Kigwangwala: Kama kudaiana, Simba tunamdai MO hela nyingi sana

uzuri
ubaya ni kwamba hizi ni zama za wasomi,mbumbumbu waliopambana na umande kipindi cha kusoma hamna budi kuwasaidia waliokimbia umande...imagine we ni mbumbumbu furthermore hujasoma...big up kigwa
 
Nimeanza kuuona ubabaishaji wa Mo kwenye kuisimamia na kuindesha klabu, simply ameuteka mfumo na channel zote za mapato ndani ya Simba Sc na kuzielekeza anapotaka yeye.

Tuanze sasa na ile bilioni 20 iko wapi?
Alikuwa anailipa kwa dose kila mwaka bilioni 5
 
Kwahiyo hizo mlizokuwa mnachukua mnasema nje ya mkataba...mlijua ni sadaka? Kwanza unajua maana ya mkataba? Mlikubaliana bilioni 19..Je mlikubaliana atoe zote kwa pamoja?

Watu walikua wanakula hela tu wanajua zimeanguka kwenye ndege!
Hazikuanguka kwenye ndege mzee... Zilitoka kwa Mo
 
Nimeanza kuuona ubabaishaji wa Mo kwenye kuisimamia na kuindesha klabu, simply ameuteka mfumo na channel zote za mapato ndani ya Simba Sc na kuzielekeza anapotaka yeye.

Tuanze sasa na ile bilioni 20 iko wapi?
Hiyo bil 20 si alinunua mchicha, soksi na boxer za wachezaji. Hujasikia CPA Issa akiliongelea hilo.
 
Bila kuondoa wasanii kwenye mpira wetu mpira hauwezi kupiga hatua!
Mtu ana CPA anakwambia alikuwa anasolve mambo kidemokrasia...
Mimi sijawahi kusikia neno demokrasia kwenye mahesabu kwa miaka yangu 21 niliyosoma.

Najua Kuna swali, njia na jibu!
Sijawahi kuona demokrasia hapo, ndio leo nasikia kwa CPA nabii Issa!
 
Mo anapaswa kuendelea kuwa Mfadhili kama Gharib. Hilo tunaliunga mkono.

Lakini ulaghai wake wa kutaka kujimilikisha SImba KINYUME NA UTARATIBU unapaswa kupigwa vita kwa nguvu zote.

Kuna wale wanaotaka matokeo uwanjani hata kama Timu iuzwe kwa ulaghai wao hawajali. Hawa ni wa kupigwa vita kwa nguvu zote pia.
 
HUJAELEWA AU MNAFANYA SPINNING KWA MAKUSUDI.

SHida iliyopo ni umiliki wa 49% za hisa za Simba.
Amwzipataje ?
Je utaratibu wa MOU umefuatwa?
Je makubaliano yalifuatwa?
Je mchakato ulishakamilika?
Jw alideposit hela kweli?
Wapi?
Inapaswa kuwa siri wakati Simba ni ya wanachama?
Kwa nini anafanya siri?
kama aliweka pesa je imenunua BONDS kweli ?

Kama haya yana UKAKASI basi Mo anafanya ulaghai kujimilikisha klabu kwa sababu ya NJAA ya wanachama.
 
Sisi tunaupeo kuliko huyo Kigwangala wako. Note sentence yake ya mwisho yote ni njaa tu ili naye akapige pesa pale simba
Viongozi wenu wameshathibitisha Mo hana umiliki wa 49% , we nani unabisha?

Wao ndo walipaswa kupokea 20B wamwkiri hawajapokea. We nani unabisha?

Unabariki huu ulaghai kwa hoja za kitoto, yaani Mnamuuzia mtu timu kitapeli. Kesho akiwa hayupo iwe mali ya familia yake😃😃
 
Sifanyi Spinning uzuri tuna reference kutoka huko kwenu.

Sasa hapa mlifikafika vipi,maana mpaka kufikia hatua hii maana yake mchakato wa kumkabidhi MO hizo asilimia 49 ulikamilika au ilikuwa ni SHOW OFF kuwakomesha Yanga?
 
Mo aanzishe timu yake, je bilioni 5 Kwa mwaka zinatosha kuiendesha timu kama ya Simba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…