Halafu muulize asubuhi kwa SAA za wapi?na umeanza kutupangia muda wa kupiga MASHINE
AahaΓ aaana umeanza kutupangia muda wa kupiga MASHINE
Ni Muhasibu wa chama cha wenye uraibuMhasibu wa Chama cha wavuta tumbaku Tanzania.
sema tenaAmna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?
Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong
Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Wamama wapo makini sanaMhasibu wa kikundi cha wamama...
πππKwa hilo sikupingi aisee! umetoa ushauri mzuri sana na kuongea maneno kuntu ambayo huwezi kudhania kama yametoka kwa Dunduka ,hayo ndio maendeleo yenyewe.....
π π ..eti mhasibuπTunakoelekea ipo siku Muhasibu atarusha ngumi kwenye huu uzi. ππ
π ππ π ..eti mhasibuπ
Huyu atakuwa mkulima tu kama Lucas M.
Apambane tu na jembe fani za wenyewe aachane nazo.
Hahahaha,je ule wa kibu na mayele vipi hakurusha kule?Tunakoelekea ipo siku Muhasibu atarusha ngumi kwenye huu uzi. ππ
Hahahaaa. Ule alijikaza.Hahahaha,je ule wa kibu na mayele vipi hakurusha kule?
Mie nilijua kajifunza ,asirudia yale ,kumbe dah hahahahahaHahahaaa. Ule alijikaza.
nmechekaaaaaaaaa π π πTunakoelekea ipo siku Muhasibu atarusha ngumi kwenye huu uzi. ππ