Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kitaalamu : nimegundua kuwa kilichomponza mleta mada ni heading yake "kihasibu" angeandika bila hilo neno uzi ungepoa sana ,sasa mchawi hapo kwenye kihasibu ndipo ameyakanyaga kila mtu humu akicomment lazima kihasibu na uhasibu wake uhusike.
 
Akili za mikia ziko mikiani. Nyumba usiyoilalia inakuhusu nini?. Kutwa kufungua niuz za YANGA tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…