashabiki maandazi.

Sasa mmeanza kujua ukweli mmekaa kimya kama mmefumaniwa.

LuoBoy Media [emoji3578]
 
Mambo ya simba bora ungekaa kmy kama unakumbuka mambo ya simba na mzee kilomi yalivyo potea na hili swala litapotea kama upepo unapoteza mda wako bure
 
Mashabiki wa simba wengi hawajasoma! Hawawezi kuelewa kingwala anazungumzia nini
Hapo kwenye coupon rate kawaacha wengi sana akiwemo sumbai
Kwako kusoma ni mpaka mwanafunzi ajue maana ya coupon rate hata kama hiyo term haihusiani na course yake?!

Jitafakari.
 
Mashabiki wa simba wengi hawajasoma! Hawawezi kuelewa kingwala anazungumzia nini
Hapo kwenye coupon rate kawaacha wengi sana akiwemo sumbai
Sisi tunaupeo kuliko huyo Kigwangala wako. Note sentence yake ya mwisho yote ni njaa tu ili naye akapige pesa pale simba
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangala amesema aliwaambia Wananchi kuwa pale Msimbazi Hakuna Mwekezaji kuna Uhuni mtupu lakini hawakumuelewa

Wakasema Dr Kigwangalla ana chuki binafsi kwa sababu amenyimwa mkopo wa Tukutuku

Leo hii wote wanalia Wahuni hawajaingiza hata shilling 1 kwenye account ya Simba lakini wanasema wanaidai club mabilioni

Dr Kigwangalla amesema kimsingi Simba inamdai MO tsh billion 43.333

Naye Meya Mstaafu wa Chadema Kule Ubungo mh Boniface Jacob amesema kwa miaka 3 Simba imekuwa ikiendeshwa kitapeli na haijapata faida yoyote kama Club zaidi ya kumnufaisha Mwekezaji Guvu Moya

Wanachama wanaitaka Klabu yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kalpana wewe ni Wakili Msomi! Una maoni gani juu ya haya maelezo ya Mwana simba mwenzenu mh. Dr. Hamis Kigwangala, kuhusu Mwekezaji na pia mmiliki halali kabisa (kupitia maelezo yake mwenyewe) wa timu yenu?
 
Nimeanza kuuona ubabaishaji wa Mo kwenye kuisimamia na kuindesha klabu, simply ameuteka mfumo na channel zote za mapato ndani ya Simba Sc na kuzielekeza anapotaka yeye.

Tuanze sasa na ile bilioni 20 iko wapi?
Bilioni 20 gani tena Sheikh!! Kama ni zile zilizotolewa na Mwekezaji, zimetumika kusajilia wachezaji wakali kabisa!

Zimetumika kulipia mishahara na posho za hao wachezaji! Zimetumika kununulia mboga ya mchicha, zimetumika kumleta Manzoki mwenye ule uchaguzi wetu! Zimetumika kuisafirisha timu kwenye michezo ya ndani na ile ya Kimataifa, nk.
 
Ni kweli MO ni msanii lakini vipi kuhusu hawa viongozi upande wa wanachama ...

Walifanya nini kipindi Mo anadanganya?

Hapa wote wajiuzulu tuanze upya ...hao kina masoud si wasafi.
Hata hao kina Mangungu nao hawana maana, wamefeli, badala kuachia ngazi kistaarabu kwasababu ya kutofikia malengo bado wanakomaa mpaka wafukuzwe kwa aibu.

Uitishwe mkutano mkuu wa wanachama wa dharura waondoshwe wale.
 
Huo mchicha wa bilioni 20 nataka kufahamu unauzwa masoko yapi hapa Dsm..
 
Jambo la muhimi ni kuwa Yanga na Azamu ndio watakaoiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa.
Hivyo Simba mnamuda wa kutosha wa kulumbana na hata mkitaka kuzichapa nyie zichapeni tu na hakuna kitakachoharibika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…